DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wenzetu Kenya umeme umepungua bei kwa unit kama 50% na wala hawana gesi nyingi na mabwawa ya maji kama sisi,Bei kubwa ya umeme kwa asilimia 90% inaenda mfukoni mwa kikundi kidogo tu cha mafisadi,halafu sikutarajia tena kulionajina la Mzee wa Vijisenti kwenye hii dili,wala hakomi ,ndio maana kifungu cha maadili kimeondolewa kwenye Katiba,wenzangu mie wamebaki kusifia katiba kumbe madon wanawa enjoy tu,Sitta umeona hilo game?ushazungukwa na uraisi ndio bye bye
 

ina maana wewe umeamini uharo wa Yeriko?
 

Pasco pamoja na kwamba watoto wako over 18,lakini kama baba amehusika kuipigia chapuo,na yeye ni muhusika tena mkuu number moja.

Hii ndiyo sababu yuko busy kuipigia chapuo katiba ya Chenge fisadi,kumbe na yeye ni fisadi tuu.

I wish tungekuwa na sheria kama China una haribu unaingia kwenye tundu basi,hakuna kubaki mtu.

Ninawashangaa watanzania wenzangu ambao wako busy kutetea ujinga huu,atleast wangejifikiria na kuuliza ni wapi tutapata ukweli ili kujiridhisha.

Chini yambingu na hasa kwa Tanzania chochote kinawezekana.

Maskini nchi yangu tuliyemuamini ndiyo huyo anayeongoza ujangili kwa kutumia familia yake.
 
kuna haja gani kusubiri mpaka aje? vijana wa mwamunyange wako wapi wachukue nchi.
Tunataka viambatisho vyenye mashiko kama vile vinavyoonesha zitto akipewa pesa siyo porojo.
 

Nairobi, Kenya - 07/07/2014. Mamia ya watu wameandamana katika jiji la Nairobi, baada ya vyama vya upinzani kuandaa maandamano hayo ili kuishawishi serikali kubadili mwelekeo.

Huku wakiwa wanaimba na kuwa na mabango ambayo yanataka rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kujiudhuru, kwa madai kuwa ameshindwa kuimarisha maisha ya wananchi wa Kenya na pia kuimarisha usalama wao.

Mmoja wa viongozi kutoka kambi ya upinzani na muhusika katika maandalizi ya maandamano hayo Seneta Bonny Khalwale alisema " Leo tuna sema kuwa rais ameshindwa hivyo lazima aondoke madarakanani."

Hata maandamano hayo yalikkwisha salama, na polisni wapatao 15,000 walikuwa katika ulinzi ilikuwa tayari kupambana na watu watakao leta vurugu.

Hata hivyo kabla ya maandamano hayo, CORD ambacho ni muungano wa vyama pinzani nchini Kenya, wameitaka pia serikali ya Kenya iyaondoe majeshi yake nchini Somali. Baada ya kundi la Al-shabab kuongeza mashambuliz yake tangu majeshi ya Kenya kuingilia kazi vita vinavyo endelea nchini Somalia.

Naye msemaji wa Raila Odinga ambaye ni mkuuwa vyama vya upinzani amesema kuwa maandamano yaliyofanyika leo ni mwanzo tu, kwani yapo mengi yatafuata.

Raila Odinga ambaye alikuwa waziri mkuu wakati wa serikali ya rais Mwai Kibaki, alirudi hivi karibuni Kenya, baada ya kutokuwepo kwa muda wa nchini Kenya na kudai anataka kukutana na rais Uhuru Kenyatta ili wafanye zungumzo yanayo husu usalama wa Kenya.

 
Mkuu Ikwe, vitu vingine ni just sensational ku dramatize tuu hii issue, kama unaujua msingi wa kufunguliwa escrow account, gavana hahitaji memo ya mtu yoyote to release the funds!.

Escrow ni account ya mgogoro kati ya wanahisa, mgogoro umeisha, escrow inafungwa!, that was it!. Wengi wanadhani account ile ni ya serikali!, no!, na fedha zile pia sio za serikali ni za IPTL!.

Hiyo migogoro ya taneso na IPTL, na ununusu wa IPTL, hahusu BOT!.

BOT walifungua escrow kwa sababu kulikuwa na kesi ya umiliki!, BOT walipokea taarifa ya kufutwa kesi, role yao, iliishia pale!. Kama tanesco wa kesi na IPTL, au Stan Chart hayo sasa ni ya kwao, BOT is less concerned!.

Pasco.
 
Hiyo gesi unayozungumzia hapa kwetu tanzania imeshaanza kutumika au unatumia akili za upande gani.
 
Duh nimeumia sanaaaaaa...na BP juuu sasa..mipesa yote hiyo, simba trust wajameniiiiiiiiiiiiiiiiiii

Lakini nashanga kuna mijitu hapa inafulumisha mitusi tuuuu baada ya kuunga pamoja.
 
Duh nimeumia sanaaaaaa...na BP juuu sasa..mipesa yote hiyo, simba trust wajameniiiiiiiiiiiiiiiiiii

Lakini nashanga kuna mijitu hapa inafulumisha mitusi tuuuu baada ya kuunga pamoja.
Sisi tunataka uthibitisho haya maneno matupu mbona hata mzee slaa pamoja na uzee wake anaweza kutunga kuaminisha watu.
 

Pasco, mbona hili suala liko straightforward kabisa??

kwenye level ya executive suala la conflict of interest lipo dhahiri. rais au wanafamilia hawapaswi kufanya biashara ambayo serikali ni mdau au ina maslahi ya moja kwa moja. mtu huhitajiki kuwa gwiji wa sheria kutambua hili.

but nnachojua mimi ni kuwa hili litapita tu kama ilivyopita issue ya Mkapa. kama lilivopita suala la EPA. kama ilivyopita issue ya Mwangosi (mwandishi). kama ya yule dk aliyeng'olewa meno. ne mengine mengi tu. why? kwa vile sisi Watz nikiwemo mimi na wewe Pasco are simply f....ed up!!

sijataja ya Richmond kwa vile kuna mtu aliamua kubeba masalaba kwa niaba ya "chief culprit" (ndiyo maana mimi nadiriki kusema kwa ujasiri kabisa kuwa asipoteuliwa Dr Slaa na chama chake kuwa candidate wa kuingia Magogoni 2015, mr grey head is my alternative default option).
 

conflict of interest, conflict of interest conflict of interest.impunity, impunity , impunity
 
Kama ndio haya hakika sikilizieni hewani nakwenda kujimiminia Petroli pale Mnazi Mmoja halafu najilipua LIVE!
 
Profesa anapiga hela utadhani hatakufa. cha ajabu tayari ameshanza kuoata pancha na sasa yupo kitandani. si angeishi maisha kama ya Nyerere akashemiwa? mbona takufa mapema kama kweli anafanya ujinga huu?

hivi anadhani tulilianziisha hiz hea atzipatia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…