Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji

Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji

Kwa nini Allah hakuzuia kutekekwa, kuteswa na kuuliwa kwa Ali Kibao??
Allah katuopa uhuru wa kufikiri. Huo ni mtihani kwa marehemu na kwetu. Tutakufuru au tutashukuru?

Mpaka sasa kama wapo waoijuwa siri ya kifo chake basi hawajaiweka wazi.
 
Wewe ndiye unatetea ujinga tu, hakuna mtoto mdogo humu wa kuamini hizo nadharia zako. Mumeua basi, Mungu ndiye hakimu wa haki.
Hakuna "basi" wala taxi kwenye mauwaji. Lazima kifo kichunguzwe, kuwekwa wazi uchunguzi ni suala lingine kabisa.
 
Mungu wetu ni wa kisasi atalipa kisasi kwa wote waliopanga kubariki na kutekeleza mauaji yale.
 
Mambo mengine jamani!aiseh!

Nashauri kaeni kimya msiongee na Rais Wala mamlaka yeyote!!

Mkashtaki kwa Mungu Kwa sauti!

"Mungu tunakushukuru juu ya maisha ya Baba yeti,tunashukuru juu ya dhulma ya uhai wake,Fanya jambo ili mioyo yetu itulie tunaumia sana!!

Unaweza kuomba Dua hiyo Kwa kuanza na suratil fatiha ,halafu ikhilaswi ukaisoma mara tatu ndio ukayasema hayo !na kweli Mungu Mwenyezi akajibu vema hapo mwakani kuelekea uchaguzi mkuu!!
 
Familia ya Mzee Ali Kibao kupitia Mohamed Ali Kibao ambaye ni mtoto wa Mzee Kibao, imeomba uwepo wa uwazi na haki katika uchunguzi wa mauaji dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji ya Mzee Ali Kibao huku ikimsihi Rais Samia Suluhu Hassan, kutoa kauli kali dhidi ya wahusika ili kurejesha imani kwa dola na kupunguza hofu iliyotanda nchini.


View attachment 3134826


Soma pia: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
So ironic! So sad, Mzee kibao, kauliwa na serikali, Kizimkazi, anajua,hakuna kenge wa ccm asiyejua hili,
It's crazy kwenda kuomba msaada kwa mtu alive toa ruhusa, huyo mpinzani ashughurikiwe,
Forced disaperence, political assassination, hufsnywa na serikali, na Rais anapata breafings.
 
Iko wazi kabisa kwa hotuba ile ya mama Kizimkazi ni kwamba wauwaji na watekaji wanatekeleza maagizo ya serikali!!
Na wanalindwa hasa!! hata ukimwona na kumjua mtekaji wako na ukamtaja hafharani hataguswa!!
Tunao mfano kutoka kwa Sativa!!
 
Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.

1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.

Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?

Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.

Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.

Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?

Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
Kwa andiko lako hili linatosha kusema wahusika wote kwenye mauaji yale unawafahamu vema.
 
Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.

1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.

Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?

Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.

Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.

Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?

Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
"Hakuna muuaji kama.... Hakuna na hatakuwepo"
 
Back
Top Bottom