Fanya hivi ukikutana na wanyama hawa porini

Fanya hivi ukikutana na wanyama hawa porini

Nliwahi kutana na chui mara mbili, mara ya kwanza ilikua usiku usafiri ulizingua tukiwa maeneo ya porini wenzangu wakawa wamelala ndani ya gari mi nkatoka dakika mbele nyingi mnyama huyu hapa Kwa wakati huo sikujua kama ni chui
 
Hahaha!
nimecheka hapo kwa simba la masimba eti ukimuona unamtoa nduki daah!

Na mamba naye ndani ya domo lake unamtekenya tumboni akuachie!
Nashukuru hii mada imekuja wakati sijavuta.
😂😂😂
 
Usijaribu, lile lilivyo atalitafuna. Unadhani kwanini Zebra wanaliwa sana?
Hawezi, simba ni mwoga sn kwa viumbe ambavyo ni vigeni kwake, na advantage ya simba ni kuona shingo ilipo ndiomana si ajabu simba ku batle na twiga ambaye ni mrefu kwakuwa tu ameiona shingo, sasa aone mnnyama mwenye vichwa viwili na jicho moja lenye nywele pasipo kuiona shingo simba atakaa mbali atahisi hatari imemfikia.
 
Ikitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa

1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia

2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia

3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba

Usije ukapanda mtu ukimwona tembo

4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki

5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao

6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia

6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako

7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo

8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
Kwamba mimi nimtoe baruti simba..!!! Ni simba simbaaaa, au simba simbaaa???
 
Hawezi, simba ni mwoga sn kwa viumbe ambavyo ni vigeni kwake, na advantage ya simba ni kuona shingo ilipo ndiomana si ajabu simba ku batle na twiga ambaye ni mrefu kwakuwa tu ameiona shingo, sasa aone mnnyama mwenye vichwa viwili na jicho moja lenye nywele pasipo kuiona shingo simba atakaa mbali atahisi hatari imemfikia.
Hahahaha dah
 
Hawezi, simba ni mwoga sn kwa viumbe ambavyo ni vigeni kwake, na advantage ya simba ni kuona shingo ilipo ndiomana si ajabu simba ku batle na twiga ambaye ni mrefu kwakuwa tu ameiona shingo, sasa aone mnnyama mwenye vichwa viwili na jicho moja lenye nywele pasipo kuiona shingo simba atakaa mbali atahisi hatari imemfikia.
Ok, Lets say upo sawa, mfano ndo umekutana nae paap,Sasa wakati unavua hizo nguo aone makalio shingo unakuwa umeiweka wapi asiione,?
 
Simba unachomoa mkanda wa kwenye suruali unamrushia atakimbia akidhani ni nyoka
 
Back
Top Bottom