Fanya hivi ukikutana na wanyama hawa porini

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahaha hatari mkuu, hata kijijini ziliwahi kupita zikabomoa nyumba bahati nzuri hakuwemo mtu, kuingia ndani ya nyumba inabidi usome uelekeo wa tembo na mood yake kama ana hasira au anapita tu
 
kwa hiyo kwa faru au nyati nianze kuswali swala yamwisho? kwamba wao hawana mbinu? sasa umewaweka iweje kwenye list? nawaza nakutana na simba face toface lazima aniue mana sjajua kama ntageuka usain bolt au nife kwa kihoro
Faru na Nyati ukiwaona, uamuzi wa haraka nikuondoka chap na mazingira kama yanafaa kimbia...
Ukikimbia kwenda mbali na wao mara nyingi hawakukimbizi
Kukwea mti pia kwaweza kuwa kwa msaada japo mara nyingi hawa hukaa kwenye vichaka na majani marefu (bila kuwepo miti mikubwa).

Muhimu; mara zote ukitembea maeneo ya wanyama kama Mamba & chatu usisau kubeka kisu kidogo.
Mamba: ukimchoma kichwani kwa kisu anakuachia na hasa ukiweza kulenga macho anakuachia mara moja; Lakini pia akikushika akawa anajizungusha, zunguka naye, ukijizuia utavunjika na ndivyo anataka.

Chatu; ukiweza kumkata kata na ukibahatisha mdomo wake ukaukata/chana anakuachia. Kumbuka Chatu hana meno hivyo nguvu yake ipo kwenye kukuvinga hivyo jitahidi kumtoa asikuviringe
Mara nyingi chatu hupendelea watoto; Mtu mzima aliyesimama huonekana mkubwa sana kwake....
 
this only applicable in movies, kiuhalisia kitendo cha kudakwa na chatu au mamba mimi ni mfu tayar hao faru itategemea na distance tutakayokutana nna uhakika miguu yangu haitonikwamisha
 
Haya kuyasema ni rahisi lkn kwa ground ni ngumu mno, si rahisi ukawa na ujasiri wa kumtazama simba,na kuna baadhi ya miti simba anapanda

Labda atleast tembo kwa kukimbia mlimani,lkn mambo mengine yote hayatekelezeki
 
Hao Namba nane nilikutana nao week 2 zilizopita nilijidai kama siwaon vile nao wakakaa kimya. Walikuwa zaidi ya watano
 
Faida kama
(a) Chakula
(b) Nyoka ni kivutio cha utalii, hivyo hulipatia taifa fedha za kigeni
(c) Nyoka hutumika kama mlizi shambani zidi ya wadudu wanaokula mazao,
Mfano: panya hushambulia sana mashamba ya karanga, ikitokea shamba lako limevamiwa na panya, mwaga nyoka mkuu shamba nzima mkuu na (d) dawa ya mtu aliegongwa na nyoka anayo nyoka mwenyewe, na ndiomaana ukigongwa na nyoka ukaenda hospital, swali la kwanza la Dr. anataka kujua ni Haina gani ya nyoka aliekugonga.

Hizo ni chache tu kati nyingi.
 
Chui na Simba hawa hawa wa serengeti na mikumi?? 😹😹
 
Mbinu nyingine ni vichekesho. Nimeona humu mtu anasema "ukikutana na Simba mkimbilie, ataogopa na yeye atakimbia".
 
πš†πšŽ πš“πšŠπš–πšŠπšŠ πš‘πšžπšž πš—πš’ πšžπš£πš’ 𝚝𝚞 πšžπš–πšŽπš•πšŽπšπšŠ 𝚠𝚊𝚝𝚞 πš πšŠπšŒπš‘πšŠπš—πšπš’πšŽ πš’πš•πšŠ πš”πš’πšžπš‘πšŠπš•πš’πšœπš’πšŠ πšžπš”πš’πš”πšžπšπšŠπš—πšŠ πš—πšŠ πš’πš£πš˜ πš–πš‹πšŠπš—πšπšŠ πš–πš‘πš‘πš‘ πš‘πšŠπš”πšžπš—πšŠ πš”πš’πšπšž πšŒπš‘πšŠ πš£πš’πšŠπšπšŠ πš£πšŠπš’πšπš’ 𝚒𝚊 πšžπš‹πš˜πš—πšπš˜ πšžπšπšŠπš”πš πšŠπš–πš‹πš’πšŠ, πš–πš£πšŽπšŽ πšπš˜πš”πšŠ πš—πšπšžπš”πš’ πšœπš‘πš πšŠπšŠπšŠπšŠπšŠπšŠ 𝚝𝚊𝚏𝚞𝚝𝚊 πšπš’πšŒπš‘πš˜ πšŒπš‘πšŠπš™
 
Utamzidi kazi nyati, Simba, chui
 
Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
Kwa Stahili hiyo utapigwa miti mzee yaani unamuelekezea kunduchi bila aibu asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…