DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Imagine, watoto wa JK wanavuta 200 MILION TShs kila inapoitwa leo, Jumatatu mpaka Jumatatu, until 2033. Hivi inaingia akirini kweli kumpelekea JK report inayomuimplicate yeye mwenyewe moja kwa moja? Kweli tuna Usalama wa Rais na si Usalama wa Taifa

Yaani report haipelekwi kwa Pinda kwa kuwa ''ofisi yake ilikuhusika kwenye wizi kwa namna moja au nyingine'' lakini report hiyo inapelekwa kwa Jakaya eti kwa kuwa yeye hajahusika kwa namna moja au nyingine, ila ni watoto wake wawili tu ndo wamehusika. Tanzania is a tragic Country kwa kweli!
 
Sikutegema kama huu uzi ungefika mida hii, kuendelea kuwepo ni dalili kuwa kuna relevance. Wengi tunategemea kilichotupiwa hapa kiwe 100% kweli lakini hata mwishoni kikija kukutwa ni only 63% ya ukweli yatakuwa mafanikio makubwa sana.
Cha msingi hapa ni kuwa tangu mwanzo wa IPTL (wakati huo 'kiongozi' akiwa waziri wa wizara husika) kulikuwa na dalili za wazi za wizi kitu ambacho wameshindwa kukikimbia hadi leo! Sina uhakika kama huu ndio muda wa ukweli kujulikana lakini kama sio basi could be the beginning of the end!
 
duh! Naona ndo umeamka baada ya kukesha kubadili wanaume Jolie Club. Haya sasa hoja hii ina uhusiano gani na escrow?

Kwa kanuni ya kawaida kabisa ya wanasaikolojia,daima inasema kile ukifikiriacho wewe kufanya au ukifanyacho wewe kila siku kwenye MAISHA yako basi daima utafikiria na wenzako wanafanya.

Na ya pili ukitaka kumjua mtu TABIA yake ya ndani kabisa anza na maneno ayafikiriaya,kuyasema au kuyaropoka na matendo yake pia.

Pole hili bandiko lako uliloandika kama unadhani umenikashifu basi ujue fika umnetueleza tabia yako ya ndani kabisa uifanyayo kila siku.

Na pili sababu ukweli umefika mahali pake usiwe mtu wa kuburuzwa tu wakati mwingine fikiria kwa kutumia akili zako mwenyewe.Usipende kutukana watu usiowajua unajiabisha.

Na daima jitahidi kuficha UPUMBAVU wako watu wasije kukucheka.

Hata MKAPA aliponunua KIWIRA kwa bei ya kutupa mlimtetea pia lakini akairudisha KIWIRA kwa siri tusipate kujua.USiweunatetea ujinga hili ni TAIFA letu sote,wajukuu zetu,vitukuu,vilembwe nk.tusiwafanye wakaja kuchimbua makaburi yetu kuangalia kama vichwa vyetu vilikuwa vina ubongo au maji ya NAZI.
 
Waombe tu apone ili waendelee kuikalia hiyo ripoti.

halafu we Mamndenyi nakupendaga sana,nahitaji nikuhamishe huko ccm.hustahili kukaa meza moja na mafisadi.Yani familia 8 zimekula B 200 wakati MSD hawalipwi hela yao,na wahisani wanajitoa kuisaidia nchi?unajisikiaje?
 
Ufisadi wa dola 250m (zaidi ya 400bn) umetikisa nchi kwa kuikosesha takribani miradi ya sh 3trilion imefahamika. Kampuni ya PAP ilipewa dola 122m (200bn), na kusaini makubaliano kikao cha kunduchi beach hotel oct8.2013 kuwa kiasi kilichobaki (128m au zaidi ya 200bn), PAP watalipwa kila mwezi 8bn mpaka deni kwisha.

Kampuni hii ya PAP iliyopewa tuzo hiyo ya 400bn kwa kuwekeza 6mTsh tu ni ya nan? Kwa mujibu wa nyaraka za BRELA, 50% inililiwa na Singh Sethi(singasinga) na mwanae na asilimia 50% zinamilikiwa na kampuni ya Simba Trust ya Australia.

Simba trust ni nan.? Uchunguzi umeonesha kuwa Simba trust ya Australia inamilikiwa na watu wawili ambao ni salima Kikwete na Miraji Kikwete.

Uwepo wa majina haya mawili kama wamiliki wa PAP inatafsiriwa kuwa ndio sababu kuu ya JK kuvuta miguu huku nchi ikiumia.

Kwa mkataba huu wa IPTL wa 100MW wa miaka 20 (1995_2015), umeongezwa miaka mingine 20 (2013_2033)kwa kuzalisha 500MW.

Kwa mujibu wa mkataba huu, kampuni ya PAP italipwa 400m kila siku kama capacity charges . Maana yake singasinga mwenye 50% atapata 200m kila siku. Na watoto wawili wa JK watapata kila mmoja 100m kila siku hadi 2033.

Uwepo wa familia ya JK kwenye ufisadi huu inadaiwa ndio Kinga ya wahusika ; Muhongo, werema, maswi, mramba, likwilile na hata waziri mkuu kutetea

Ushahidi unakwenda kuonesha kuwa hata uamuzi wa Gavana kuruhusu fedha hiyo itoke kimakosa ni baada ya kupata MEMO kutoka Katibu wa rais Bw Mbena ikisema Rais kaelekeza.

Na ni sababu hiyo pia baada ya Dr Hosea kuwasilisha report kwa rais, JK alisoma na kumjibu achana nayo na ndio maana mpaka sasa report hiyo haijapelekwa kwa DPP ili.wahusika wafikishwe mahakamani


KAMA SEHEMU YA MWANGAZA.

Napenda kuwakumbusha Watanzania, Mataifa ya Ulaya na Marekani huwa hayakurupuki kutoa shutuma, ukiona wanatoa tamko ujue wana uhakika. Walieleza juu ya meli za Iran kutumia bendera ya Tanzania, Membe alikurupuka kukanusha kama kawaida yake, baadaye ikadhihirika ni kweli.
Mataifa ya Ulaya yalitishia kusimamisha misaada kutokana na ufisadi wa Richmond, kwanza serikali ilikanusha baadaye ilidhirika kuwa ni kweli kulikuwa na wizi.

Mataifa ya Ulaya yaliwahi kuelezea ufisadi katika manunuzi ya radar, serikali ikatoa maelezo marefu kuonesha hakuna ufisadi, baadaye ikadhihirika ni kweli.

Sasa wametoa tamko kuwa hakuna msaada kutolewa kwa Tanzania mpaka waone taarifa ya CAG kuhusu ufisadi katika akaunti ya Escrow, serikali imekanusha hakuna ufisadi.

Vyombo vya habari vya Ulaya vimeeleza kuhusu kuhusika kwa serikali ya Tanzania, CCM na China katika biashara haramu ya pembe za ndovu, Membe kama kawaida yake amekurupuka kukanusha lakini mambo hayo yote yatakuja kudhihirika kuwa ni kweli kwa 100%.

Taarifa ya Escrow ipo tayari lakini yaliyomo ndani ni balaa maana ni zaidi hata ya wananchi walivyokuwa wakiitegemea.

Hii iliyopo chini ni kama tetesi lakini ni tetesi yenye uhalisia. Endeleeni kufuatilia kashfa hii kubwa inayogusa ofisi kubwa zote za nchi.
______________________________ ______________________________ ____________

Ikiwa ni siku chache tangu Baraza la Usalama la Taifa kukutana na kupitia ripoti ya uchunguzi ya PCCB kuhusu ufisadi wa zaidi ya shilingi bilioni 200 kwenye akaunti ya Tegeta escrow Benki Kuu, Taarifa za uchunguzi zinaeleza kuwa mkurugenzi wa PCCB Dr. Edward Hosea atamkabidhi Mh. Rais Jakaya Kikwete ripoti hiyo Jumatano ijayo kama ilivyoelekezwa na Baraza la Usalama wa Taifa.

Awali ripoti hiyo ilikuwa akabidhiwe Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda, lakini taarifa za ndani zinabainisha kuwa uzito wa ripoti hiyo unastahili Mkuu wa nchi mwenyewe kwani kuna maeneo ambayo Waziri Mkuu atastahili kuwajibika.

Ofisi nyingine zilizohusika kwenye ufisadi huu kwa mamlaka yao ni Wizara ya Fedha, Benki Kuu, TANESCO, Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, TRA, na baadhi ya vigogo Ikulu.

RIpoti hiyo imekwenda mbali zaidi kuonesha baadhi ya majina ya watu maarufu waliojipatia fedha hizo kwa namna mbalimbali. Kwa mfano, akaunti ya kampuni ya VIP Engineering katika Benki ya Mkombozi iliyopokea hela za escrow imekutwa hela nyingi zimetoka kwenda kwa Wabunge,Mawaziri Majaji, na baadhi ya watu maarufu (hii ni kwa mujibu wa benki statement ya akaunti hiyo yenye kurasa 27 kuanzia tarehe 20 Januari mpaka tarehe 14 Agosti 2014).

Baadhi ya majina ndani ya benki statement hiyo yalitumiwa pesa kupitia akaunti hiyo ni pamoja na Waziri Anna Tibaijuka, Waziri wa zamani William Ngeleja, Mwanasheria Mkuu wa zamani Andrew Chenge, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi na mmoja wa Majaji wa mahakama kuu ya Tanzania Mujulizi. Katika orodha hiyo kuna Wabunge, wajumbe wa kamati ya Nishati na Madini, wote isipokuwa mmoja tu ambaye ni mtumishi mwandamizi wa zamani wa Serikali. Viongozi wawili wakuu wa vyama vya siasa vya upinzani nchini wameonekana katika orodha hiyo pia.
Juhudi kubwa zinafanywa hivi sasa kuzuia taarifa ya CAG na PCCB isikabidhiwe Bungeni kwani kama itakuwa wazi inaweza kusababisha kuibuka kwa mtikisiko mkubwa.
Hii nayo ni list of shame namba 2 Kwenye list of shame namba 1 mkuu wa familia ya rais yumo, hii namba mbili watoto wake wamo. Inatisha. Kweli ikulu ilishabadilishwa kutoka mahali patakatifu mpaka pango la wanyang'anyi. Mimi naona wakati wa utawala wa Ben ndipo maasi makubwa yalifanyika pale ikulu ikuiwa ni pamoja na EPA, uporaji wa nyumba za serikali, mgodi wa Kiwira nk. Nyerere alikaa pale zaidi ya miaka 24 pakiwa hapana fensi lakini paliheshimiwa sana. Walipoingia wezi wakaanza kwanza kuweka fensi ili waweze kufanya maasi yao kadiri watakavyo ili tusiwaone. Ama kweli heshima ya Tanzania ilikwenda na Nyerere. Nyerere alishawahi kusema mke wa kaisari hafai hata kutuhumiwa lakini sasa kaisari mkuu na watoto wake wanatuhumiwa lakini bado wanaongoza nchi. Ajabu ya Firauni!
 

Weka ushahidi wa nyaraka, haya maneno matupu hata mie ningeweza kuyatunga na kuyaandika humu JF

GB, ogopa sana pale mtu anapotumia ID halisi kuleta tuhuma, lazima ujiulize mara tatutatu kuwa kwa nini ameamua kuhi expose kwa tuhuma nzito kiasi hicho; wengi wetu humu tunatumia 'special IDs', na sababu mojawapo ni kutokuwa na uhakika na yale tuyasemayo.

Vv

Vv
 
Pasco, mbona hili suala liko straightforward kabisa??

sijataja ya Richmond kwa vile kuna mtu aliamua kubeba masalaba kwa niaba ya "chief culprit" (ndiyo maana mimi nadiriki kusema kwa ujasiri kabisa kuwa asipoteuliwa Dr Slaa na chama chake kuwa candidate wa kuingia Magogoni 2015, mr grey head is my alternative default option).
Mkuu Mmbabe, nawapenda sana watu wakweli toka ndani ya nafsi zao, na wewe uu mmoja waoi!.
Pamoja sana!.
Pasco.
 
Hii nayo ni list of shame namba 2 Kwenye list of shame namba 1 mkuu wa familia ya rais yumo, hii namba mbili watoto wake wamo. Inatisha. Kweli ikulu ilishabadilishwa kutoka mahali patakatifu mpaka pango la wanyang'anyi. Mimi naona wakati wa utawala wa Ben ndipo maasi makubwa yalifanyika pale ikulu ikuiwa ni pamoja na EPA, uporaji wa nyumba za serikali, mgodi wa Kiwira nk. Nyerere alikaa pale zaidi ya miaka 24 pakiwa hapana fensi lakini paliheshimiwa sana. Walipoingia wezi wakaanza kwanza kuweka fensi ili waweze kufanya maasi yao kadiri watakavyo ili tusiwaone. Ama kweli heshima ya Tanzania ilikwenda na Nyerere. Nyerere alishawahi kusema mke wa kaisari hafai hata kutuhumiwa lakini sasa kaisari mkuu na watoto wake wanatuhumiwa lakini bado wanaongoza nchi. Ajabu ya Firauni!

Umenisononesha sana kwa maneno yako mazito, hakika inauma sana!
 
kwani mtu akija kula kwenu ndo amekua familia yenu,,, acheni kuwasimangia chai
 
Bei ya umeme uniti 1= tsh.306.56/-
posho za ewura 1% = tsh. 3.07-
mchango REA 3% = tsh. 9.20/-
VAT 18% maVX = tsh. 55.18/-
tozo kila mwezi = tsh. 5,520/- (unalipa kila mwezi hata kama hujatumia)
JUmla LUKU Bei ya uniti 1 = tsh. 680/-

Kadirio la chini kabisa kwa nyumba ya familia ya watu watano walau wanahitaji uniti 1.5 kwa siku, gharama yake ni tsh.1020/- kwa siku.

Sababu ya gharama za uzalishaji umeme kuwa kubwa;
1.kila kukicha wakurugenzi wa TANESCO wanapiga dili, mfano Mhando.
2.kulipia tsh.5,520/- kila mwezi kwa ajili ya kukamilisha mikataba kama IPTL, Songas, RICHMOND, PAP, Dowans, Symbion

WANANCHI TUTAUTUA MZIGO HUU SIKU TUTAKAPOAMINI BILA CCM INAWEZEKANA, kama tutaendelea na CCM tutapigwa danadana na habari zisizo rasmi TANESCO wanaandaa DODOSO LA KUPANDISHA BEI UMEME. wakipandisha tu posho ya ewura, REA, VAT zote zitapanda kwa sababu upatikana kupitia bei itakayopandishwa na TANESCO. mfano bei ikipanda hadi kufikia 450/- mtumiaji wa umeme utalipia uniti moja kwa tsh. 927 tena hapo tsh.5,520/- ambayo unalipia kila mwezi ibaki kama ilivyo.

bila vurugu za ufisadi bei ya umeme ni tsh. 373/- kwa unit ka elfu kumi kako ungepata uniti 26.8

TUCHAGUE CCM lakini TUTAMBUE NA CHANGAMOTO ZAKE.
 
Kuna kila dalili kwamba viongozi wakuu wa vyama vya upinzani waliotajwa katika report ya CAG wanatoka CHADEMA.Hii inatokana. na sintofahamu,taharuki na nia ya dhati kupotosha ukweli,dhihaka kwa watetezi na kuwachafua imejionyesha dhahiri chini ya vibaraka wao mjepo Nguruvi3 Yericko Nyerere IKWETE POMPO.

Mkuu Mingoi, mbona unahaha na kuhangaika kutoka jana, kama kuna kiongozi yoyote wa CHADEMA kahusika si uanzishe sredi kama hii ya Yericko Nyerere isiyo na chembe ya shaka, kuonyesha namna hao viongozi wa CHADEMA wamehusika na sakala la Escrow.

Kukaa mnalialia JF vijana wa Lumumba kama Pinda wenu haitosaidi, kuka mnaomba mods kufuta uzi, kama Lizaboni ni upuuzi. Jengeni hoja. Wekeni ushahidi hapa.

Na kama mpo makini zaidi, fungueni shauri mahakamani.Ndio maana ya chama tawala.

Vijana wa maccm kutwa kulalamika, viongozi wenu wanalalamika na kulialia hadharani ni aibu.

Tuwasaidieni nini?

Anzeni kujianda kisaikolojia kuwa chama pinzani kabla ya 2015.
 
Last edited by a moderator:
Na hapo mmeshaelewa kwanini yule waziri wa fedha alikuwa kolimbadi.....

Tatizo la tanzania ni mfumo. Huwezi kuwa against many,who also pretend to be with you
 
Bei ya umeme uniti 1= tsh.306.56/-
posho za ewura 1% = tsh. 3.07-
mchango REA 3% = tsh. 9.20/-
VAT 18% maVX = tsh. 55.18/-
tozo kila mwezi = tsh. 5,520/- (unalipa kila mwezi hata kama hujatumia)
JUmla LUKU Bei ya uniti 1 = tsh. 680/-

Kadirio la chini kabisa kwa nyumba ya familia ya watu watano walau wanahitaji uniti 1.5 kwa siku, gharama yake ni tsh.1020/- kwa siku.

Sababu ya gharama za uzalishaji umeme kuwa kubwa;
1.kila kukicha wakurugenzi wa TANESCO wanapiga dili, mfano Mhando.
2.kulipia tsh.5,520/- kila mwezi kwa ajili ya kukamilisha mikataba kama IPTL, Songas, RICHMOND, PAP, Dowans, Symbion

WANANCHI TUTAUTUA MZIGO HUU SIKU TUTAKAPOAMINI BILA CCM INAWEZEKANA, kama tutaendelea na CCM tutapigwa danadana na habari zisizo rasmi TANESCO wanaandaa DODOSO LA KUPANDISHA BEI UMEME. wakipandisha tu posho ya ewura, REA, VAT zote zitapanda kwa sababu upatikana kupitia bei itakayopandishwa na TANESCO. mfano bei ikipanda hadi kufikia 450/- mtumiaji wa umeme utalipia uniti moja kwa tsh. 927 tena hapo tsh.5,520/- ambayo unalipia kila mwezi ibaki kama ilivyo.

bila vurugu za ufisadi bei ya umeme ni tsh. 373/- kwa unit ka elfu kumi kako ungepata uniti 26.8

TUCHAGUE CCM lakini TUTAMBUE NA CHANGAMOTO ZAKE.

Ikumbukwe kwamba uhamishaji wa asilimia 70 ya hisa
za IPTL kwenda PAP umeambatana na nyaraka za
kughushi kutokana na kutokuwepo kabisa kwa
uthibitisho wa cheti halisi cha hisa (share certificate)
kutoka kampuni ya Mechmar kwenda kampuni ya
Piperlink. Nyaraka za TRA zinaonyesha kwamba hisa
hizo (70%) ziliuzwa kwa Shilingi za Kitanzania milioni
sita (6) tu. Na bado hakuna ushahidi kuonyesha
kwamba uhamishaji huo wa hisa ulipata baraka za
mamlaka husika kama inavyotakiwa na sheria za nchi.
Wakati huyo anayejiita mmiliki mpya wa IPTL aliposaini
mkataba wa kuchukua fedha kutoka akaunti ya Escrow
zilizokuwapo BoT, hakuwa mmiliki halali kisheria kwani
kodi ililipwa siku moja baada ya wao kupokea fedha
kutoka BoT. Sheria inataka kutolewa kwa cheti na
Kamishna wa TRA kama uthibitisho kwamba kodi yote
imelipwa ipasavyo (Sheria ya Fedha ya 2012 kifungu
cha 29).
Ni nani wamiliki wengine wa kampuni ya PAP?
Uchunguzi ni muhimu ukawalenga vigogo na wanasiasa
wakubwa wakiwamo watendaji waandamizi wa Wizara
ya Nishati na Madini.
Inapaswa tutafakari kuona kwamba Harbinder Singh
aliyechukua fedha za Escrow, anamiliki vitalu vya
mafuta na gesi kupitia kampuni iitwayo HydroTanz
ambayo nayo imesajiliwa nchini Australia, ikiwa na
anwani sawa na ya kampuni ya Simba Trust. Kitalu
hicho cha mafuta kinaitwa ‘Mnazi Bay North’, jirani
kabisa na ugunduzi mkubwa wa hivi karibuni mkoani
Mtwara.
 
Dongo, hoja hapa ni Yeriko kuitaja familia ya JK kuhusika na Escrow. Tumemtaka athibitishe ila mpaka sasa kakimbia mjadala

Mpelekeni mahakamani akathibitishie huko kama mnaweza. Kuthibitisha jf hakutakuwa na impact yoyote! Hivi kwa akili yako unadhani angeshusha nondo hizi bila ushahidi? Yaani umtuhumu mkuu wa kaya bila ushahidi?
 
Pasco, mbona hili suala liko straightforward kabisa??

kwenye level ya executive suala la conflict of interest lipo dhahiri. rais au wanafamilia hawapaswi kufanya biashara ambayo serikali ni mdau au ina maslahi ya moja kwa moja. mtu huhitajiki kuwa gwiji wa sheria kutambua hili.

but nnachojua mimi ni kuwa hili litapita tu kama ilivyopita issue ya Mkapa. kama lilivopita suala la EPA. kama ilivyopita issue ya Mwangosi (mwandishi). kama ya yule dk aliyeng'olewa meno. ne mengine mengi tu. why? kwa vile sisi Watz nikiwemo na mimi na wewe Pasco are simply f....ed!!

sijataja ya Richmond kwa vile kuna mtu aliamua kubeba masalaba kwa niaba ya "chief culprit" (ndiyo maana mimi nadiriki kusema kwa ujasiri kabisa kuwa asipoteuliwa Dr Slaa na chama chake kuwa candidate wa kuingia Magogoni 2015, mr grey head is my alternative default option).

positive words,
 
Mkuu Mmbabe, nawapenda sana watu wakweli toka ndani ya nafsi zao, na wewe uu mmoja waoi!.
Pamoja sana!.
Pasco.

Pasco naamini hata mr greyhair ni mkweli toka ndani ya nafsi yake, naunga mkono hoja!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom