Kama nyie mnavyolamba ya mzunguNanyi mmezidi kulamba kalioz ya waarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nyie mnavyolamba ya mzunguNanyi mmezidi kulamba kalioz ya waarabu
Lazima tudharauliwe kila uchwao viongozi wetu wanaenda Ulaya kuomba omba.Kimsingi ngozi nyeusi tunadharaurika sana.
Wote washenzi japo kuna baadhi wamezidi, hata enzi za utumwa walienda kote ila kuna mahali walisalia mpaka leo wapo na kuna sehemu hukuti japo chembe. . .sasa jiulize walienda wapi ikiwa walienda kwa maelfuMwarabu na mzungu tofauti yao nini likija suala la kumtreat mtu mweusi?
Kuna ushahidi wowote unaoonyesha walienda kwa maelfu then waka disappear? Sio mwarabu alifanyakazi ya kutafuta watumwa na kumuuzia mzungu? Maana ukifatilia hukuti kitu kilichompeleka mtu mweusi uarabuni, kazi gani alienda fanya huko?Wote washenzi japo kuna baadhi wamezidi, hata enzi za utumwa walienda kote ila kuna mahali walisalia mpaka leo wapo na kuna sehemu hukuti japo chembe. . .sasa jiulize walienda wapi ikiwa walienda kwa maelfu
[emoji23] ngozi yetu nyeusi ni vituko tupuDini hizi ndo zimelaza akili za watu weusi ww jiulize mpaka majina ya kwetu tumeona ni ya kishetani !??Hivi kweli babu zetu walikua na ushetani upi mpaka leo hata majina yao hatutaki kuyatumia ila ya waarabu na wazungu ndo majina safi...mamaaaeee huu upuuzi mkubwa sana.Sasa cha ajabu jitu kutwa nzima linaombea rehema mwarabu na muisraeli lakini hajawahi kuwaombea babu zake rehema hata siku moja wakati hao walipambana sana mpaka leo watu weusi tupo lakini hatuwathamini hio akili sasa itatoka wapi km hatudhamini vya kwetu tu.
Walienda maelfu, sasa mtu unamuhasi unatarajia niniKuna ushahidi wowote unaoonyesha walienda kwa maelfu then waka disappear? Sio mwarabu alifanyakazi ya kutafuta watumwa na kumuuzia mzungu? Maana ukifatilia hukuti kitu kilichompeleka mtu mweusi uarabuni, kazi gani alienda fanya huko?