Endelea kusubiri meli Airport
Lakini ungekua na akili kidogo tu, ungeelewa kwamba children are expensive na hela wanayoenda kupewa kwa niaba ya watoto inatua mzigo mkubwa sanaaaa.
Kwa mfano tu mtu akipata 250M kwenye mgao after makato na expenses, 10% return once fixed ni 25M kwa mwaka which is 2+M per month, hiyo hela unalea mtoto bila stress na akikua bado anakua na fungu lake.....
AU ULITAKA MZIMU WA JAMAA UFUFUKE UJE KUWA UNAPLAY PHYSICAL DADDY ROLES?
All in all uwe unauliza maswali yenye akili kidogo sawa?