mandawa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 772
- 1,119
Sawa mfanano kimiundombinu haupo kabisa.. lakini na wewe tuambie Je mkataba wao na wetu inafanana ? Ndugu hoja ya wapigaji sio maendeleo.. Basi ni ulinzi wa rasilimali zetu... Tunaomba msijitoe kwenye hoja ya maana.... Onesha mkataba wao na wetu basi tutakuelewa😁😁Kwa uchache bandari zetu kavu ni mabomu. Tazama bandari kavu mpya inayoendeshwa na DP World Kigali 👇🏾
Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuia maendeleo.
View attachment 2656975