DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
hapa tatizo kuna wachumia tumbo wasiokua na akili ndio wanatuvuruga ila niwaambie hizi mali za wananchi mnazokula ipo siku mwisho wenu utafika.walikuwepo watu wezi kuliko nyinyi lakini wamepita na nyie panya na ukoo wenu tuueni tuu wananchi kwa kutunyonya pesa zetu lakini na nyie mtakufa.sina cha kusema ila kwa mwananchi masikini kama mm nimekasirika zaidi kuona wananchi wenzangu wakimtetea huyu rais ambae hajawahi kumchukulia mtu hatua kila wizi na yeye anahusika.
 
Kwani unadhani Rais anaweza kuondolewa kwa uzushi wa wapuuzi kama akina Yeriko?

kwanini asiondolewe marais wangapi washaondelewa kwa sababu ya skendo tu....au mnataka rais aondelewe kwa marungu kama burkinafaso, chini ya jua hakuna kinachoshindikana
 
hapa tatizo kuna wachumia tumbo wasiokua na akili ndio wanatuvuruga ila niwaambie hizi mali za wananchi mnazokula ipo siku mwisho wenu utafika.walikuwepo watu wezi kuliko nyinyi lakini wamepita na nyie panya na ukoo wenu tuueni tuu wananchi kwa kutunyonya pesa zetu lakini na nyie mtakufa.sina cha kusema ila kwa mwananchi masikini kama mm nimekasirika zaidi kuona wananchi wenzangu wakimtetea huyu rais ambae hajawahi kumchukulia mtu hatua kila wizi na yeye anahusika.
Mkuu Legendari, hili la kufa ndio njia yetu sote, matajiri, watakufa na sisi masikini, tutakufa!, tofauti yetu ni kuwa kwa vile sisi masikini tunafukiwa ndani ya mwandani, miili yetu itaoza na kuliwa na udongo, matajiri wao wanazikiwa masandukuni, kwenye majeneza ya gharama, na makaburi yaliyojengewa kwa marumaru, hivyo wao hawaozi, mule miili yao, inaishi milele!.

Aliyekupa wewe kumbi, ndie aliyewapa wao kiti!, anayefanikisha wengine wapate humu Duniani ni Mungu, tena formular yake iko very open, "mwenye nacho, ataongezewa, asiye nacho, atanyang'anywa hata kile kidogo, alichonacho!", Ugumu zaidi ni mbinguni kwa Mungu BABA, matajiri wana sehemu yao, inayofanania utajiri wao, na sisi masikini tuna yetu, sana utakachoweza kufanya baada ya sote kufa, ni wewe kuwaona tuu na kuwapungia!, fulani yule!, ukiondoka masikini, hata kule utaendelea na umasikini wako, usije kufikiri, wakifa, kule mbinguni utajiri wao, ndio utapewa wewe!.

Pole!.

Pasco.
 
Mkuu Muna, hakuna conflict yoyote ya interest, watoto ni wakubwa, wanafanya biashara zao safi!, baba hahusiki kwa lolote!.

Pasco

Nashukuru, je what was the decision process towards opening of Escrow bank account, vyombo gani vilihusika kukubaliana kuwa sasa escrow ifunguliwe?
bado conflict of interest inanukia watu walifanya declaration of interest b4 process started
 
.. pixel hao njaaa inawasumbua sana wako tayari kutetea hata knyesi cha........ wao kuwa haki smell
 
Last edited by a moderator:
Ifike siku mali zao zote zibinaifsishwe popote pale zilipo na zirudishwe kwa wamiliki halali ambao ni Wananchi wa Tanzania.
 
Ifike siku mali zao zote zibinaifsishwe popote pale zilipo na zirudishwe kwa wamiliki halali ambao ni Wananchi wa Tanzania.

na kichapo juu kitembeee naona ndiyo kutakuwa na decepline
 
ushahidi juu ya wamiliki wa simba trust tunaupataje?
 
Mkuu usipate hofu hiyo ni sanaa tu ya uwasilishaji,

Nimeiondoa ili kutowachanganya watu wengizaidi
Asante, hakuna kitu kizuri kama kukiri na kukubali makosa, na kurekebisha makosa hayo, hata kama kukiri kwenyewe ni kwa kuiita ni "sanaa ya uwasilishaji", apology accepted, sasa tunakwenda pamoja!.

Pasco
 
Asante, hakuna kitu kizuri kama kukiri na kukubali makosa, na kurekebisha makosa hayo, hata kama kukiri kwenyewe ni kwa kuiita ni "sanaa ya uwasilishaji", apology accepted, sasa tunakwenda pamoja!.

Pasco

Hahaaahaa karibu mkuu,

Vp yaliyompata mamuvi yatamkosa Pinda?
 
Familia ya jk ni kubwa sana sijui inawezaje kuhusika yote watanzania wote ni familia ya jk kama hawa.

hivi wewe kichaa ni lini utapona kichaa chako? watu tunajadili mambo muhimu ya kitaifa, wewe unatuletea ututusa wako hapa?
 
Back
Top Bottom