DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Aiseee kumbe wanaofanyaga mapinduzi huwa wanakuwa wameteswa na wameumia sana yaani yamewafika hadi wanaamua kumpiga Risasi Rais wao huwa wamechoshwa. Yaani sisi bado hatujachoka kabisa tena wanaiba pesa ndogo sana hizo bado hatujachoka ila utakuja kufika wakati sijui ni hiki kizazi au baadaye kitakapo choka watu watatoka hata kwa mtutu
Mkuu, una maana kuwa kwa wewe kuwa kwenye keyboards na kuamrishwa na wanaokuamrishwa ndo kuguswa? Hii ni aibu sana jamani
 
Saa ya ukombozi wa pili wa haiko mbali. Hakuna dola ya kidhalimu ambayo haikuangushwa. Mzuka wa ushindi unapanda.
Ova
 
Tatizo ni pale wanapoiba na pengo au hasara hiyo kuzibwa na walalahoi kwa gia ya MAABARA.
 
Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.

Sawa tumekuelewa, sasa turudi kwenye mada
 
Yeriko mida mengine unaleta vitu vizuri ila vinavyotuumiza mioyo yetu..pale makumbusho siyo kuwa wamelala ila watafanya nini ilihali hawana meno na wakubwa wote wameshikwa...ka ujuavyo ajira zao za watoto wao!
ILA, YANAMWISHO...TENA WA AIBU
 
Kumbe Yeriko Nyerere umekuwa mbea kiasi hiki? Khaaaaa! Njoo uchukue kanga yangu nikuvalishe
 
Mmmh! hii ngumu kumeza, alipoingia madarakani alimchafua chinga kwa vikashfa vya kiwira na kufanya biashara ikuru, akadai yeye hawezi kufanya biashara kwakuwa ameshavuka 40! Sasa hii imekaa kishubirishubiri hivi. Ngumu kweri kumeza.
 
Yeriko mida mengine unaleta vitu vizuri ila vinavyotuumiza mioyo yetu..pale makumbusho siyo kuwa wamelala ila watafanya nini ilihali hawana meno na wakubwa wote wameshikwa...ka ujuavyo ajira zao za watoto wao!
ILA, YANAMWISHO...TENA WA AIBU
Duh! Sina hakika kama ulichoandika ni sahihi
 
Haya ndio mambo yangekuwa yanafanya watu wanaingia barabarani....zomea wezi kabisa maana serikali ishashndwa..
 
Ndo maana mkuu anatibiwa marekani wakati mhimbili kuko hoi na serikali inadaia pesa nyingi na MSD

Maisha Bora kwa kila mTZ.jpg
 
Viongozi wawili wakuu wa vyama vya siasa vya upinzani nchini wameonekana katika orodha hiyo pia.
Mkuu Yericko, naomba utujuze pia majina ya viongozi hao wa upinzani
 
Back
Top Bottom