Kwa nmujibu wa andiko hapo juu mkuu wametaja idadi hiyo kuna wengine wapo SecAaha kama anao wenginee sawaa nikajua ndo walee tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nmujibu wa andiko hapo juu mkuu wametaja idadi hiyo kuna wengine wapo SecAaha kama anao wenginee sawaa nikajua ndo walee tuu.
Sauli alishafulia Hana jipya
Sauli alishafulia Hana jipya
Sauli alishafulia Hana jipya
Kweli kuwa ma mabasi mane tau.Siamini kama alikuwa vizuriSauli alishafulia Hana jipya
Inafikirisha sana mzazi kutembea na mtoto mdogo wa umri ule safarini na muda ule. Mama yake mtoto alikuwa wapi hadi wawe wawili tu kwenye gari?"Alikuwa mpenzi sana na watoto wake, ndio maana hata kwenye ajali alikuwa na mwanaye mdogo ambaye alijeruhiwa kidogo,
Mimi mara nyingine huwa Natalia ya kutembea na wanangu haswaa kwenye ruti za go and return, chap chapInafikirisha sana mzazi kutembea na mtoto mdogo wa umri ule safarini na muda ule. Mama yake mtoto alikuwa wapi hadi wawe wawili tu kwenye gari?
Sauli alishafulia Hana jipya
Sauli alishafulia Hana jipya
Anyway, labda tungejua muda huo wa alfajiri aliopata ajali alikuwa akisafiri kutoka wapi na akienda wapi. Lakini kama ilikuwa ni safari ya kwenda mbali yeye pekee yake na huyo mtoto wa miaka minne bila kuwepo mama yake au msaidizi wa kumbeba huyo mtoto sichelei kusema haijakaa sawa kabisa. Maana mtoto huyo hata kumfunga seat belt ni ngumu na pia dereva hawezi kuendesha huku kampakata mtoto mdogo. Nitaelewa tu pale nitakapoeleweshwa.Mimi mara nyingine huwa Natalia ya kutembea na wanangu haswaa kwenye ruti za go and return, chap chap
Hizo Jeep ukienda Sauz za kuokota muulize Isanga familyUnasema milionea/bilionea kwamba amefulia ? Hiyo jeep tu aliyokuwa nayo ni watanzania wangapi wanaweza kuimiliki ?
Bongo tunanunua used tunaita mpya kwa namba zenu za Mchongo E. Jeep ya mwaka gani?Tena gari ni mpya namba EG…..
Yap sema mshikaji alikua na hela mazee connection ya madini anayo kwenye damu toka muda mrefu sana na pia huyu Mwamba mimi nilikua namkubali sana kwa sababu ya uthubutu wake kuliko wawekezaji wengi..Hizo Jeep ukienda Sauz za kuokota muulize Isanga family
Tofuati na mabai na mgodi aliwekeza kwenye nini? RIPYap sema mshikaji alikua na hela mazee connection ya madini anayo kwenye damu toka muda mrefu sana na pia huyu Mwamba mimi nilikua namkubali sana kwa sababu ya uthubutu wake kuliko wawekezaji wengi..
Pana viti vyao mkuu vya watoto au..Anyway, labda tungejua muda huo wa alfajiri aliopata ajali alikuwa akisafiri kutoka wapi na akienda wapi. Lakini kama ilikuwa ni safari ya kwenda mbali yeye pekee yake na huyo mtoto wa miaka minne bila kuwepo mama yake au msaidizi wa kumbeba huyo mtoto sichelei kusema haijakaa sawa kabisa. Maana mtoto huyo hata kumfunga seat belt ni ngumu na pia dereva hawezi kuendesha huku kampakata mtoto mdogo. Nitaelewa tu pale nitakapoeleweshwa.
Halafu akaendaInauma sana yani kule nyanda za juu alikua anakuja vizuri sana ndo alikua tajiri wao?
Mkuu mimi huwa siwafatilii watu sana ila kwa umri wake ni real fighter kwangu..Tofuati na mabai na mgodi aliwekeza kwenye nini? RIP
alikua na wake 6Mkewe atamilikiwa na nani mbona hawasemi
Mabasi ,hawawezi mana yanaonekana