DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
great thinker gan mtu alete hoja kama hii bila ata copy ya brela,hapa wala ushahidi,inaachwa tu,forum inaharibika hii,,,,ni sawa na kusema mbowe mwizi mdomoni,slaa amepelekwa mahakamani na riz hadi leo hajathibitisha alioyasema na ameshaandika barua kumuomba riz yaishe,njaa zitakuua yericco

hivi wewe ni mzima kichwani ?
 
Kwani Mara ngapi tumewaona family yao inatuhumiwa alafu inaishia kutoa matamko navitisho kwa kutoa siku kwamba wataenda mahakamani lakini wanaingia mitini? Nakumbuka Riz alimpa Slaa siku athibitishe madaiyake kabla hajaenda mahakamani,alienda? Au siku hazijafika?

Anatingisha kibiriti huyo.
 
cheza tu na post zangu lakini msg sent. viroba hamna jipya. mamilioni ya pesa waliopewa maboss wenu ati sasa wanadai wamechomekewa,kwani issue ni ya jana? mbona walikaa kimya? pelekeni hii mada jf facebook muone cha moto,hapa ni sheeeedah
 
... anaitwa Salma na mtoto wamuite Salma hii ni kioja cha mwaka,njia ya muongo ni fupi. hawa sio tongotongo bana mama anaitwa Salma na mtoto Salma,haiwezekani bana.

3. futeni na hii

Nadhani kuna tofauti kati ya salima na Salma.

Rejea post ya kwanza ya uzi huu kwenye aya ya tatu upande wa kulia kwako.
 
"kuna kontena la kura Tunduma" haya kibabu twende,ooooh oooh hawa jamaa ni tanuri la uzushi. haya jf minya na hii. raha iko facebook jf ni hapohapo tu post inaonekana
 
great thinker gan mtu alete hoja kama hii bila ata copy ya brela,hapa wala ushahidi,inaachwa tu,forum inaharibika hii,,,,ni sawa na kusema mbowe mwizi mdomoni,slaa amepelekwa mahakamani na riz hadi leo hajathibitisha alioyasema na ameshaandika barua kumuomba riz yaishe,njaa zitakuua yericco

hivi huku kujipendekeza kwako kwa hawa watawala wananchi wa Tanzania wananufaika mini?

Kijana .... Kuna siku utajutia ujinga huu unaoufanya
 
abda tongotongo kama wewe ndio unaweza kuita mtoto Salima na mkeo aitwe Salma hao ni watu wa mujini bana hiwezi ita hivyo nenda kafie mbali huko,muulize bosi wako kawekewa mamilioni kwenye akaunti kaminya ikishalipuliwa ndio anasema kachomekewa,imekula kwenu,Kikwete mutoto wa mujini hamumpati kijinga hivyo
Nadhani kuna tofauti kati ya salima na Salma.

Rejea post ya kwanza ya uzi huu kwenye aya ya tatu upande wa kulia kwako.
 
mtu akija hapa na habari kuwa nguo yako yandani imetoboka nyuma pia tutataka atupe ushahidi na si maneno tu

Lakini pia unaweza kuileta hiyo nguo wewe mmiliki ikiwa haijatoboka na kudai iletwe hiyo inayosemekana imetoboka!!!!
 
Humu watu ni mbumbumbu sana na hawajui wanachokiandika, mmekuwa wavivu wa kusoma na kushirikisha akili zenu kila kitu mnasubiri muambiwe. Ni kizazi cha vijana wa Kitanzania wapumbafu ambao sijapata kuona ktk historia ya Dunia hii. Mnashindwa kujenga hoja mnakalia maneno ya kipuuzi kabisa . Akaunti ya ESCROW ilifunguliwa kutokana na kesi ya TANESCO NA IPTL kutokana na IPTL kudanganya gharama za uwekezaji hivyo kupelekea TANESCO kuwa inalipa pesa nyingi kuliko inayotakiwa. Kutokana na TANESCO kuishitaki IPTL ktk MAHAKAMA ya KIMATAIFA, iliamuliwa kuwa wakati kesi inaendelea kati ya IPTL NA TANESCO fedha ambazo TANESCO inatakiwa kuwa inailipa IPTL ziwekwe katika akaunti ya ESCROW chini ya usimamizi wa BOT. ndo mana tunasema zile pesa ni za WATANZANIA WOTE mana zimetolewa wakati Kesi ikiwa bado ina utata
 
Kukanusha ni jambo la kawaida sana, kwani hata wanaofumwa ugoni hukanusha tena kwa vilio vya mbwa mwizi, but kumanusha tu haitoshi tunahitaji vielelezo zaidi.

Vielelezo kutoka kwa miraj? hv nikikusingizia umeiba kesho na kesho kutwa katika kujitetea kwako ukiambiwa utoe vielelezo vya kuthibitisha hujaiba utatoa?
 
Ngoja nikanywe juisi ya miwa kwanza.. narudi kutoa maoni yangu.
 
Nina swali kwa Brela; imekuwaje msiwajue wamiliki wa Simba Trust? Mimi hapa tu nilipokaa Madongo Kwinama nauona mtaa wa 3 Ribbonwood Street, SunnyBank Hills QLD 4109, Australia... huu hapa!

attachment.php


Na hata nyumba yenyewe naiona...hii hapa!

attachment.php


Kama address ipo na nyumba yenyewe kweli ipo, Brela itashindwaje kuthibitisha wamiliki wa kampuni inayolipwa mabilioni ya kodi ya Watanzania?
 

Attachments

  • Simba.trust2.jpg
    Simba.trust2.jpg
    27.9 KB · Views: 1,064
Simba Trust wamiliki waje ni Dr. Slaa na Josephin Mahimbo. Ushahidi ninao.
 
Back
Top Bottom