Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Eti jasiri Muongoza njiaWanasoma Feza vizuri tu na kuishi kibosi. Mzee wa Ulisi kweli kalamba dume. Inaonesha Zamaradi aliachwa vizuri sana na jasiri muongoza njia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti jasiri Muongoza njiaWanasoma Feza vizuri tu na kuishi kibosi. Mzee wa Ulisi kweli kalamba dume. Inaonesha Zamaradi aliachwa vizuri sana na jasiri muongoza njia.
Ukiwa unafata masharti unadumu tu...Duuuh unatema checheeeee....
Hyo Grid kumbe ipo...
Ujue hawa mastaa wanafanya grid ionekane kama genereta tuu aisee..
Umeangalia wapi??? Wale watoto huwa mama yao anawapost jengo la feza international, so kama wanasoma Cambridge zingatia ada hapo chiniWatoto wanne Feza...pa year 28milions....kumbe ada sio nyingi...
Ruge alibakisha kidogo ugonjwa ndio ukawa serious, ila ndoa ilikiws final stagesRuge kafariki akiwa na miaka 50. Nandy alikuwa kachumbiwa kienyeji ili imani izidi. Kama alivyomchumbia Zamaradi ila kumuoa akagoma.
Ruge kuchumbia kienyeji kaanza zamani. Ila ndoa haoi, Mwanzoni kabisa alimchumbia dada anaeitwa Beza ambaye alizaa nae first born wake anaitwa Mwachi
Daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatambulikii
Ruge alibakisha kidogo ugonjwa ndio ukawa serious, ila ndoa ilikiws final stages
Kama Cambridge sawa...nasema za mtaala wa Ki Tanzania..Umeangalia wapi??? Wale watoto huwa mama yao anawapost jengo la feza international, so kama wanasoma Cambridge zingatia ada hapo chini
Ila ukiangalia huo mzunguko wake kwa hao wa jasiri muomgoza njia ni hatarii..ila wote wapo na wote wamezaa watoto..kweli dawa zinasaidia...Ukiwa unafata masharti unadumu tu...
I know someone anakunywa for more than 13 yrs and nadhani ni kati ya wale watu wa mwanzo mwanzo dawa zilipoingia, yupo anadunda tu mstaafu na hana lifestyle ya kubembeleza mwili
Inategemea alivipata lini..... mke wa RDJ mwanae mkubwa kiasi so may be ni zilipendwa, wakuangaliwa hapo ni zamaradi na waliomfata.Ila ukiangalia huo mzunguko wake kwa hao wa jasiri muomgoza njia ni hatarii..ila wote wapo na wote wamezaa watoto..kweli dawa zinasaidia...
Sana yule bite mwenye mtoto anaelingama na shuby amezaa na mzungu mwanawe mwingine nadhaniWamama wamebutua kombolelaa, 300M mbna nyingi wakiwa na akili ya kufanyia jambo la maana., woiiiih
HahaaaaaaaUna hasira sana, kwani mali ni za baba ako? Lol
Wawili zamaBil 2 gawanya 6 inakuja ngapi?
Au sbb ye ana watt 2?
Hivi hao 4 alizaa na kina nani?
Wanasoma feza international ada almost 23m dearWatoto wanne Feza...pa year 28milions....kumbe ada sio nyingi...
😳Mke wa rommy, makubwaWawili zama
Mmoja mkewe romy Jones
Mkubwa sijui kazaa na nani
Mmoja kazaa na dada mmoja hivi alipata umaarufu baada ya kudate na ruge anaitwa bite ig Name cabynevarda ana kashule kake kafungua
Hivi U&I entertainment ilikua inamilikiwa na huyu au nimechanganya desa?We wasema, watoto wa mercy hawakurithishwa chochote na baba yao? una uhakika? et wamesucrifice kujenga empire? motie angekuwa hai ningekubaliana na wewe, huyo wa kike anajua nn zaid ya kusagana, huyo wa kiume naye si boya tu kama boya wengine, amechangia nn kwenye mali za mzee? kama baba yake alimpa option abuni biashara au afungue kampuni amsupport yeye et anafungua studio halafu et anawarekodia wasanii bure, huyo mtu au kiazi, motie ndo alikuwa anajua anachokifanya hao wengine famba tu.
Mama zao kuwajua ishu mana sio maarufu kama zamaradiBil 2 gawanya 6 inakuja ngapi?
Au sbb ye ana watt 2?
Hivi hao 4 alizaa na kina nani?
Ada kubwa ya feza ni wale wanaosoma mtaala wa cambridge ila wale wa necta sio bei kubwa kwa mwakaWatoto wanne Feza...pa year 28milions....kumbe ada sio nyingi...
Yaani mchepuko TU unadai "Marehemu kauachia mali zote hata watoto hawana chao". Nani atakubaliana na ujinga huo.!?pongezi kwa familia ya ruge, Ngoma ingekuwa yamoto kwa ndugu zangu wa kibororoni na pale same.
Ndivyo walivyo amua kuzigawa hivyo😳Mke wa rommy, makubwa
Kwahiyo zama ana mil 600 + maana ye ana watt 2
Aloooo🙌