Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

Mwarabu na mzungu tofauti yao nini likija suala la kumtreat mtu mweusi?
Wote washenzi japo kuna baadhi wamezidi, hata enzi za utumwa walienda kote ila kuna mahali walisalia mpaka leo wapo na kuna sehemu hukuti japo chembe. . .sasa jiulize walienda wapi ikiwa walienda kwa maelfu
 
Wote washenzi japo kuna baadhi wamezidi, hata enzi za utumwa walienda kote ila kuna mahali walisalia mpaka leo wapo na kuna sehemu hukuti japo chembe. . .sasa jiulize walienda wapi ikiwa walienda kwa maelfu
Kuna ushahidi wowote unaoonyesha walienda kwa maelfu then waka disappear? Sio mwarabu alifanyakazi ya kutafuta watumwa na kumuuzia mzungu? Maana ukifatilia hukuti kitu kilichompeleka mtu mweusi uarabuni, kazi gani alienda fanya huko?
 
[emoji23] ngozi yetu nyeusi ni vituko tupu
 
Kuna ushahidi wowote unaoonyesha walienda kwa maelfu then waka disappear? Sio mwarabu alifanyakazi ya kutafuta watumwa na kumuuzia mzungu? Maana ukifatilia hukuti kitu kilichompeleka mtu mweusi uarabuni, kazi gani alienda fanya huko?
Walienda maelfu, sasa mtu unamuhasi unatarajia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…