DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mmmh! Hii kashfa ni kubwa,kweli Tembo wakubwa lazma wadondoke!
 
ahsante Mkuu Pasco. Nina hakika Yeriko hataingia tena kwenye uzi huu japo anachungulia kwa mbali kusoma comments za watu. Nipo naye karibu na namuona anavyohangaika

Unafki tu huna lolote
 
Nakwambia kwa namna walivyomtenda Lowassa,hapa hatapaachia,lazima afe na wabaya wake.
 
mkuu, uwe unashirikisha vizuri ubongo wako japo kwa kiasi kidogo. Si kuendekeza ushabiki kwa Yeriko. Yeriko ni muongo na mzandiki

Prove yericko ni muongo na mzandiki
Leta ushahidi kwamba akisemacho ni uongo
 
Hii nchi ni ya kishkaj.. leo mtu anapata skendo na kesho anakuwa mtu muhimu kwetu..hizi kesi wanaziweza China na Uarabuni maana hatoki mtu huko ila hapa mwakani washukiwa wote watapeta tu.
 

Ys a shame chama unachoshabikia kinaongoza serikali but hujui kwamba kuishi ka kwanamke miezi sita tu kiserikali inatambulika kama ndoa halali sijui unahitaj nn cha zaid kwa slaa
 
Ikiwa habari hii ni ya kweli basi tunapaswa kuamini hata hapo kwenye red. Kutokana na hilo ndio maana wenye akili zao na wasiopenda kubeba mikoba ya wanasiasa wanaamini kwamba CCM, CHADEMA, CUF, NCCR n.k wote ni wezi tu na mafisadi wakubwa.


John Cheyo,A.Mrema na Dovutwa nao niwapinzani?
 
Ukisikia mtoto wa raisi ni tajiri ni kawa hivi! Japo wao watasema wana mashamba ya matikiti msoga..tehe tehe wenye akili wanajua.
 

Dr slaa akioa au asipooa inatusaidia nn kama taifa?
 
dada yangu, haya umeandika ukiwa umelalia kifuani mwa mwanaume? Lo! Hadi unatia huruma dada. Kazi zingine waachie wanaume. Wewe huziwezi

Sa gender discrimination za nn sasa si ujibu hoja no mata amelala kwa mwanaume au kwa mwanamke mwenzie
By the way t shows how much una boga kichwani kama mzee wa msoga tu
 

Mkuu mbona umepanic Sana??? Vipi na wewe ni familia ile ile nini?
 
Last edited by a moderator:
mkuu tusipoamua kufanya maamuzi wenyewe tutaendelea kumsubiri sana huyo mungu kiziwi, kwanza kwanini atuletee Rais kiazi namna hii?

Mkuu chunga ulimi wako, unamkufuru Mungu.
Wakati mwingine Mungu huwa anaruhusu mabaya yatupate kwa ajili ya kutupatia Neema zake huko mbeleni. Unakumbuka wana wa Israel utumwani Misri, jangwani hadi walipofikia nchi ya ahadi Canaan ya maziwa na asali walipitia magumu gani? Only if you ara a Christian.
 
Aiseee kumbe wanaofanyaga mapinduzi huwa wanakuwa wameteswa na wameumia sana yaani yamewafika hadi wanaamua kumpiga Risasi Rais wao huwa wamechoshwa. Yaani sisi bado hatujachoka kabisa tena wanaiba pesa ndogo sana hizo bado hatujachoka ila utakuja kufika wakati sijui ni hiki kizazi au baadaye kitakapo choka watu watatoka hata kwa mtutu
 
Ukiona mtu anaanzisha mada, then anapoulizwa maswali anashindwa kujitokeza na anaedit mara kwa mara taarifa yake na anaongeza maneno kwa kadri mjadala unavyoenda basi ujue hana hakika na alichokiandika. yeriko Nyerere unatia aibu. Kajipange upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…