DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kaka MSALANI, hakika inasikitisha sana uzushi wa Yeriko unaachwa muda wote huu. Wadau wengi wamemuomba athibitishe lakini mpaka sasa ameshindwa kuweka huo ushahidi sana sana anaongeza porojo tu
Sasa kama mzushi si mahakama zipo, we una huruma sana na mtoa hoja??!!!
Hardliners tunasema adui yako akiwa anafanya kosa litalomgharimu muache, sasa wewe unahangaika nini! !!
Nasaba zako ziko kwa mtoa hoja kuwa atashindwa kujitetea au wanaoshutumiwa kuwa wanaonewa???!!

You deserve a bullet through your skull base sababu ni kama popo nusu ndege nusu mnyama!!
 
Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.
Mmmmmmm, huyu nae! Alishambiwa akili za kuambiwa changanya na za kwako kidogo, lakini yeye bado du. Hospital zote za wilaya zina X-ray machine, hospital zote za mkoa Tanzania zina mashine ya ct scan na hospital zote za rufaa zina kipimo cha MRI, shule zote za sekondari zina maktaba, kila kijiji kina maji na umeme, huduma ya afya imeamirishwa sana na sasa hakuna haja ya viongozi wa nchi kwenda kutibiwa nje na Nchi ina mpango wa kuwagawia wananchi wake faida iliyotokana na riba kutoka katika akaunti ya ESCROW! VIVA Hey! Screw!
 
Ndio maana kile kipengele cha maadili na uwajibishwaji wa viongozi wakiwa madarakani kilifutwa faster kwenye katiba pandikizi!!!!!
 
hahahahahahahaaaaaa! Mwambie Dr Slaa aache uzinifu na badala yake aoe ili aishi maisha ya Ndoa. Kama dini ni kikwazo, anaweza kubadili ili apate haki yake ya kuishi maisha halali ya ndoa. Ndoa tamu jamani. Uzinifu haufai. Ni laana kwa Mungu na huondoa baraka ya maisha. Mambo mengine Dr Slaa anajitakia mwenyewe, pengine angeoa mpaka sasa angekuwa Presidaa wetu

Nje ya mada...on purpose!
 
Huwezi kuhonga watu wasio na influence. Halafu wakusaidie kwa lipi wakati hawana timu nyuma yao?

Mkuu Cheyo hana impact kweli?
Mwenyekiti wa TCD, au umesahau michango yake bungeni kuhusu kuuponda upinzani?? think broader
 
Ndio maana kile kipengele cha maadili na uwajibishwaji wa viongozi wakiwa madarakani kilifutwa faster kwenye katiba pandikizi!!!!!

Kama sera kuu ya chama ni wizi watakubali vp hicho kipengele,kama wao ni wasafi na hizi tuhuma haziwahusu na nyinginezo warudishe vipengele walivyovifuta kwenye hiyo katiba YAO...
 
Yericko, ka waweza kuandika hivi ktk familia ya mkuu wa kaya...nawe n verifyd user!! ingekuwa ushasombwa ka si kweli...maana jf tunaipitia hata tukiwa bungeni,maofisini, mikutanoni na yote tunayaona!
 
Mods hamtendi haki kuuacha uzushi kama huu kuendelea kuwepo.
Cc: Invisible , Moderator

MSALANI wathibitishie Moderator na Invisible kuwa haya maneno ya Yericko Nyerere ni uzushi. Na kama ni uzushi mtoa maada ni verified user, kwa nn familia tajwa isimshtaki? Au kwa nn mamlaka zisikanushe na kumtaja mmiliki wa Simba Trust? Why hakuna hatua zinachukuliwa, hofu iko wapi ya kumshtaki hy mzalendo aliyefumua huu ufisadi wa kulipwa milioni 200 kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Ee Mungu turehemu kwa kuwa tumekukosa...jk ni adhabu tosha, Ee Baba wa Mbinguni tuhurumie.
 
Viongozi wawili wakuu wa vyama vya upinzani!.....majina Please
 
mziki mnene cd 850 .......mada tamu sana hii
 
Unakataa nini kuwa siyo familia ya jk huoni hapa baba anawagawia juice watoto wake sijui unabisha nini wewe mbugila.
View attachment 200997
Kweli nimeamini hakuna kazi ngumu duniani kama kufikiri, kwani kila mmoja anafanya kazi kwa kutumia kichwa chake mwenyewe na hapa ndipo utajua ugumu wake mtu akishamaliza kazi yake ya kufikiri akaitoa hiyo kazi yakembele ya hadhara mwenyewe akiamini ni kazi bora kuliko za wenzake. Duh!
 
Yerico mbona umetaja wahusika kwa upendeleo? Umeona shida gani kuwataja hao viongozi wa upinzani wanao husishwa na hili saga na badala yake umeamua kuwataja kwa majina watu wengine? Huoni kama hii inapunguza umakini wa habari hii mkuu?
 
1. Sio sawa Pasco uandishi haumaanishi lololte linapokuja suala la kuhoji " degree of truth and validity" sababu uandishi ni fani na kipaji kama mtu hana fani wala kipaji hii haimaanishi ina compromise "degree of truth and validity" ya anachokisema ndio maana polisi unahojiwa ila anaandika anayejua kuandika unachokisema. Mathalani nyi mnaoitwa waandishi wengi wabovu saaanaaaa kuanzia composition mpaka eloquence!! Kama ni hoja basi tuhoji ukweli wa habari husika!

2. Kuhusu umri sawa kisheria ulivyosema lakini kama habari hiyo ni kweli kwa kiasi chochote kile haiwezi kumuacha huru kama unavyo wish mtajwa mkuu hata kama jina na umri wa wahusika viko wazi "socio-cultural-political-human" domains haziwezi kuachia moral and humane consciousness huru tu kwa hoja zako!!

Issue hapo ni kiasi gani habari hii ina ukweli????!!!

Mkuu Olesa,

1. Kwanza asante, ila nakuomba usitetee inconsistances na contradictions!, kama amefanya uchunguzi Brella, na kuibuka na majina ya wamiliki, mtu huyo, kwenye posti hiyo hiyo, hawezi tena kuuliza wamiliki ni nani?!.

2. Mwisho wa fiduciary relationship kati ya mzazi na mtoto, inaishia pale mtoto anafikia "the age of the majority!", hivyo chochote kinachofanywa na mtoto above 18 years, motto huyo anakuwa resiponsible, hata kama pesa alipewa na wazazi!, huwezi kumwingiza mzazi kwenye shaky deals za mtoto above 18!. Hapa tuko kisheria zaidi, ila kwa upande wa morality, hayo ni mengine, after all makosa ya morality mengi sio criminal!.


Pasco.
 
Nch inamilikiwa na familia ya JK, please TISS litendeeni haki taifa letu....
Hao viongozi wa Vyama vya Siasa nao Tuwajuwe!!!
 
Back
Top Bottom