Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania.

Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi kwa mama zao kuwasimamia watoto wafaidi urithi wa baba yao kama WANA AKILI TIMAMU. Maana baba kajua kuwatunza wanae kutoka kaburini, sio kama wanaume wanazaa kama panya na kutunza watoto hawatunzi tena wakiwa hai na vijisababu kibao ati amejibebesha mimba.
Maana sehemu ya pesa hiyo ikiingizwa UTT au government bonds watoto wanasoma mpaka chuo kikuu bila shida.

MY TAKE: Kuna Wimbi kubwa kwa ndugu wa mume kuwa na nongwa kweli na mali za marehemu, wengi huwa hawajahusika hata kuzitafuta. Mke na watoto unajikuta umebaki unahangaika kama vile hukuachiwa chochote.

Hii familia ni ya kupongezwa na Mungu awabariki kwa mioyo yao isiyo na tamaa. Kazi kwao wasimamia mirathi.

Na wewe mwanaume kama upo hai na unashindwa kutunza wanao/mwanao kwa uwezo wako uliobarikiwa, jua wewe ni mbwa koko tu maana dunia imeendelea hakuna mama mwenye uwezo wa kumzuia baba kutunza mwanae baba akiwa na nia.

Joke: wale ambao mnazaa na watu wakifa wanawaachia magonjwa, msururu wa watoto wa nje na madeni juu poleni 😄 🤣 😂 😆 THE LORD IS YOUR SHEPHERD
Hapoomwishooo nimechekaaaa ikabidi nimwombee Munguu nisifekabisaa
 
According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania.

Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi kwa mama zao kuwasimamia watoto wafaidi urithi wa baba yao kama WANA AKILI TIMAMU. Maana baba kajua kuwatunza wanae kutoka kaburini, sio kama wanaume wanazaa kama panya na kutunza watoto hawatunzi tena wakiwa hai na vijisababu kibao ati amejibebesha mimba.
Maana sehemu ya pesa hiyo ikiingizwa UTT au government bonds watoto wanasoma mpaka chuo kikuu bila shida.

MY TAKE: Kuna Wimbi kubwa kwa ndugu wa mume kuwa na nongwa kweli na mali za marehemu, wengi huwa hawajahusika hata kuzitafuta. Mke na watoto unajikuta umebaki unahangaika kama vile hukuachiwa chochote.

Hii familia ni ya kupongezwa na Mungu awabariki kwa mioyo yao isiyo na tamaa. Kazi kwao wasimamia mirathi.

Na wewe mwanaume kama upo hai na unashindwa kutunza wanao/mwanao kwa uwezo wako uliobarikiwa, jua wewe ni mbwa koko tu maana dunia imeendelea hakuna mama mwenye uwezo wa kumzuia baba kutunza mwanae baba akiwa na nia.

Joke: wale ambao mnazaa na watu wakifa wanawaachia magonjwa, msururu wa watoto wa nje na madeni juu poleni 😄 🤣 😂 😆 THE LORD IS YOUR SHEPHERD
Uombeeee na wazazi wakooo wawee matajiri nduguuuu

Pesa za Ruge zilianzaaa na uzao

Baba na mama wakiwaaa halibinhofu wajukuuu wasubirie sanaaaa
 
We wasema, watoto wa mercy hawakurithishwa chochote na baba yao? una uhakika? et wamesucrifice kujenga empire? motie angekuwa hai ningekubaliana na wewe, huyo wa kike anajua nn zaid ya kusagana, huyo wa kiume naye si boya tu kama boya wengine, amechangia nn kwenye mali za mzee? kama baba yake alimpa option abuni biashara au afungue kampuni amsupport yeye et anafungua studio halafu et anawarekodia wasanii bure, huyo mtu au kiazi, motie ndo alikuwa anajua anachokifanya hao wengine famba tu.

Kila mtu anajua Mutie ndio alikuwa the next king kutokana na mafanikio ya EATV& EA Radio lakini hata hao mafamba ndio wanaendesha kampuni za baba yao na IPP haijafa hadi leo.

Vipi kwanza Amorrete inaendeleaje au imekuwa lifemate furniture au GSM maana inaonekana mjane kaonewa wakati ana uwezo mkubwa wa kusimamia biashara
 
Kila mtu anajua Mutie ndio alikuwa the next king kutokana mafanikio ya EATV& EA Radio lakini hata hao mafamba ndio wanaendesha kampuni za baba yao na IPP haijafa hadi leo.

Vipi kwanza Amorrete inaendeleaje au imekuwa lifemate furniture au GSM maana inaonekana mjane kaonewa wakati ana uwezo mkubwa wa kusimamia biashara
Nani anaendesha kampuni? huyo msagaji? au huyo boya wa kiume, unaijua ipp vzuri wewe na wanaoiendesha tangia mzee akiwa hai ni akina nani? huyo wa kike anaendaga moshi kuchukua hela ya kwenda ngorongoro na mademu zake kuwasaga, hana anachojua, ungesema labda kidogo uncle wao ningekuelewa, ila huyo wa kike na hcho kiazi cha kiume, hamna kitu hapo,
 
Uombeeee na wazazi wakooo wawee matajiri nduguuuu

Pesa za Ruge zilianzaaa na uzao

Baba na mama wakiwaaa halibinhofu wajukuuu wasubirie sanaaaa
Bongo kungekua na system ya Trust Fund iliyonyooka vizuri, mtu na vihela vyako wala unakua huna hofu...
Unatupa mali zako huko trustees wataendelea kubenefit bila migogoro ya wananzengo
 
Nani anaendesha kampuni? huyo msagaji? au huyo boya wa kiume, unaijua ipp vzuri wewe na wanaoiendesha tangia mzee akiwa hai ni akina nani? huyo wa kike anaendaga moshi kuchukua hela ya kwenda ngorongoro na mademu zake kuwasaga, hana anachojua, ungesema labda kidogo uncle wao ningekuelewa, ila huyo wa kike na hcho kiazi cha kiume, hamna kitu hapo,
Assuming upo sahihi... .hiyo haimpi Jack uhalali wa wosia ambao mahakamani ameangukia pua.
 
Hayo mambo ya kugombania mirathi yana wenyewe!

Picha ingeanzia kwenye kumpata msimamizi.
Watu wa Dar, waswahili, mume anaacha mke na MASURIA zaidi ya tano.

Mtu kama Diamond platinumz, akidanja ugomvi utaisha lini? Aje Zari , aje Hamisa, AJE Tanasha, aje ?Zuchu, Aje Yle mkuu wa nanii , hivi huko mahakamani kutakalika kweli?
 
Nani anaendesha kampuni? huyo msagaji? au huyo boya wa kiume, unaijua ipp vzuri wewe na wanaoiendesha tangia mzee akiwa hai ni akina nani? huyo wa kike anaendaga moshi kuchukua hela ya kwenda ngorongoro na mademu zake kuwasaga, hana anachojua, ungesema labda kidogo uncle wao ningekuelewa, ila huyo wa kike na hcho kiazi cha kiume, hamna kitu hapo,

Kumbe Regina hahusiki kwenye kuendesha IPP,

Umehadithiwa au upo kwenye management, kama haupo kwenye management na hufanyi kazi IPP, hayo unayoyaongea ni hear says maana nachojua Regy kaanza kuingia toka mzee wake yupo hai na akiingia ofisi yoyote ya IPP sio nobody kama klyn..

By the way sina haja ya kubishana, Mengi kashafariki, mjane hajakabidhiwa alichotamani kupata, IPP bado ipo..

Mshindi ni wewe 😁
 
[emoji38] [emoji23] [emoji38] [emoji23]
Ila kwa wale baby mama wengine hiyo hela ni nyingi
Kwa zama hata sio nyingi, watoto mfululu tena international school bado mwingine on the way, huku madeni, bado mume....
Nyieeeeeee
Ningekua zama ningeacha kuzaa nitunze afya kwanza, vile ana grid ya taifa, sababu akifa before wale watoto hawajafika 18 mzee wa ulisi hawezi lea wale watoto,
Bora hata wahaya watachukuliwa na ndugu zao

Ila angalau ile kashfa ya watoto hawasomeshwi blah blah imeisha

Zama ana mimba??
 
Bongo kungekua na system ya Trust Fund iliyonyooka vizuri, mtu na vihela vyako wala unakua huna hofu...
Unatupa mali zako huko trustees wataendelea kubenefit bila migogoro ya wananzengo
Kabisa ndugu
 
Vipi hawa wajane wengine hawapo kwenye mirathi?

Achana na wanawake aliozaa nao, naongelea wale mhh
 
Vipi hawa wajane wengine hawapo kwenye mirathi?

Achana na wanawake aliozaa nao, naongelea wale mhh
Najiuliza tu, wajane watakorithi ni hawa waliozalishwa, We-ema Septu, Zu-uhuchu, adija Kakopa na Jukati hawajazalshwa hivyo hakuna urithi.
 
Kumbe Regina hahusiki kwenye kuendesha IPP,

Umehadithiwa au upo kwenye management, kama haupo kwenye management na hufanyi kazi IPP, hayo unayoyaongea ni hear says maana nachojua Regy kaanza kuingia toka mzee wake yupo hai na akiingia ofisi yoyote ya IPP sio nobody kama klyn..

By the way sina haja ya kubishana, Mengi kashafariki, mjane hajakabidhiwa alichotamani kupata, IPP bado ipo..

Mshindi ni wewe
 
Pongezi because specifically concubines and I'm sorry to say bastards of the deceasea wamefaidika na mirathi, na wazazi marehemu na ndugu wameamua wasidai kitu kutokana na hali zao nzuri kiuchumi. Hii sheria itazamwe sidhani ni haki watoto na mama zao pekee kufaidika na mirathi huku wazazi wa marehemu ambao muda huo wanakuwa wamezeeka wanahitaji kutunzwa, bahati hapa wazazi wako well off, kwingine lazma migogoro itokee.
 
Back
Top Bottom