DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Na ni sababu hiyo pia baada ya Dr Hosea kuwasilisha report kwa rais, JK alisoma na kumjibu achana nayo na ndio maana mpaka sasa report hiyo haijapelekwa kwa DPP ili.wahusika wafikishwe mahakamani.

Ulikuwepo wakati kj anamwambia hayo maneno Hosea?
 
Hakuna haja ya kusingiziana mambo. Tuomba ripoti za PCCB na CAG zipelekwe bungeni zikiwa mbichi bila uchakachuaji ili suala lenyewe kujadiliwa na bunge. Hapo ndipo kelele zitakwisha na wenye msalaba kubebeshwa msalaba wao wenyewe.
 
Dongo, hoja hapa ni Yeriko kuitaja familia ya JK kuhusika na Escrow. Tumemtaka athibitishe ila mpaka sasa kakimbia mjadala
Umeka unalili uzi ufutwe,

Sasa unakuja na viroja eti athibitishe. Wewe ni mahakama?
Umeambiwa kwa mujibu wa Brela.

Simba trust ni ya Miraj na Salma kikwete.

Unataka nini zaidi?
 
Yericko ili kuondoa utata na ukakasi wa hili jambo..ni vyema utuambie pasipo shaka hiyo Kampuni ya Simba trust ya Australia imesajiliwa hapo BRELA kwa majina hayo halisi au..na kama kuna ushahidi pia uweke ili usije ukaambiwa unafanya ushabiki wa wa kisiasa tu ama unaichukia familia ya Mheshimiwa Rais japo kwa kweli ni hatari. Tusaidie katika hili mkubwa japo lisemwalo lipo......

Hawezi kujibu hoja hii mkuu vijana wa bavicha wahovyo sana..!
 
Am not surprised with all these, the son in law of first family is a well known deal maker. It is just amazing how we, Tanzanians are blinds.......we elect thieves into public offices........we elect hyenas to take care our goats and when our goats are consumed we wonder why.I long lost the pride of being Tanzanian
 
Chadema tabia ya kuchafua watu msidhani siku mkipata madaraka mtabaki salama.lengo lako ni nini kama unadiriki hata kutaja vitu bila ushahidi.shame on you
 
Hahahaha mwanangu kua uyaone!!! Nikihadithia utasema baba kwa stori wewe!!!!!
 
Eee bhana hii ni noma sana , hakika yericko Mungu akupe ulinzi .
 
Mkuu Olesa,

1. Kwanza asante, ila nakuomba usitetee inconsistances na contradictions!, kama amefanya uchunguzi Brella, na kuibuka na majina ya wamiliki, mtu huyo, kwenye posti hiyo hiyo, hawezi tena kuuliza wamiliki ni nani?!.

2. Mwisho wa fiduciary relationship kati ya mzazi na mtoto, inaishia pale mtoto anafikia "the age of the majority!", hivyo chochote kinachofanywa na mtoto above 18 years, motto huyo anakuwa resiponsible, hata kama pesa alipewa na wazazi!, huwezi kumwingiza mzazi kwenye shaky deals za mtoto above 18!. Hapa tuko kisheria zaidi, ila kwa upande wa morality, hayo ni mengine, after all makosa ya morality mengi sio criminal!.


Pasco.


1. Mkuu siwezi kutetea ubovu hata siku moja ila pia siwezi hukumu bila kuwa na sababu na vigezo wakati hakuna muongozo wa kuandika post haswa ikizingatiwa diversity iliyopo kwenye fani na jinsi kila fani inavyofundisha juu ya uandishi, so kumpima muandishi wa hoja kwa vigezo vya "consistency na flow" kwa caliber ya baadhi yenu hii sio sawa kabisa!! Nadhani kuna editors weeengi sana waliosomea kazi hii sababu inajulikana sio kila mtu anaweza "kuandika"!!

2. Kama uwanda wa madaraka ya Rais wa nchi yeyote ile na taswira yake unaishia kwenye sheria basi ningependa sana kujua madanguro yanayomilikiwa na marais mkuu Pasco!!
 
Last edited by a moderator:
life is ful of suprises... lets wait and see ya kweli ni yapi mana mitandao yetu ii pia inachangia kwa uchochezi. thts the cyber bullying we are trying to avoid it..
 
Chadema tabia ya kuchafua watu msidhani siku mkipata madaraka mtabaki salama.lengo lako ni nini kama unadiriki hata kutaja vitu bila ushahidi.shame on you
Unaambiwa ushahidi atakabidhiwa mkuu mwenyewe .
 
Am not surprised with all these, the son in law of first family is well known a deal maker. It is just amazing how we, Tanzanians are blinds.......we elect thieves into public offices........we elect hyenas to take care our goats and when our goats are consumed we wonder why.I long lost the pride of being Tanzanian

word!...
 
life is ful of suprises... lets wait and see ya kweli ni yapi mana mitandao yetu ii pia inachangia kwa uchochezi. thts the cyber bullying we are trying to avoid it..
Mkuu, busara yako iwaongoze watanzania wote. Hongera sana
 
Back
Top Bottom