Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Wanalima halafu WANYAMULENGE wanayachoma moto mazao ....

Wanazaliana kwa wale wanawake na wanaume WASIOUAWA kila uchao....

CCM haiongozi kwa shuruti.....watanzania hawaoni mbadala nje ya CCM....
Ww labda ndio huoni, mimi ni mtanzania na ninaona kabisa hakuna yoyote mwenye akili timamu atashindwa kuongoza hii nchi.
 
Hili la prezidaa kumshoot dead Ben saa8 niliwahi kulisikia kwa dada m1 wa kitengo. Ila nilimpuuza.
Nikaja kulisikia tena kwa jamaa fulani ambao walikuwa wakipiga story bar.

Lisemwalo lipo.
 
Ninachokiamini Kabendera hajakurupuka na kwa miaka 2 aliyotumia kuandika hicho kitabu amekusanya taarifa za kutosha hata huko alipo najua alijiandaa kwa yote hayo.

Pia ukimya wa serikali miaka 8 yote ndio umelifikisha hili suala hapa, Ben kama member mwenzetu humu thread yake ya mwisho ilikuwa ni "Ninatishiwa kuuwawa kwa kuikosoa serikali" na aliambatanisha hadi namba zilizomtishia ila kuna chombo chochote cha dola kiliwahi kuja na kutoa matokeo ya uchunguzi wa tishio hilo jibu ni hakuna.

Miezi 2 mbele Ben alitoweka na hadi leo mwaka wa 8 hajulikani alipo ndio Eric katutip kilichotokea .

Kwanza najua hiyo familia ya Magufuli wala haitoenda mahakamani maana kwa sababu kwa katiba hii rais ana kinga ya mashtaka awapo madarakani au atokapo madarakani hivyo kama wakienda mahakamani basi Magufuli hatopata mashtaka bali watu waliopo chini yake na kwa mujibu huo mnyororo wa kimamlaka katika taasisi ya urais utawaangukia wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kumbuka hata kabla ya 2023 baada ya sheria ya usalama wa taifa kubadilishwa maafisa hawakuwa na kinga ya mashtaka wala kutojulikana na hapa ndio msururu wa matukio mengi utaibuliwa ikiwa ni kama clean up ya kuisafisha taasisi sasa je nani yupo tayari kuja kutoa ushahidi kwenye kesi kama hiyo itakayohusisha vyombo vya ndani na nje ya nchi?

Kabendera hajakurupuka kuna mahali mfumo uligawanyika kuna watu walikuwa mfumoni hawakupenda yale yaliyokuwa yakiendelea na ndio walikuwa wakibutua kopo rejelea taarifa kadhaa za ile account ya Kigogo2014 kwa nyakati zile na sasa na hata kuna member humu aliwahi kutip off hii issue nimeusaka huo uzi sijafanikiwa kuupata yawezekana ulifutwa.

I stand to be corrected.
 
Nakataa kwamba Ben Saanane alipigwa risasi na Magufuli Ikulu.
Who the f... do you think you are! Eti unakataa na hapo hapo unadai dish la Kabendera limeyumba! Hivi kweli unajua aliyopitia Kabendera mkononi mwa jiwe?

Eti unakataa, were you there dude? Nadhani kama kuna mtu dish imeyumba ni wewe Nyani Ngabu. Washauri wafungue kesi and you can be their star witness!
 
Who the f... do you think you are! Eti unakataa na hapo hapo unadai dish la Kabendera limeyumba! Hivi kweli unajua aliyopitia Kabendera mkononi mwa jiwe?

Eti unakataa, were you there dude? Nadhani kama kuna mtu dish imeyumba ni wewe Nyani Ngabu. Washauri wafungue kesi and you can be their star witness!
Who am I? I am the muthaphuckin Nyani Son of Ngabu.

Better recognize.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Wamburuze mahakamani kwa kosa lipi??!!
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Yote hayo aliyataka Magufuli mwenyewe pamoja na System yote, hayo matukio ya watu kupotea au mauaji yangefanyiwa uchunguzi na umma ukajulishwa nini kimetokea, huyu kabendera angepata wap ujasiri wa kuandika hayo??

Infection Serikali ilikaa kimya kuhusiana na kupotea kwa Ben, mim binafs nalazimika kuyaamin mandishi ya Kabendera hadi pale serikali itakapotoa matokeo ya uchunguzi wake juu ya nini kilitokea kwa Ben Saanane.
 
Hivi muuaji anakuwa na alama fulani usoni? Kwa aina ya kukera alikokuwa anamkera Ben saa 8 Mzee magu, sioni ajabu kumlipua shaba kutokana na jinsi alivyokuwa hawezi kuvumilia kukosolewa
 
Back
Top Bottom