reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee
Ameula,kama ana akili umaskini ndo byebye ila akirogwa ampe mzee wa ulisi atajuta hiyo ela itapeperuka kufumba na kufumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee
Ameula,kama ana akili umaskini ndo byebye ila akirogwa ampe mzee wa ulisi atajuta hiyo ela itapeperuka kufumba na kufumbua
Wazazi wake na Ruge sio maskini.
Ruge kazaliwa marekani miaka ya 70s.
Imagine miaka ya 1970 baba na mama tayari wanaishi marekani.
Ruge baba yake professor udsm na mama yake Ruge pia ni PHD holder anafundisha udsm.
Familia ya Ruge sio familia ya kina kajamba nani. Ya kugombania urithi
Hili jambo liishe.Assuming upo sahihi... .hiyo haimpi Jack uhalali wa wosia ambao mahakamani ameangukia pua.
1. Nandy hajapata mgao?Binafsi huwa naona sio busara kama marehemu kaacha watoto...
Kikwetu mirathi inagawiwa kwa watoto (kama wadogo anasimamia mama), mke ana share yake mbali ya share ya watoto kama msimamizi watoto wakiwa wadogo na wazazi wa mume sehemu ndogo kama wapo hai
Hawajastaafu bado?Wazazi wake na Ruge sio maskini.
Ruge kazaliwa marekani miaka ya 70s.
Imagine miaka ya 1970 baba na mama tayari wanaishi marekani.
Ruge baba yake professor udsm na mama yake Ruge pia ni PHD holder anafundisha udsm.
Familia ya Ruge sio familia ya kina kajamba nani. Ya kugombania urithi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile siku hata Mimi nilipowa ona pamoja nikajua wapo kwenye ishu ya maokoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bentley [emoji23][emoji23][emoji23]Shabani sijui atanunuliwa gari Gani safari hii...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatambulikiiNandy nae kaachiwa nini sistangu?
Wee msalimie uduguu wanguu, muambie nimemmic sanaa.Namfikishia kama ilivyo, hope upo powa kabisa. Mm pia nimekumiss mno[emoji7]
Wamama wamebutua kombolelaa, 300M mbna nyingi wakiwa na akili ya kufanyia jambo la maana., woiiiihKapata 680m Kwa watoto wa wawili na yule alozaa na mke Wa Romy Jones kapata 300m na yule alozaa na mwingine nae 300m
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu anakupa wa kufanana nae shogaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haiwezekani gari ununue wewe halafu umpe Mtu mwingine Asante Kwa kununulia huoni kama vichwa vyao vinafana
Una hasira sana, kwani mali ni za baba ako? LolWe wasema, watoto wa mercy hawakurithishwa chochote na baba yao? una uhakika? et wamesucrifice kujenga empire? motie angekuwa hai ningekubaliana na wewe, huyo wa kike anajua nn zaid ya kusagana, huyo wa kiume naye si boya tu kama boya wengine, amechangia nn kwenye mali za mzee? kama baba yake alimpa option abuni biashara au afungue kampuni amsupport yeye et anafungua studio halafu et anawarekodia wasanii bure, huyo mtu au kiazi, motie ndo alikuwa anajua anachokifanya hao wengine famba tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaskini mbayaa jamani, unapovukwa kwa mali za wazazi wa wenzio, LolNani anaendesha kampuni? huyo msagaji? au huyo boya wa kiume, unaijua ipp vzuri wewe na wanaoiendesha tangia mzee akiwa hai ni akina nani? huyo wa kike anaendaga moshi kuchukua hela ya kwenda ngorongoro na mademu zake kuwasaga, hana anachojua, ungesema labda kidogo uncle wao ningekuelewa, ila huyo wa kike na hcho kiazi cha kiume, hamna kitu hapo,
Bil 2 gawanya 6 inakuja ngapi?Ile habari aliopost mange kusema zamaradi kaula ndo hii?
Kama ndo hii basi kaula kweli jamani
Unajua kusoma na kuelewa???1. Nandy hajapata mgao?
2. 2bn zimetokea wapi?
Hawa watt wengine 3 amezaa na nani?Ruge kafariki akiwa na miaka 50. Nandy alikuwa kachumbiwa kienyeji ili imani izidi. Kama alivyomchumbia Zamaradi ila kumuoa akagoma.
Ruge kuchumbia kienyeji kaanza zamani. Ila ndoa haoi, Mwanzoni kabisa alimchumbia dada anaeitwa Beza ambaye alizaa nae first born wake anaitwa Mwachi
Duh kumbe nyingi🤔🙄sio mbaya!bil 2 kwa watoto sita kila mtoto kaondoka na mil 333.333
Wamama wamebutua kombolelaa, 300M mbna nyingi wakiwa na akili ya kufanyia jambo la maana., woiiiih
Wanaenda kufungua maduka ya vipodozi.Wamama wamebutua kombolelaa, 300M mbna nyingi wakiwa na akili ya kufanyia jambo la maana., woiiiih
Duuuh unatema checheeeee....😆 😂 😆 😂
Ila kwa wale baby mama wengine hiyo hela ni nyingi
Kwa zama hata sio nyingi, watoto mfululu tena international school bado mwingine on the way, huku madeni, bado mume....
Nyieeeeeee
Ningekua zama ningeacha kuzaa nitunze afya kwanza, vile ana grid ya taifa, sababu akifa before wale watoto hawajafika 18 mzee wa ulisi hawezi lea wale watoto,
Bora hata wahaya watachukuliwa na ndugu zao
Ila angalau ile kashfa ya watoto hawasomeshwi blah blah imeisha
Mzee hii ni tafiti au unafikiria tu kutokana na uzoefu wako ?Ukitaka watoto wengi kwa kutegemea mwanamke mmoja akuzalie hao watoto. Jitahidi umuoe mapema sana. Kabla hajazidi miaka 20 awe ameshaanza kukuzalia..
Wanawake wanapata mimba zisizo na changamoto wanapokuwa wadogo.
Ila ukioa mwanamke wa miaka 28 ama 30. Hawezi kukuzaliwa watoto wanne ama watano. Labda apate mimba za mapacha