Familia zetu za Kiafrika zina matatizo gani, kwanini zina ubinafsi sana?

Mbona hi hali iko kwote kwote kuna exemption kwa familia chache tu, ata India, Arabia Europe hiyo hali ya individual struggle ipo sanaa, tembeeni na uishi hata mwaka moja hi hali utajionea, neenda Europe utasikia wanasema "mind your own bussiness" watoto wengi huachiwa serikali, India 80% katika cast system yao ni masikini sanaa,
 
Angalia wahindi wanavoendeleza Mali za wazazi wao ila bongo ukiendeleza unaambiwa tafuta chako usitegemee cha urisi sasa sijui wanataka majini ndo warisi ndomana majumba meng uswailini ya urisi wanagawana room alafu hawafanyi marekebsho wakizani watachekwa et cha urisi ....... CHA URISI KITAMU ASIKWAMBIE MTU
 
Kuna mzee kafariki kaacha fremu 2 na coaster za daladala 3. Msiba wake ni ngumi mwanzo mwisho. Amezikwa ni ngumi mwanzo mwisho. Vita ipo kati ya watoto wa mke wa kwanza na watoto wa Mke wa pili. Ni vita kweli kweli 🤣🤣

Hapo hakuna muendelezo ni vita tu 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…