Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Hivi kwa nini mnawazaga .wanaume kutangulia kufa kabla ya mwamke[emoji24]
Iko wazi idadi ya wajane ni kubwa kuliko wagane...
Kingine sijaongelea wanaume kutangulia kufa, nimeongelea wajane ambao siku ya mazishi ya waume zao wanapata maumivu extra nje ya maumivu ya msiba.
Kuna wanaume kibao tu wanaacha familia katika madeni na kama haitoshi siku ya msiba ndo unaletewa watoto aliozaa kwa siri.
Ni busara kama baba usipoacha mali kwa familia yako basi usiwaachie madeni waache wapambane ulipoishia
 
Badala ya kuendeleza baba yao alipoishia wao wanauza wanaanza na moja, ndo maana umaskini africa hautaisha[emoji1][emoji1]
Wangeendeleza nini sasa....
Watoto 6 kila mtu na mama yake
Wote minors mmoja tu ndo mkubwa
Na ile nyumba ilikua ni residential stand alone sio hata commercial.

Vitu vingine huwa ni rahisi kufanyika kama wanufaika wanatoka familia moja, ni rahisi kuongea lugha moja

Na ukiongalia kwa jicho la tatu, huo mgao anaopata kila mtoto unaweza kufanyiwa a much better investment.
Mzazi anaweza amua kuplay safe nusu akamfixia UTT aje achukue akifika 18 nusu ingine inatosha kumsomesha hata kwa kuweka government bonds or ukwasi huko huko UTT

Mwanaume ukitaka mali yako iende generations fanya maandalizi ya warithi, fungua biashara na usizae kila sehemu sababu kila mtu kutaka afe na chake haipukiki
 
According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania.

Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi kwa mama zao kuwasimamia watoto wafaidi urithi wa baba yao kama WANA AKILI TIMAMU. Maana baba kajua kuwatunza wanae kutoka kaburini, sio kama wanaume wanazaa kama panya na kutunza watoto hawatunzi tena wakiwa hai na vijisababu kibao ati amejibebesha mimba.
Maana sehemu ya pesa hiyo ikiingizwa UTT au government bonds watoto wanasoma mpaka chuo kikuu bila shida.

MY TAKE: Kuna Wimbi kubwa kwa ndugu wa mume kuwa na nongwa kweli na mali za marehemu, wengi huwa hawajahusika hata kuzitafuta. Mke na watoto unajikuta umebaki unahangaika kama vile hukuachiwa chochote.

Hii familia ni ya kupongezwa na Mungu awabariki kwa mioyo yao isiyo na tamaa. Kazi kwao wasimamia mirathi.

Na wewe mwanaume kama upo hai na unashindwa kutunza wanao/mwanao kwa uwezo wako uliobarikiwa, jua wewe ni mbwa koko tu maana dunia imeendelea hakuna mama mwenye uwezo wa kumzuia baba kutunza mwanae baba akiwa na nia.

Joke: wale ambao mnazaa na watu wakifa wanawaachia magonjwa, msururu wa watoto wa nje na madeni juu poleni 😄 🤣 😂 😆 THE LORD IS YOUR SHEPHERD


Unajua watu wanapongeza mtu binafsi lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa alikuwa na marafiki wenye uwezo na wanao mjali kama ndugu. Bahati nzuri marafiki zake ni wafanyabiashara wazuri ndiyo maana walimshauri vizuri.

Somo hapa kuwa makini sana na marafiki zako maana wanaweza kukusaidia wakati wa matatizo au wakakusahau.
 
Unakaa kusubili mume afe akuachie mali tafuta zako kama wanawake wengine, usigeuze watoto mtaji,
Kwenda huko na wewe,
Wanaotafuta mali za urithi wanazaa na wanaume wazee wenye hela sio vijana refer Mrs Mengi.
Hao wanawake wote wamezaa nae umri ambao hutarajii mtu afe karibuni, na sidhani kama marehemu ana asset ingine kubwa kama hiyo residental ya masaki

Point ni kwamba kama wewe kidume
1. Jitahidi kuchagua mama bora kwa wanao ili usiishi ukiogopa kifo kwamba watakua machokoraa
2. Tunza wanao ipasavyo kabla hujafa na ukibarikiwa wawekee misingi incase ukifa kabla hawajajitegea
3. Na ikitokea umepata pre mature death basi tukusifie kama hivi hujaacha wanao wakitangatanga
 
Shabani sijui atanunuliwa gari Gani safari hii...
😆 😂 😆 😂
Ila kwa wale baby mama wengine hiyo hela ni nyingi
Kwa zama hata sio nyingi, watoto mfululu tena international school bado mwingine on the way, huku madeni, bado mume....
Nyieeeeeee
Ningekua zama ningeacha kuzaa nitunze afya kwanza, vile ana grid ya taifa, sababu akifa before wale watoto hawajafika 18 mzee wa ulisi hawezi lea wale watoto,
Bora hata wahaya watachukuliwa na ndugu zao

Ila angalau ile kashfa ya watoto hawasomeshwi blah blah imeisha
 
😆 😂 😆 😂
Ila kwa wale baby mama wengine hiyo hela ni nyingi
Kwa zama hata sio nyingi, watoti mfululu, huku madeni, bado mume....
Nyieeeeeee

Ila angalau ile kashfa ya watoto hawasomeshwi blah blah imeisha
Halafu si Mr Urisi shabani ndio alisema🤣🤣🤣 watoto hawatunzwiii ila shebyyy nyieeee.....na yule mke wa Tommy Jones nae kapata sio?
 
According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania.

Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi kwa mama zao kuwasimamia watoto wafaidi urithi wa baba yao kama WANA AKILI TIMAMU. Maana baba kajua kuwatunza wanae kutoka kaburini, sio kama wanaume wanazaa kama panya na kutunza watoto hawatunzi tena wakiwa hai na vijisababu kibao ati amejibebesha mimba.
Maana sehemu ya pesa hiyo ikiingizwa UTT au government bonds watoto wanasoma mpaka chuo kikuu bila shida.

MY TAKE: Kuna Wimbi kubwa kwa ndugu wa mume kuwa na nongwa kweli na mali za marehemu, wengi huwa hawajahusika hata kuzitafuta. Mke na watoto unajikuta umebaki unahangaika kama vile hukuachiwa chochote.

Hii familia ni ya kupongezwa na Mungu awabariki kwa mioyo yao isiyo na tamaa. Kazi kwao wasimamia mirathi.

Na wewe mwanaume kama upo hai na unashindwa kutunza wanao/mwanao kwa uwezo wako uliobarikiwa, jua wewe ni mbwa koko tu maana dunia imeendelea hakuna mama mwenye uwezo wa kumzuia baba kutunza mwanae baba akiwa na nia.

Joke: wale ambao mnazaa na watu wakifa wanawaachia magonjwa, msururu wa watoto wa nje na madeni juu poleni 😄 🤣 😂 😆 THE LORD IS YOUR SHEPHERD
Nandy nae kaachiwa nini sistangu?
 
Ila hamna akili wala nn zaidi ngoja balaa lianze , watoto 6 kila mmoja na mama ake hamna bond hapo ,ngoja balaa utaona ..

Pesa zote alikuwa anachangiwa acheni utani.... Familia ilizidiwa gharama mtu kafa anajiona.
 
Ila hamna akili wala nn zaidi ngoja balaa lianze , watoto 6 kila mmoja na mama ake hamna bond hapo ,ngoja balaa utaona ..

Pesa zote alikuwa anachangiwa acheni utani.... Familia ilizidiwa gharama mtu kafa anajiona.

Ukitaka watoto wengi kwa kutegemea mwanamke mmoja akuzalie hao watoto. Jitahidi umuoe mapema sana. Kabla hajazidi miaka 20 awe ameshaanza kukuzalia..

Wanawake wanapata mimba zisizo na changamoto wanapokuwa wadogo.

Ila ukioa mwanamke wa miaka 28 ama 30. Hawezi kukuzaliwa watoto wanne ama watano. Labda apate mimba za mapacha
 
Kila mtoto akiwekewa Government bonds kwenye hio hela in compunding interest mpaka wanafika 20 years kila mmoja ana hela ya kutosha. Kuna watu wana bahati kweli kweli.
Exactlyyyy what I thought, ila sasa ndo mpaka mama awe ja hiyo akili....
Mimi naamini 10% annualy ya hiyo inatosha kumlea mtoto every year in addition kwa malezi ulokua unampa kabla ya mgao.
 
Exactlyyyy what I thought, ila sasa ndo mpaka mama awe ja hiyo akili....
Mimi naamini 10% annualy ya hiyo inatosha kumlea mtoto every year in addition kwa malezi ulokua unampa kabla ya mgao.
Wanasoma Feza vizuri tu na kuishi kibosi. Mzee wa Ulisi kweli kalamba dume. Inaonesha Zamaradi aliachwa vizuri sana na jasiri muongoza njia.
 
Back
Top Bottom