great thinker gan mtu alete hoja kama hii bila ata copy ya brela,hapa wala ushahidi,inaachwa tu,forum inaharibika hii,,,,ni sawa na kusema mbowe mwizi mdomoni,slaa amepelekwa mahakamani na riz hadi leo hajathibitisha alioyasema na ameshaandika barua kumuomba riz yaishe,njaa zitakuua yericco
Kwani Mara ngapi tumewaona family yao inatuhumiwa alafu inaishia kutoa matamko navitisho kwa kutoa siku kwamba wataenda mahakamani lakini wanaingia mitini? Nakumbuka Riz alimpa Slaa siku athibitishe madaiyake kabla hajaenda mahakamani,alienda? Au siku hazijafika?
mkuu, uwe unashirikisha vizuri ubongo wako japo kwa kiasi kidogo. Si kuendekeza ushabiki kwa Yeriko. Yeriko ni muongo na mzandiki
Kwa nini usitangulie wewe ukafungue kesi?
... anaitwa Salma na mtoto wamuite Salma hii ni kioja cha mwaka,njia ya muongo ni fupi. hawa sio tongotongo bana mama anaitwa Salma na mtoto Salma,haiwezekani bana.
3. futeni na hii
great thinker gan mtu alete hoja kama hii bila ata copy ya brela,hapa wala ushahidi,inaachwa tu,forum inaharibika hii,,,,ni sawa na kusema mbowe mwizi mdomoni,slaa amepelekwa mahakamani na riz hadi leo hajathibitisha alioyasema na ameshaandika barua kumuomba riz yaishe,njaa zitakuua yericco
Nadhani kuna tofauti kati ya salima na Salma.
Rejea post ya kwanza ya uzi huu kwenye aya ya tatu upande wa kulia kwako.
mtu akija hapa na habari kuwa nguo yako yandani imetoboka nyuma pia tutataka atupe ushahidi na si maneno tu
jifunike mkuu
Kukanusha ni jambo la kawaida sana, kwani hata wanaofumwa ugoni hukanusha tena kwa vilio vya mbwa mwizi, but kumanusha tu haitoshi tunahitaji vielelezo zaidi.
Mpelekeni mahakamani akathibitishie huko kama mnaweza. Kuthibitisha jf hakutakuwa na impact yoyote! Hivi kwa akili yako unadhani angeshusha nondo hizi bila ushahidi? Yaani umtuhumu mkuu wa kaya bila ushahidi?