Mdogo angu yuko 30 nawe unataka wa 20 hana vigezo kwako
Mi nataka uzazi wa uhakika.
Maokoto ninayotafuta kwa jasho yapate warithi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo angu yuko 30 nawe unataka wa 20 hana vigezo kwako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyoooNimecheka sana Aisee! Eti "Povukwa" yaani "kutokwa na mapovu"
Km namuona Shebe anavyofurahi, ile muandiko utakua mzuri aseeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli tuwe tuna angalia watu wa kuzaa nao[emoji119][emoji849][emoji1787]
Huyo dada ana hatari kwa kusaka fursa yuko vizuri.Balaa tupu mjini mipango sanaaa...hahaaha
Hebu acha kutudanganya kitoto hivyo. Mtu yuko ICU alafu ndugu wawe wanaandaa harusi? Kadanganyane na January wako sio huku kwa sisi wenye akili timamuAcha ubishi wa kijinga, sawa.....
JANUARY MAKAMBA aligusia tayari walikua wanaandaa harusi nzuri tu kabla hajafa kwenye speech ya mazishi (which means tarehe ya ndoa ilikua imepangwa sio kama hao wako uliowataja)
Wewe kama ni kataa ndoa, kataa kwa immaturity yako ya kushindwa kumudu kuendesha familia acha kupakazia watu uongo uongo.
Halafu watoto wa nje huwa wanapata migao yao kama kawaida labda familia ya mwanaume wawe mazombie au mama mjengo awe na roho mbaya yeye binafsi
ilikua imepoa poa amsha amsha imepungua Sasa Inarudi Kwa kasi sanaKumbe zama tv zilizima[emoji1787][emoji1787]
Akili zako zenyewe hazikutoshi so stick to your bubbleHebu acha kutudanganya kitoto hivyo. Mtu yuko ICU alafu ndugu wawe wanaandaa harusi? Kadanganyane na January wako sio huku kwa sisi wenye akili
Huna mdogo wako tuongee kiutu uzimaWengine tuna mitambo ya kutotolesha baba mpaka mimba tunaziogopa na nimeanza kuzaa ndani ya 30 hapa mimba 2 watoto 5