Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Wazazi wake na Ruge sio maskini.

Ruge kazaliwa marekani miaka ya 70s.

Imagine miaka ya 1970 baba na mama tayari wanaishi marekani.

Ruge baba yake professor udsm na mama yake Ruge pia ni PHD holder anafundisha udsm.

Familia ya Ruge sio familia ya kina kajamba nani. Ya kugombania urithi

Jamaa alikuwa na sura isiyokubali mafuta tu ila ni maisha bora kitambo[emoji38]
 
Binafsi huwa naona sio busara kama marehemu kaacha watoto...
Kikwetu mirathi inagawiwa kwa watoto (kama wadogo anasimamia mama), mke ana share yake mbali ya share ya watoto kama msimamizi watoto wakiwa wadogo na wazazi wa mume sehemu ndogo kama wapo hai
1. Nandy hajapata mgao?
2. 2bn zimetokea wapi?
 
Wazazi wake na Ruge sio maskini.

Ruge kazaliwa marekani miaka ya 70s.

Imagine miaka ya 1970 baba na mama tayari wanaishi marekani.

Ruge baba yake professor udsm na mama yake Ruge pia ni PHD holder anafundisha udsm.

Familia ya Ruge sio familia ya kina kajamba nani. Ya kugombania urithi
Hawajastaafu bado?
 
We wasema, watoto wa mercy hawakurithishwa chochote na baba yao? una uhakika? et wamesucrifice kujenga empire? motie angekuwa hai ningekubaliana na wewe, huyo wa kike anajua nn zaid ya kusagana, huyo wa kiume naye si boya tu kama boya wengine, amechangia nn kwenye mali za mzee? kama baba yake alimpa option abuni biashara au afungue kampuni amsupport yeye et anafungua studio halafu et anawarekodia wasanii bure, huyo mtu au kiazi, motie ndo alikuwa anajua anachokifanya hao wengine famba tu.
Una hasira sana, kwani mali ni za baba ako? Lol
 
Nani anaendesha kampuni? huyo msagaji? au huyo boya wa kiume, unaijua ipp vzuri wewe na wanaoiendesha tangia mzee akiwa hai ni akina nani? huyo wa kike anaendaga moshi kuchukua hela ya kwenda ngorongoro na mademu zake kuwasaga, hana anachojua, ungesema labda kidogo uncle wao ningekuelewa, ila huyo wa kike na hcho kiazi cha kiume, hamna kitu hapo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaskini mbayaa jamani, unapovukwa kwa mali za wazazi wa wenzio, Lol
 
Ruge kafariki akiwa na miaka 50. Nandy alikuwa kachumbiwa kienyeji ili imani izidi. Kama alivyomchumbia Zamaradi ila kumuoa akagoma.

Ruge kuchumbia kienyeji kaanza zamani. Ila ndoa haoi, Mwanzoni kabisa alimchumbia dada anaeitwa Beza ambaye alizaa nae first born wake anaitwa Mwachi
Hawa watt wengine 3 amezaa na nani?
 
😆 😂 😆 😂
Ila kwa wale baby mama wengine hiyo hela ni nyingi
Kwa zama hata sio nyingi, watoto mfululu tena international school bado mwingine on the way, huku madeni, bado mume....
Nyieeeeeee
Ningekua zama ningeacha kuzaa nitunze afya kwanza, vile ana grid ya taifa, sababu akifa before wale watoto hawajafika 18 mzee wa ulisi hawezi lea wale watoto,
Bora hata wahaya watachukuliwa na ndugu zao

Ila angalau ile kashfa ya watoto hawasomeshwi blah blah imeisha
Duuuh unatema checheeeee....
Hyo Grid kumbe ipo...
Ujue hawa mastaa wanafanya grid ionekane kama genereta tuu aisee..
 
Ukitaka watoto wengi kwa kutegemea mwanamke mmoja akuzalie hao watoto. Jitahidi umuoe mapema sana. Kabla hajazidi miaka 20 awe ameshaanza kukuzalia..

Wanawake wanapata mimba zisizo na changamoto wanapokuwa wadogo.

Ila ukioa mwanamke wa miaka 28 ama 30. Hawezi kukuzaliwa watoto wanne ama watano. Labda apate mimba za mapacha
Mzee hii ni tafiti au unafikiria tu kutokana na uzoefu wako ?
 
Back
Top Bottom