Familia ya Sauli yaeleza miradi watakavyoisimamia, watoto watakavyoishi

Mungu hakupi vyote ndugu.....Tajiri na mali Maskini na wana
 
Mtoto alipona duu...
Watoto ni malaika wengi huwa wanapona
Nonsense.Hoja yako ingekuwa na mashiko kama watoto wote wangekuwa hawafi kwenye ajali.Usisahau kuna watu wazima wengi tu wanaopona kwenye ajali mbaya sana kama JAL 123
 
Nonsense.Hoja yako ingekuwa na mashiko kama watoto wote wangekuwa hawafi kwenye ajali.Usisahau kuna watu wazima wengi tu wanaopona kwenye ajali mbaya sana kama JAL 123
Kunywa maji naona umepanick kwa hoja ambayo hukuona generalization...labda ni wapi nimeandika "watoto wote huwa wanapona???
Nonsense......
 
Kunywa maji naona umepanick kwa hoja ambayo hukuona generalization...labda ni wapi nimeandika "watoto wote huwa wanapona???
Nonsense......
Unaona ulivyo KIAZI, umesema watoto ni Malaika ndio maana wengi huwa wanapona kwenye ajali. Nimekwambia hoja yako ni ya KIPUUZI sababu kupona kwenye ajali ni bahati tu haijalishi ni mtoto au mtu mzima.
Watoto sio Malaika,acha UPUMBAVU.
 
Kwa hiki ulichoandika unathibitisha kwamba nilikuwa sahihi kukuita KIAZI na MPUMBAVU.
Come on, I'm just getting started.
Kimekuramba...siku hizi sibishani na wanaume wenye midomo mirefu kama wanakalia moto....napoteza muda tuu
Hapa mm na ww nadhani umeonekana ww ndo juha..mpumbavu kiazi na huna adabu...
Yani umekuta comment ya mtu..hujapendezwa nayo unakuja na kumtukana uko salama kweli?
Hiyo title ya Sir toa hapo ww ni jr...Sir hawezi kuropokwa na matusi juu kisa kaona comment ambayo haijampendeza...
Nimemaliza ukiendelea...basi unakalia moto kweli....
Watoto ni malaika Andamana....
 
Nafurahi unavyozidi kuthibitisha kuwa wewe ni KIAZI na MPUMBAVU kama nilivyosema hapo awali.
Nipo hapa mpaka ukimbie.
 
aisee, ushauri kwa familia, biashara ya mabus kama hakuna aliyeachiwa njia na namna yakuyaendesha wayauze aisee hela zifanye mambo mengine, hiyo biashara inataka adabu ya Hali ya juu, nazungumzia jambo ninalolifahamu.

Kwenye migodi nako ni yaleyale tu, unahitaji descipline kuendesha mashimo hasa kama bado njia haijafikiwa, ila kama wapo kwenye mwamba mali inatoka wawe na adabu pia ya matumizi maana njia chini huwa zinakata pia, wanaweza kuleta kizaazaa kwenye familia, nazungumzia jambo ninalolifahamu pia.

All in all, nawatakia kheri familia kwenye uendeshaji na usimamizi wa mali mwamba, zinufaishe familia, ndugu na jamaa kama ambavyo mwenyewe alivyokuwa hai.
Apumzike Kwa amani bwana Sauli na tunamuombea kwa mwenyezi Mungu amfanyie wepesi kwenye safari yake ya mpya ya maisha.
 
Hakuna.kitu.
 
Mtu alikuwa hata kuzikwa hajazikwa ila mshaanza kuongelea usimamizi wa mali zake, Lol
 
AAcha ujinga watu wenye vipato kama sauli huku kusini ni wengi , shida ni kuwa hawafanyi biashara ya gari za abiria hiv kiwafahamh ngumu
Acha ujinga huwa anasemwa mtu anayejulikana kama hujulikani hata mtaani wewe maskini, utajiri ni umaarufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…