Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu Kufanya Hujamuona Wakati Umemuona Ni Kaufala Fulani HiviYani ukutane na chui ana njaa kali, Halafu ujifanye hujamwona kwamba ndio atakuacha?
Weeeh! Labda awe paka🐈
Kwa upande wa Nyati haoni mbali bali ananusa harufu, hapo ni kukaaa kulingana na mwelekeo wa upepoSimba hutamzi Kwa mbio mkuu
Ni hayo tu maelekezo
Nyati we sali Kwa Mungu wako mapema
😂😂😂😂au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
😂😂😂Hahaha!
nimecheka hapo kwa simba la masimba eti ukimuona unamtoa nduki daah!
Na mamba naye ndani ya domo lake unamtekenya tumboni akuachie!
Nashukuru hii mada imekuja wakati sijavuta.
Wakat unavua mnaangaliana tu😂😂😂Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
😀 😀 😀 Mkojo gani?Nilivyomuoga wa nyoka! Badala nikimbie nitazimia huku najikojolea
Hawezi, simba ni mwoga sn kwa viumbe ambavyo ni vigeni kwake, na advantage ya simba ni kuona shingo ilipo ndiomana si ajabu simba ku batle na twiga ambaye ni mrefu kwakuwa tu ameiona shingo, sasa aone mnnyama mwenye vichwa viwili na jicho moja lenye nywele pasipo kuiona shingo simba atakaa mbali atahisi hatari imemfikia.Usijaribu, lile lilivyo atalitafuna. Unadhani kwanini Zebra wanaliwa sana?
Kwamba mimi nimtoe baruti simba..!!! Ni simba simbaaaa, au simba simbaaa???Ikitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa
1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia
2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia
3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba
Usije ukapanda mtu ukimwona tembo
4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki
5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao
6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia
6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako
7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo
8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
Hahahaha dahHawezi, simba ni mwoga sn kwa viumbe ambavyo ni vigeni kwake, na advantage ya simba ni kuona shingo ilipo ndiomana si ajabu simba ku batle na twiga ambaye ni mrefu kwakuwa tu ameiona shingo, sasa aone mnnyama mwenye vichwa viwili na jicho moja lenye nywele pasipo kuiona shingo simba atakaa mbali atahisi hatari imemfikia.
Simba huwa hakurupuki wakati anavamia huwa anapiga hesabu kwanza kwahiyo wkt anajipanga kukuvamia wewe ndio unasaula viwalo.Wakat unavua mnaangaliana tu😂😂😂
Ok, Lets say upo sawa, mfano ndo umekutana nae paap,Sasa wakati unavua hizo nguo aone makalio shingo unakuwa umeiweka wapi asiione,?Hawezi, simba ni mwoga sn kwa viumbe ambavyo ni vigeni kwake, na advantage ya simba ni kuona shingo ilipo ndiomana si ajabu simba ku batle na twiga ambaye ni mrefu kwakuwa tu ameiona shingo, sasa aone mnnyama mwenye vichwa viwili na jicho moja lenye nywele pasipo kuiona shingo simba atakaa mbali atahisi hatari imemfikia.
kwanza utaanzaje kujitoa ufahamu kama hujamuona, itakuwa kila mara unageuka geuka nyuma kumyangalia kama hakufuatiAlafu Kufanya Hujamuona Wakati Umemuona Ni Kaufala Fulani Hivi