Hakuna kifo hutokea bila Allah kuruhusuKwa nini Allah hakuzuia kutekekwa, kuteswa na kuuliwa kwa Ali Kibao??
Kwa hiyo Allah aliruhusu Ali Kibao kutekwa, kuteswa na kuuwawa??Hakuna kifo hutokea bila Allah kuruhusu
Kweli mkuuHata bila kuongea hilo neno, mwenendo wa matukio na namna yanavyoachwa yaendelee moja kwa moja inaonekana Wenye mamlaka wanaona hivyo Kifo ki kifo tu.Hata bila kutamka.
Allah katuopa uhuru wa kufikiri. Huo ni mtihani kwa marehemu na kwetu. Tutakufuru au tutashukuru?Kwa nini Allah hakuzuia kutekekwa, kuteswa na kuuliwa kwa Ali Kibao??
Exactly, angefatilia hayo mambo kimya kimya angeujuwa ukweli utapodhihiri. Hakuna dhambi itayofichika maisha.Huyo kijana angekaa kimya tu asichokonoe pweza
Rais wa mawakili Tanzania.Mwambulukusi ndio nani?
Uhalisia ni upi?Wewe unatetea kwa misingi ya kumshabiakia Kizimkazi na siyo kwa uhalisia.
Hakuna "basi" wala taxi kwenye mauwaji. Lazima kifo kichunguzwe, kuwekwa wazi uchunguzi ni suala lingine kabisa.Wewe ndiye unatetea ujinga tu, hakuna mtoto mdogo humu wa kuamini hizo nadharia zako. Mumeua basi, Mungu ndiye hakimu wa haki.
Anaitwa Mwabukusi.Rais wa mawakili Tanzania.
So ironic! So sad, Mzee kibao, kauliwa na serikali, Kizimkazi, anajua,hakuna kenge wa ccm asiyejua hili,Familia ya Mzee Ali Kibao kupitia Mohamed Ali Kibao ambaye ni mtoto wa Mzee Kibao, imeomba uwepo wa uwazi na haki katika uchunguzi wa mauaji dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji ya Mzee Ali Kibao huku ikimsihi Rais Samia Suluhu Hassan, kutoa kauli kali dhidi ya wahusika ili kurejesha imani kwa dola na kupunguza hofu iliyotanda nchini.
View attachment 3134826
Soma pia: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
🖕Huyo sio jamaa yake na Lemma kaigiza sauti?
Kwa andiko lako hili linatosha kusema wahusika wote kwenye mauaji yale unawafahamu vema.Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.
1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.
Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?
Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.
Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.
Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?
Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
Ningekuwa na uwezo ningekunyima access baadhi ya majukwaa una roho ya chuki na ubinafsi sana we BibiNaona hapa analaumiwa Mwambulukusi wa TLS.
"Hakuna muuaji kama.... Hakuna na hatakuwepo"Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.
1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.
Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?
Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.
Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.
Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?
Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.