Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,263
kwenye epa nayo ilikuwa uzushi...hii nayo mpk imeingia bungeni...kwann kina kafulila wasifungwe kwa kuleta maneno ya kizushi!Watanzania wana akili sana. Hawawezi kuandamana kwa uzushi kama huu
kila kitu kimekuwa siasa nchi hii..itakuwa ngumu kutofautisha uongo na ukweli maana serikali ka haipo..