reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Wamezaliwa tofauti ni ngumu na mama zao hawaelewaniBadala ya kuendeleza baba yao alipoishia wao wanauza wanaanza na moja, ndo maana umaskini africa hautaisha[emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezaliwa tofauti ni ngumu na mama zao hawaelewaniBadala ya kuendeleza baba yao alipoishia wao wanauza wanaanza na moja, ndo maana umaskini africa hautaisha[emoji1][emoji1]
Ila watu Wana pesa jamaniWangeendeleza nini sasa....
Watoto 6 kila mtu na mama yake
Wote minors mmoja tu ndo mkubwa
Na ile nyumba ilikua ni residential stand alone sio hata commercial.
Vitu vingine huwa ni rahisi kufanyika kama wanufaika wanatoka familia moja, ni rahisi kuongea lugha moja
Na ukiongalia kwa jicho la tatu, huo mgao anaopata kila mtoto unaweza kufanyiwa a much better investment.
Mzazi anaweza amua kuplay safe nusu akamfixia UTT aje achukue akifika 18 nusu ingine inatosha kumsomesha hata kwa kuweka government bonds or ukwasi huko huko UTT
Mwanaume ukitaka mali yako iende generations fanya maandalizi ya warithi, fungua biashara na usizae kila sehemu sababu kila mtu kutaka afe na chake haipukiki
Mungu anakupa wa kufanana nae shogaa🤣🤣🤣 haiwezekani gari ununue wewe halafu umpe Mtu mwingine Asante Kwa kununulia huoni kama vichwa vyao vinafanaHivi hata kutaka heshima ndiyo uangukie popote jamani....mbona me ni wengi sana wa maana tu au basi[emoji1787]
Kapata 300mHalafu si Mr Urisi shabani ndio alisema[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto hawatunzwiii ila shebyyy nyieeee.....na yule mke wa Tommy Jones nae kapata sio?
Sanaaaa,sio zama tu ruge hakutelekeza mtoto wake ht mmojaWanasoma Feza vizuri tu na kuishi kibosi. Mzee wa Ulisi kweli kalamba dume. Inaonesha Zamaradi aliachwa vizuri sana na jasiri muongoza njia.
Ahsante Kwa hiloRuge hakuwai kuoa ndio sababu umeona hivyo hakuna mgogoro. Maana watoto wote na ndugu za ruge wana haki sawa
Mirathi za matajiri zinakuaga zina shida kukiwa na mke.
Hata Ruge angekuwa ameoa ana Mke. Mirathi yake isingekuwa nyepesi.
Mke halali huwa ana nguvu sana kwenye sheria ya ndoa.. ndugu wanakuwa hawana mamlaka yoyote ndio ugomvi unatokea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah ila uchawi upoMungu anakupa wa kufanana nae shogaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haiwezekani gari ununue wewe halafu umpe Mtu mwingine Asante Kwa kununulia huoni kama vichwa vyao vinafana
Ila watu Wana pesa jamani
2b kunnua nyumba tu duhhh!!
Yule carby kama namuona vile akipokea bingo yake 😁 imekuaje kwanza mpka mzigo umeuzwa huoExactlyyyy what I thought, ila sasa ndo mpaka mama awe ja hiyo akili....
Mimi naamini 10% annualy ya hiyo inatosha kumlea mtoto every year in addition kwa malezi ulokua unampa kabla ya mgao.
Ebhanaeeee mizigo kama ya eskrooooooww 🔥Kapata 680m Kwa watoto wa wawili na yule alozaa na mke Wa Romy Jones kapata 300m na yule alozaa na mwingine nae 300m
Jamaa alikuwa yupo vizuri kwenye matunzo ndio maana baby mamaz wote siku ya msiba walikuwa wanamwaga choziSanaaaa,sio zama tu ruge hakutelekeza mtoto wake ht mmoja
Sio mbongo.....Ila watu Wana pesa jamani
2b kunnua nyumba tu duhhh!!
Mwanaume haswa... ukijua kumwaga mbegu lea kiroho safiJamaa alikuwa yupo vizuri kwenye matunzo ndio maana baby mamaz wote siku ya msiba walikuwa wanamwaga chozi
Aaah wahuni wamemuingiza kingi mzungu sioSio mbongo.....
Hivi yule Mimi si Mmakonde yule.....Heee nmanyema kazidiwa ujanja na nmakonde 😁😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah ila uchawi upo
Alooooh😋😋😋😋😋 Tuendelee kuangalia watu wa kuwazalia🏃🏃🏃🏃🏃Kapata 300m
Dada wa taifa amewahi kuwepo profile yake ya kiutamaduni.....mwamba yuko vizuri[emoji85]Hivi yule Mimi si Mmakonde yule.....Heee nmanyema kazidiwa ujanja na nmakonde [emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani bonge la bingo waliko wanacheka tuEbhanaeeee mizigo kama ya eskrooooooww [emoji91]
Simpatii picha na Yale mashauzi asehhhYule carby kama namuona vile akipokea bingo yake [emoji16] imekuaje kwanza mpka mzigo umeuzwa huo
Hahahahaa.....bahati tu Kuna wamezaa na matajiri wameambulia majanga tu...Alooooh[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Tuendelee kuangalia watu wa kuwazalia[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]