Fangasi za Ajabu zinawawatesa wanajeshi Israel, wafariki. Laana za Allah zawaandama

Tena watapata na ngoma acha tu vipele.... Palestine imebaki magofu tu kwa sasa. Hivi chanzo ni mateka tu sheikh au jamaa walikuwa wanatafuta sababu ili wawachape ndugu zetu? Hali ni mbaya sana kwa kweli.
Hao unaweza kukuta walipanga njama ili waje kuichukua gaza yote ila kwa hakika watateketea vibaya sana
 
Vita inapiganwa pande tatu.
1.Majini
2. Robots.
3. Watu.
 
Laana ya Allah imeweza kuwakumba majeshi ya Isreal.
Jeshi linahaha kufanya uchunguzi wa maradhi haya ambayo yanawasumbua sana huku maradhi ya saikolojia ya kiakili kwa wanajeshi wa Isreal wakiwa yawawasumbua zaid.
Source. Mwananchi media
Weka original source. Mwananchi hawako Middle East
 
Laana ya Allah imeweza kuwakumba majeshi ya Isreal.
Jeshi linahaha kufanya uchunguzi wa maradhi haya ambayo yanawasumbua sana huku maradhi ya saikolojia ya kiakili kwa wanajeshi wa Isreal wakiwa yawawasumbua zaid.
Source. Mwananchi media
inaweza kuwa ni kutokana na kukaa muda bila kuoga. Natamani ungejua kuwa mungu wa kiarabu yaani "allah" hana nguvu hata tone ya kumlaani myahudi au hata Mkristo tu. ila yeye ndio amelaaniwa milele.
 
inaweza kuwa ni kutokana na kukaa muda bila kuoga. Natamani ungejua kuwa mungu wa kiarabu yaani "allah" hana nguvu hata tone ya kumlaani myahudi au hata Mkristo tu. ila yeye ndio amelaaniwa milele.
😂Si wanasemaga Mungu ni mmoja jamani
 
Majeshi ya Ufaransa? Au watu? Hapa tunasema majeshi hatusemi raia
labda Hujaelewa Hapa Mtoa Mada Anazungumzia Ghadhabu Za Mungu,wafaransa Walikataza Watu Kuvaa Abaya Ghadhabu Ya Allah Ikawafikia Wakatakiwa Wavae Mavazi Marefu Ili Wajinusuru Na Kunguni,vivo Hivo Kwa Waisrael Ndo Anachomaanisha
 
Hawa ma ustadh ubwabwa ni shida sana yuko tayari kutete ujinga kisa wale ni waarabu ungejua hata huyo allah wa kiarabu hawataki wala usinge leta shobo.Mwarabu ana roho mbaya nyie acheni kabisa
akina Ngosha Huwa Hamuelewagi Mnadandia Kwa Juu
 
labda Hujaelewa Hapa Mtoa Mada Anazungumzia Ghadhabu Za Mungu,wafaransa Walikataza Watu Kuvaa Abaya Ghadhabu Ya Allah Ikawafikia Wakatakiwa Wavae Mavazi Marefu Ili Wajinusuru Na Kunguni,vivo Hivo Kwa Waisrael Ndo Anachomaanisha
Duu...😂😂so hijab inazuia kunguni.. kweli dini upofu
 
Bac kwa Nini we mbongo wa mbagala kwa Aziz ally unaabudu Mungu wa wayahudi?
Its just a matter of choise. Miongoni mwa miungu miiingi duniani kote, nimeona huyo Mungu wa Ibrahim Isaka na yakobo ndiye Mungu wa kweli na ndiye aliyeumba ulimwengu wote na ndiye mweney Nguvu kuliko miungu mingine yote. including miungu ya kiarabu.
 
Its just a matter of choise. Miongoni mwa miungu miiingi duniani kote, nimeona huyo Mungu wa Ibrahim Isaka na yakobo ndiye Mungu wa kweli na ndiye aliyeumba ulimwengu wote na ndiye mweney Nguvu kuliko miungu mingine yote. including miungu ya kiarabu.
Unajuaje kwamba yeye ndo muumba na hizi sio story tu ambazo wayahudi waliotunga zikatumika na warumi kutawala na finally wakoloni wakakuletea
 
Allah sio Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…