DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wenzetu Kenya umeme umepungua bei kwa unit kama 50% na wala hawana gesi nyingi na mabwawa ya maji kama sisi,Bei kubwa ya umeme kwa asilimia 90% inaenda mfukoni mwa kikundi kidogo tu cha mafisadi,halafu sikutarajia tena kulionajina la Mzee wa Vijisenti kwenye hii dili,wala hakomi ,ndio maana kifungu cha maadili kimeondolewa kwenye Katiba,wenzangu mie wamebaki kusifia katiba kumbe madon wanawa enjoy tu,Sitta umeona hilo game?ushazungukwa na uraisi ndio bye bye
 
Kweli Tanzania ni shamba la bibi!mishahara ya walala hoi wanaoitwa walimu ni midogo,lakini wanasiasa na familia zao ni mabingwa wa dili za mabilioni yanayoangamiza uchumi wa nchi hii.Watanzania tuseme sisiemu imetosha itutue watanzania hili gunia la misumari tulilotwikia kwenye vichwa vyenye kipara.

ina maana wewe umeamini uharo wa Yeriko?
 
Minabusu, hapa sasa tunazungumzia vitu vingine tofauti, mimi nazungumzia umiliki wa kampuni kwa mtoto ni independent ya mzazi!, wewe sasa unaleta mambo ya eskrow!.

Mambo ya kampuni yanaitwa duniaya ya makampuni, "the corporate word" ambapo kampuni kisheria ni mtu, an entity of its own, independent na wamiliki!, na ikitokea mmiliki ni mtoto wako, wewe kama baba huna any legal resiponsibility kwa mwanao over 18!, akiboronga, ameboronga yeye!.

Kampuni inaweza kushitakiwa mahakamani na ikatozwa fidia ikalipa bila wamiliki kuhusika kwa lolote!, ila inapotokea, kampuni ikafanya kosa la jinai, la kulazimisha mtu kwenda jela!, hapo ndipo mahakama hufanya kitu kinaitwa "un veil the corporate veil" ya wamiliki, ambao sasa ndio watashitakiwa kwa kosa la jinai na watakwenda jela!.

Tukija kwenye issue ya escrow, hii ni account maalum ambayo hufunguliwa kunapotokea ugomvi wowote kati ya wamiliki, mfano Mimi Pasco wa JF na Muna, tumeanzisga kampuni yetu ya PASUMUNA, then tukatofautia kuhusu umiliki, au mgao wa faida, mimi nakushitaki na mahakama inaamua, kufuatia ugomvi wetu, fedha na mali za kampuni, zitakuwa chini ya uongalizi wa BOT hata suluhu itakapo patikana!.

Ndivyo ilivyokuwa IPTIL wabia ni mtu anayeitwa James Rugemalila wa Mabibo wines ameingia ubia na kampuni ya Mechimar ya Malesia kwa makubaliano ya 70/30, wakapata tenda Tanesco, mgao ulipotoka Mlalesia akagoma kumlipa Rugemalila ile 30 % yake kwa hoja ni kubwa mno huku Ruge amechangia mchango sifuri!, ndipo Ruge akaenda mahakamani kumshitaki partner wake!. Sasa hapa ndipo escrow account ikafunguliwa hadi mgogoro uishe!.

Singa Singa wa PAP akala dili kujifanya ameinunua IPTL 100% percent, na kuwasilisha vithibitisho vya ununuzi, Ruge akafuta kesi, hivyo kukawa hakuna tena kesi, kufuatia taarifa ya kufutwa kesi BOT ikaifunga hiyo escrow na kumpa Singasinga fedha zote!.Kama BOT ilifungua escrow kufuatia mgogoro, sasa mgogoro umeisha, kwa nini asirelease hizo funds!.

Uchunguzi ukithibitisha Singa Singa ni tapeli, hakununua, hapo ndipo kutakuwa na ngoma!. Na kama parners wa Singa Singa ni kijana na binti mfame, mfalme hahusiki!, ni vijana wake wakubwa!.

Nawaomba tusishabikie sana suala la nani ni mmiliki, hivi mnajua kuwa Richmond ndio Dowans ndio Simbion, mashine ni zile zile, gharama ni zile zile, na wamiliki ni wale wale, ila tuu, majina ndio wamebadili!, kuna anyone anaye bother mmiliki wa Simbion ni nani?!.

Pasco.

Pasco pamoja na kwamba watoto wako over 18,lakini kama baba amehusika kuipigia chapuo,na yeye ni muhusika tena mkuu number moja.

Hii ndiyo sababu yuko busy kuipigia chapuo katiba ya Chenge fisadi,kumbe na yeye ni fisadi tuu.

I wish tungekuwa na sheria kama China una haribu unaingia kwenye tundu basi,hakuna kubaki mtu.

Ninawashangaa watanzania wenzangu ambao wako busy kutetea ujinga huu,atleast wangejifikiria na kuuliza ni wapi tutapata ukweli ili kujiridhisha.

Chini yambingu na hasa kwa Tanzania chochote kinawezekana.

Maskini nchi yangu tuliyemuamini ndiyo huyo anayeongoza ujangili kwa kutumia familia yake.
 
Ufisadi wa dola 250m (zaidi ya 400bn) umetikisa nchi kwa kuikosesha takribani miradi ya sh 3trilion imefahamika. Kampuni ya PAP ilipewa dola 122m (200bn), na kusaini makubaliano kikao cha kunduchi beach hotel oct8.2013 kuwa kiasi kilichobaki (128m au zaidi ya 200bn), PAP watalipwa kila mwezi 8bn mpaka deni kwisha.

Kampuni hii ya PAP iliyopewa tuzo hiyo ya 400bn kwa kuwekeza 6mTsh tu ni ya nan? Kwa mujibu wa nyaraka za BRELA, 50% inililiwa na Singh Sethi(singasinga) na mwanae na asilimia 50% zinamilikiwa na kampuni ya Simba Trust ya
Australia.
Simba trust ni nan.? Uchunguzi umeonesha kuwa Simba trust ya Australia inamilikiwa na watu wawili ambao ni salima Kikwete na Miraji Kikwete.

Uwepo wa majina haya mawili kama wamiliki wa PAP inatafsiriwa kuwa ndio sababu kuu ya JK kuvuta miguu huku nchi ikiumia.

Kwa mkataba huu wa IPTL wa 100MW wa miaka 20 (1995_2015), umeongezwa miaka mingine 20 (2013_2033)kwa kuzalisha 500MW.

Kwa mujibu wa mkataba huu, kampuni ya PAP italipwa 400m kila siku kama capacity charges . Maana yake singasinga mwenye 50% atapata 200m kila siku. Na watoto wawili wa JK watapata kila mmoja 100m kila siku hadi 2033.

Uwepo wa familia ya JK kwenye ufisadi huu inadaiwa ndio Kinga ya wahusika ; Muhongo, werema, maswi, mramba, likwilile na hata waziri mkuu kutetea

Ushahidi unakwenda kuonesha kuwa hata uamuzi wa Gavana kuruhusu fedha hiyo itoke kimakosa ni baada ya kupata MEMO kutoka Katibu wa rais Bw Mbena ikisema Rais kaelekeza.

Na ni sababu hiyo pia baada ya Dr Hosea kuwasilisha report kwa rais, JK alisoma na kumjibu achana nayo na ndio maana mpaka sasa report hiyo haijapelekwa kwa DPP ili.wahusika wafikishwe mahakamani


KAMA SEHEMU YA MWANGAZA.

Napenda kuwakumbusha Watanzania, Mataifa ya Ulaya na Marekani huwa hayakurupuki kutoa shutuma, ukiona wanatoa tamko ujue wana uhakika. Walieleza juu ya meli za Iran kutumia bendera ya Tanzania, Membe alikurupuka kukanusha kama kawaida yake, baadaye ikadhihirika ni kweli.
Mataifa ya Ulaya yalitishia kusimamisha misaada kutokana na ufisadi wa Richmond, kwanza serikali ilikanusha baadaye ilidhirika kuwa ni kweli kulikuwa na wizi.

Mataifa ya Ulaya yaliwahi kuelezea ufisadi katika manunuzi ya radar, serikali ikatoa maelezo marefu kuonesha hakuna ufisadi, baadaye ikadhihirika ni kweli.

Sasa wametoa tamko kuwa hakuna msaada kutolewa kwa Tanzania mpaka waone taarifa ya CAG kuhusu ufisadi katika akaunti ya Escrow, serikali imekanusha hakuna ufisadi.

Vyombo vya habari vya Ulaya vimeeleza kuhusu kuhusika kwa serikali ya Tanzania, CCM na China katika biashara haramu ya pembe za ndovu, Membe kama kawaida yake amekurupuka kukanusha lakini mambo hayo yote yatakuja kudhihirika kuwa ni kweli kwa 100%.

Taarifa ya Escrow ipo tayari lakini yaliyomo ndani ni balaa maana ni zaidi hata ya wananchi walivyokuwa wakiitegemea.

Hii iliyopo chini ni kama tetesi lakini ni tetesi yenye uhalisia. Endeleeni kufuatilia kashfa hii kubwa inayogusa ofisi kubwa zote za nchi.
______________________________ ______________________________ ____________

Ikiwa ni siku chache tangu Baraza la Usalama la Taifa kukutana na kupitia ripoti ya uchunguzi ya PCCB kuhusu ufisadi wa zaidi ya shilingi bilioni 200 kwenye akaunti ya Tegeta escrow Benki Kuu, Taarifa za uchunguzi zinaeleza kuwa mkurugenzi wa PCCB Dr. Edward Hosea atamkabidhi Mh. Rais Jakaya Kikwete ripoti hiyo Jumatano ijayo kama ilivyoelekezwa na Baraza la Usalama wa Taifa.

Awali ripoti hiyo ilikuwa akabidhiwe Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda, lakini taarifa za ndani zinabainisha kuwa uzito wa ripoti hiyo unastahili Mkuu wa nchi mwenyewe kwani kuna maeneo ambayo Waziri Mkuu atastahili kuwajibika.

Ofisi nyingine zilizohusika kwenye ufisadi huu kwa mamlaka yao ni Wizara ya Fedha, Benki Kuu, TANESCO, Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, TRA, na baadhi ya vigogo Ikulu.

RIpoti hiyo imekwenda mbali zaidi kuonesha baadhi ya majina ya watu maarufu waliojipatia fedha hizo kwa namna mbalimbali. Kwa mfano, akaunti ya kampuni ya VIP Engineering katika Benki ya Mkombozi iliyopokea hela za escrow imekutwa hela nyingi zimetoka kwenda kwa Wabunge,Mawaziri Majaji, na baadhi ya watu maarufu (hii ni kwa mujibu wa benki statement ya akaunti hiyo yenye kurasa 27 kuanzia tarehe 20 Januari mpaka tarehe 14 Agosti 2014).

Baadhi ya majina ndani ya benki statement hiyo yalitumiwa pesa kupitia akaunti hiyo ni pamoja na Waziri Anna Tibaijuka, Waziri wa zamani William Ngeleja, Mwanasheria Mkuu wa zamani Andrew Chenge, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi na mmoja wa Majaji wa mahakama kuu ya Tanzania Mujulizi. Katika orodha hiyo kuna Wabunge, wajumbe wa kamati ya Nishati na Madini, wote isipokuwa mmoja tu ambaye ni mtumishi mwandamizi wa zamani wa Serikali. Viongozi wawili wakuu wa vyama vya siasa vya upinzani nchini wameonekana katika orodha hiyo pia.
Juhudi kubwa zinafanywa hivi sasa kuzuia taarifa ya CAG na PCCB isikabidhiwe Bungeni kwani kama itakuwa wazi inaweza kusababisha kuibuka kwa mtikisiko mkubwa.

Nairobi, Kenya - 07/07/2014. Mamia ya watu wameandamana katika jiji la Nairobi, baada ya vyama vya upinzani kuandaa maandamano hayo ili kuishawishi serikali kubadili mwelekeo.

Huku wakiwa wanaimba na kuwa na mabango ambayo yanataka rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kujiudhuru, kwa madai kuwa ameshindwa kuimarisha maisha ya wananchi wa Kenya na pia kuimarisha usalama wao.

Mmoja wa viongozi kutoka kambi ya upinzani na muhusika katika maandalizi ya maandamano hayo Seneta Bonny Khalwale alisema " Leo tuna sema kuwa rais ameshindwa hivyo lazima aondoke madarakanani."

Hata maandamano hayo yalikkwisha salama, na polisni wapatao 15,000 walikuwa katika ulinzi ilikuwa tayari kupambana na watu watakao leta vurugu.

Hata hivyo kabla ya maandamano hayo, CORD ambacho ni muungano wa vyama pinzani nchini Kenya, wameitaka pia serikali ya Kenya iyaondoe majeshi yake nchini Somali. Baada ya kundi la Al-shabab kuongeza mashambuliz yake tangu majeshi ya Kenya kuingilia kazi vita vinavyo endelea nchini Somalia.

Naye msemaji wa Raila Odinga ambaye ni mkuuwa vyama vya upinzani amesema kuwa maandamano yaliyofanyika leo ni mwanzo tu, kwani yapo mengi yatafuata.

Raila Odinga ambaye alikuwa waziri mkuu wakati wa serikali ya rais Mwai Kibaki, alirudi hivi karibuni Kenya, baada ya kutokuwepo kwa muda wa nchini Kenya na kudai anataka kukutana na rais Uhuru Kenyatta ili wafanye zungumzo yanayo husu usalama wa Kenya.
F2621815-8FCA-4C8D-A96F-295C4FFEF215_mw640_mh331_s.jpg

 
Pasco, hakuna inconsistence kwenye bandiko la Yericko Nyerere. Nionacho ni mbwembwe za kiuandishi tu zimekuchanganya na huenda zikachanganya wengine. Yericko yuko clear and precise kuwa FAMILIA YA JK YAHUSIKA NA UFISADIVWA ESCROW.

Kwamba Salima yuko 18+ na Miraji pia hivyo wanabeba mzigo wa wizi wenyewe mi naona hujamsoma vizuri Yericko. Yericko anasema Gavana alipewa memo na katibu wa Rais kuwa Rais ameamrisha 'mzigo' utoke. Sasa hapo huoni uhusika wa Rais?
Mkuu Ikwe, vitu vingine ni just sensational ku dramatize tuu hii issue, kama unaujua msingi wa kufunguliwa escrow account, gavana hahitaji memo ya mtu yoyote to release the funds!.

Escrow ni account ya mgogoro kati ya wanahisa, mgogoro umeisha, escrow inafungwa!, that was it!. Wengi wanadhani account ile ni ya serikali!, no!, na fedha zile pia sio za serikali ni za IPTL!.

Hiyo migogoro ya taneso na IPTL, na ununusu wa IPTL, hahusu BOT!.

BOT walifungua escrow kwa sababu kulikuwa na kesi ya umiliki!, BOT walipokea taarifa ya kufutwa kesi, role yao, iliishia pale!. Kama tanesco wa kesi na IPTL, au Stan Chart hayo sasa ni ya kwao, BOT is less concerned!.

Pasco.
 
Wenzetu Kenya umeme umepungua bei kwa unit kama 50% na wala hawana gesi nyingi na mabwawa ya maji kama sisi,Bei kubwa ya umeme kwa asilimia 90% inaenda mfukoni mwa kikundi kidogo tu cha mafisadi,halafu sikutarajia tena kulionajina la Mzee wa Vijisenti kwenye hii dili,wala hakomi ,ndio maana kifungu cha maadili kimeondolewa kwenye Katiba,wenzangu mie wamebaki kusifia katiba kumbe madon wanawa enjoy tu,Sitta umeona hilo game?ushazungukwa na uraisi ndio bye bye
Hiyo gesi unayozungumzia hapa kwetu tanzania imeshaanza kutumika au unatumia akili za upande gani.
 
Duh nimeumia sanaaaaaa...na BP juuu sasa..mipesa yote hiyo, simba trust wajameniiiiiiiiiiiiiiiiiii

Lakini nashanga kuna mijitu hapa inafulumisha mitusi tuuuu baada ya kuunga pamoja.
 
Duh nimeumia sanaaaaaa...na BP juuu sasa..mipesa yote hiyo, simba trust wajameniiiiiiiiiiiiiiiiiii

Lakini nashanga kuna mijitu hapa inafulumisha mitusi tuuuu baada ya kuunga pamoja.
Sisi tunataka uthibitisho haya maneno matupu mbona hata mzee slaa pamoja na uzee wake anaweza kutunga kuaminisha watu.
 
Minabusu, hapa sasa tunazungumzia vitu vingine tofauti, mimi nazungumzia umiliki wa kampuni kwa mtoto ni independent ya mzazi!, wewe sasa unaleta mambo ya eskrow!.

Mambo ya kampuni yanaitwa duniaya ya makampuni, "the corporate word" ambapo kampuni kisheria ni mtu, an entity of its own, independent na wamiliki!, na ikitokea mmiliki ni mtoto wako, wewe kama baba huna any legal resiponsibility kwa mwanao over 18!, akiboronga, ameboronga yeye!.

Kampuni inaweza kushitakiwa mahakamani na ikatozwa fidia ikalipa bila wamiliki kuhusika kwa lolote!, ila inapotokea, kampuni ikafanya kosa la jinai, la kulazimisha mtu kwenda jela!, hapo ndipo mahakama hufanya kitu kinaitwa "un veil the corporate veil" ya wamiliki, ambao sasa ndio watashitakiwa kwa kosa la jinai na watakwenda jela!.

Tukija kwenye issue ya escrow, hii ni account maalum ambayo hufunguliwa kunapotokea ugomvi wowote kati ya wamiliki, mfano Mimi Pasco wa JF na Muna, tumeanzisga kampuni yetu ya PASUMUNA, then tukatofautia kuhusu umiliki, au mgao wa faida, mimi nakushitaki na mahakama inaamua, kufuatia ugomvi wetu, fedha na mali za kampuni, zitakuwa chini ya uongalizi wa BOT hata suluhu itakapo patikana!.

Ndivyo ilivyokuwa IPTIL wabia ni mtu anayeitwa James Rugemalila wa Mabibo wines ameingia ubia na kampuni ya Mechimar ya Malesia kwa makubaliano ya 70/30, wakapata tenda Tanesco, mgao ulipotoka Mlalesia akagoma kumlipa Rugemalila ile 30 % yake kwa hoja ni kubwa mno huku Ruge amechangia mchango sifuri!, ndipo Ruge akaenda mahakamani kumshitaki partner wake!. Sasa hapa ndipo escrow account ikafunguliwa hadi mgogoro uishe!.

Singa Singa wa PAP akala dili kujifanya ameinunua IPTL 100% percent, na kuwasilisha vithibitisho vya ununuzi, Ruge akafuta kesi, hivyo kukawa hakuna tena kesi, kufuatia taarifa ya kufutwa kesi BOT ikaifunga hiyo escrow na kumpa Singasinga fedha zote!.Kama BOT ilifungua escrow kufuatia mgogoro, sasa mgogoro umeisha, kwa nini asirelease hizo funds!.

Uchunguzi ukithibitisha Singa Singa ni tapeli, hakununua, hapo ndipo kutakuwa na ngoma!. Na kama parners wa Singa Singa ni kijana na binti mfame, mfalme hahusiki!, ni vijana wake wakubwa!.

Nawaomba tusishabikie sana suala la nani ni mmiliki, hivi mnajua kuwa Richmond ndio Dowans ndio Simbion, mashine ni zile zile, gharama ni zile zile, na wamiliki ni wale wale, ila tuu, majina ndio wamebadili!, kuna anyone anaye bother mmiliki wa Simbion ni nani?!.

Pasco.

Pasco, mbona hili suala liko straightforward kabisa??

kwenye level ya executive suala la conflict of interest lipo dhahiri. rais au wanafamilia hawapaswi kufanya biashara ambayo serikali ni mdau au ina maslahi ya moja kwa moja. mtu huhitajiki kuwa gwiji wa sheria kutambua hili.

but nnachojua mimi ni kuwa hili litapita tu kama ilivyopita issue ya Mkapa. kama lilivopita suala la EPA. kama ilivyopita issue ya Mwangosi (mwandishi). kama ya yule dk aliyeng'olewa meno. ne mengine mengi tu. why? kwa vile sisi Watz nikiwemo mimi na wewe Pasco are simply f....ed up!!

sijataja ya Richmond kwa vile kuna mtu aliamua kubeba masalaba kwa niaba ya "chief culprit" (ndiyo maana mimi nadiriki kusema kwa ujasiri kabisa kuwa asipoteuliwa Dr Slaa na chama chake kuwa candidate wa kuingia Magogoni 2015, mr grey head is my alternative default option).
 
Pasco, mbona hili suala liko straightforward kabisa??

kwenye level ya executive suala la conflict of interest lipo dhahiri. rais au wanafamilia hawapaswi kufanya biashara ambayo serikali ni mdau au ina maslahi ya moja kwa moja. mtu huhitajiki kuwa gwiji wa sheria kutambua hili.

but nnachojua mimi ni kuwa hili litapita tu kama ilivyopita issue ya Mkapa. kama lilivopita suala la EPA. kama ilivyopita issue ya Mwangosi (mwandishi). kama ya yule dk aliyeng'olewa meno. ne mengine mengi tu. why? kwa vile sisi Watz nikiwemo na mimi na wewe Pasco are simply f....ed!!

sijataja ya Richmond kwa vile kuna mtu aliamua kubeba masalaba kwa niaba ya "chief culprit" (ndiyo maana mimi nadiriki kusema kwa ujasiri kabisa kuwa asipoteuliwa Dr Slaa na chama chake kuwa candidate wa kuingia Magogoni 2015, mr grey head is my alternative default option).

conflict of interest, conflict of interest conflict of interest.impunity, impunity , impunity
 
Kama ndio haya hakika sikilizieni hewani nakwenda kujimiminia Petroli pale Mnazi Mmoja halafu najilipua LIVE!
moto.gif
 
Profesa anapiga hela utadhani hatakufa. cha ajabu tayari ameshanza kuoata pancha na sasa yupo kitandani. si angeishi maisha kama ya Nyerere akashemiwa? mbona takufa mapema kama kweli anafanya ujinga huu?

hivi anadhani tulilianziisha hiz hea atzipatia wapi?
 
Back
Top Bottom