Kwanini wasipewe za ZanzibarKwa uchache bandari zetu kavu ni mabomu. Tazama bandari kavu mpya inayoendeshwa na DP World Kigali ππΎ
Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo.
Acha basi bashasha, unamjua Kagame au unamsikia? Unadhani anaweza kuingia mkataba wa kiboya kama wa kwenu?Watanzania tumeshindwa, tunaposhindwa ni lazima tuwawachie wanaoweza.
Unamuona Kagame ni mjinga kuwawachia DP World?
Waulize madereva waliokuwa wanaenda Kigali kabla ya bandari kushikwa na DP World na sasa, wakueleze tofauti yake.
Unapinga humu jf ! Kama hujaridhika wewe nenda katika Mahakama ya JohannesburgAcha kuhorojoka bibi.
Hakuna mtu anapinga DP world kuwekeza.
Tunapinga mkataba wenye vipengele vibovu.
Mkataba hauna ukomo.
Mkataba pia wa awali hauvunjiki ukivunja unalipa hata kabla hawajewekeza senti.
Nitolee udini wako hapa kikongwe, unatia hasira nyooo...zako
Hahahahaha akijibu niambieKwanini wasipewe za Zanzibar
Kitu ambacho hukielewi ni kuwa wakazi wa wa Dar. Bandari ndiyo kipato chetu kikuu.Wewe pia una mgao wako humo ndio maana unakaza FUVU
Ndiyo tunaulenga huo wa Congo.Katika soko la mizigo, wenye mzigo mkubwa ni DR Congo.. Bado mzigo wa Rwanda haujaongezeka sana kwenye soko la mizigo
Madam nakuheshimu simu ila sikutegemea hichi ulichoandika kwasababu watanzania hawana shida na dp world shida ipo kwenye terms of contract hapo ndio tatizo.Kwa uchache bandari zetu kavu ni mabomu. Tazama bandari kavu mpya inayoendeshwa na DP World Kigali [emoji1484]
View attachment 2656975
Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo.
Madam nakuheshimu simu ila sikutegemea hichi ulichoandika kwasababu watanzania hawana shida na dp world shida ipo kwenye terms of contract hapo ndio tatizo.Kwa uchache bandari zetu kavu ni mabomu. Tazama bandari kavu mpya inayoendeshwa na DP World Kigali [emoji1484]
View attachment 2656975
Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo.
Mashallah....πSi ndiyo masoko yenyewe ya DP World hayo.
Mama anaupiga mwingi, kalenga kuwapa DP World waziendeshe bandari zetu kwa kuwa wana soko tayari.
huyo Kagame naye ni muisilamu au alibadili dini na kuwa muisilamu, hebu tupe taarifa na sisi tujue.Wewe unajulikana kuwa MFIA DINI YA KIISLAMU. Hao wajomba zako Pori hata wangetangaza kununua Watumwa ungewakubalia kwakuwa kichwa chako kiko Brainwashed na Mlengo wa DINI YA KIISLAM kwa hiyo katika hili la DP WORLD huna hoja yenye mantiki bali umetanguliza Udini mbele.
Kwa kifupi hao WAARABU HAWAFAI ni matapeli sana kinachopaswa kufanywa na WATANGANYIKA ENDAPO DEAL LIKIENDELEA ni kuwaondoa kwa Nguvu na Masalia yao ukiwemo wewe. Time will tell Tanganyika siyo Shamba la Bibi kama ni Ufukwe wa Kujenga Gati la Bandari kawapeni huko Mchambawima. Over
Sio kweli maana kuna wafanyabiashara wa Rwanda watataka kupitishia mizigo yao bandari nyinginezo kwa sababu zao binafsi. After all Rwanda inachangia asilimia ndogo ya mzigo unaopita bandari yetu ukilinganisha na nchi km KongoHizo bdiyo ukisikia fikra za kimaskini.
Bandari yetu kwa kuendeshwa na DP World tumeshajihakikishia 100% ya mizigo ya Rwanda kukutua Dar.
Ndiyo hao tumewalenga tunataka tuwavute wote watumie Dar.Sio kweli maana kuna wafanyabiashara wa Rwanda watataka kupitishia mizigo yao bandari nyinginezo kwa sababu zao binafsi. After all Rwanda inachangia asilimia ndogo ya mzigo unaopita bandari yetu ukilinganisha na nchi km Kongo