Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

Mwarabu na mzungu tofauti yao nini likija suala la kumtreat mtu mweusi?
Wote washenzi japo kuna baadhi wamezidi, hata enzi za utumwa walienda kote ila kuna mahali walisalia mpaka leo wapo na kuna sehemu hukuti japo chembe. . .sasa jiulize walienda wapi ikiwa walienda kwa maelfu
 
Wote washenzi japo kuna baadhi wamezidi, hata enzi za utumwa walienda kote ila kuna mahali walisalia mpaka leo wapo na kuna sehemu hukuti japo chembe. . .sasa jiulize walienda wapi ikiwa walienda kwa maelfu
Kuna ushahidi wowote unaoonyesha walienda kwa maelfu then waka disappear? Sio mwarabu alifanyakazi ya kutafuta watumwa na kumuuzia mzungu? Maana ukifatilia hukuti kitu kilichompeleka mtu mweusi uarabuni, kazi gani alienda fanya huko?
 
Dini hizi ndo zimelaza akili za watu weusi ww jiulize mpaka majina ya kwetu tumeona ni ya kishetani !??Hivi kweli babu zetu walikua na ushetani upi mpaka leo hata majina yao hatutaki kuyatumia ila ya waarabu na wazungu ndo majina safi...mamaaaeee huu upuuzi mkubwa sana.Sasa cha ajabu jitu kutwa nzima linaombea rehema mwarabu na muisraeli lakini hajawahi kuwaombea babu zake rehema hata siku moja wakati hao walipambana sana mpaka leo watu weusi tupo lakini hatuwathamini hio akili sasa itatoka wapi km hatudhamini vya kwetu tu.
[emoji23] ngozi yetu nyeusi ni vituko tupu
 
Kuna ushahidi wowote unaoonyesha walienda kwa maelfu then waka disappear? Sio mwarabu alifanyakazi ya kutafuta watumwa na kumuuzia mzungu? Maana ukifatilia hukuti kitu kilichompeleka mtu mweusi uarabuni, kazi gani alienda fanya huko?
Walienda maelfu, sasa mtu unamuhasi unatarajia nini
 
Back
Top Bottom