James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Yaani bora niwadaidie wenye uhitaji kuliko kupeleka kwenye nyumba ya ibadaHata ukisoma Wakorintho 16.2 hakuna sehemu wanalazimisha kutoa fungu la 10. Ila makanisa wameona kama mtaji, mengine wanaenda mbali kujua vipato vya watu ili wakamue vizuri.
Hivi fungu la 10 ni sahihi kwa kipindi hiki ambacho wengine tunakatwa 30% ya mshahara? Kama kodi?
Watoto yatima na maskini tunawaona bado tunadanganyana kutoa fungu la nyoko.Hata ukisoma Wakorintho 16.2 hakuna sehemu wanalazimisha kutoa fungu la 10. Ila makanisa wameona kama mtaji, mengine wanaenda mbali kujua vipato vya watu ili wakamue vizuri.
Hivi fungu la 10 ni sahihi kwa kipindi hiki ambacho wengine tunakatwa 30% ya mshahara? Kama kodi?
Na hiyo 10% ya zaka itoke kwenye gross income au net income?Hata ukisoma Wakorintho 16.2 hakuna sehemu wanalazimisha kutoa fungu la 10. Ila makanisa wameona kama mtaji, mengine wanaenda mbali kujua vipato vya watu ili wakamue vizuri.
Hivi fungu la 10 ni sahihi kwa kipindi hiki ambacho wengine tunakatwa 30% ya mshahara? Kama kodi?
Shida sanaWatoto yatima na maskini tunawaona bado tunadanganyana kutoa fungu la nyoko.
Range wanazoendesha ndio fungu la kumi.
Nina mate tumemaliza wote chuo kikuu kwa sasa wanamiliki makanisa ya uswahikini. Yaani huu ni uhuni. Wameomba mkopo board wakasomeshwa sasa wanakwenda kudanganya raia
Eti gross, kazi kweli.Na hiyo 10% ya zaka itoke kwenye gross income au net income?
Fanya vyote mangiYaani bora niwadaidie wenye uhitaji kuliko kupeleka kwenye nyumba ya ibada
Sio mungu ata kwa shetani kuna sadaka?Uwa najiuliza Mungu anahitaji pesa za kazi gani.
Nani anapima moyo wa mtu kupitia sadaka? Kama ni Mungu uwa hajui huo moyo wa mtu?Sio mungu ata kwa shetani kuna sadaka?
Sadaka inapima moyo wa mtu
Mangi jaribu kuelewaNani anapima moyo wa mtu kupitia sadaka? Kama ni Mungu uwa hajui huo moyo wa mtu?
Ndio. Kuna sadaka lakini sio sadaka ya pesa. Mungu alipokea sadaka ya kuteketeza. Ilikuwa hivo hata kabla shetani hajaasi. Baada ya shetani kuasi, alianza kuendesha mambo yake mengi kwa mfanano wa Mungu. Hata katika suala la sadaka. Nae akaanza kuchua sadaka za kuteketeza, sadaka ya Damu. Kunanguvu katika sadaka ya kuteteza.Sio mungu ata kwa shetani kuna sadaka?
Sadaka inapima moyo wa mtu
Whatever but toa sadakaNdio. Kuna sadaka lakini sio sadaka ya pesa. Mungu alipokea sadaka ya kuteketeza. Ilikuwa hivo hata kabla shetani hajaasi. Baada ya shetani kuasi, alianza kuendesha mambo yake mengi kwa mfanano wa Mungu. Hata katika suala la sadaka. Nae akaanza kuchua sadaka za kuteketeza, sadaka ya Damu. Kunanguvu katika sadaka ya kuteteza.
Kifo cha kristo pale msalabani kilimaliza yote. Ikiwa ni pamoja na masuala haya ya kumtolea Mungu sadaka ya damu. Ila shetwani utaratibu huo bado anao. Ndio maana hadi leo unaona watu wanatoa kafara za damu kwa ibilisi. Kwani unasikia tena watu wakitoa kafara za damu kwa Mungu?! Unasikia watu wakitoa sadaka ya pesa kwa shetani??
Sadaka ya pesa na hayo mafungu ya kumi ni wizi unaofanywa na viongozi wa dini. Havina uhusiano wowote na Mungu. Kama unataka kuitoa pesa yako kama sadaka au fungu la Kumi, tafuta mwenye uhitaji mpatie, utapata thawabu. Kuliko kwenda kutumbukiza kwenye kikapu cha sadaka ukiamini unamtolea Mungu kumbe unaneemesha wadau.
The same to meKutoa ni moyo na huwa natoa popote pale ambapo naona kuna uhitaji na mimi nahitajika kutoa, hivyo fedha ya sadaka inatoka popote kati ya hizo sehem tatu kutegemea na wakati
Uko sahihi,nikiwapa wazazi na baadhi ya ntakaoweza kuwasaidia mtaani kulingana na sikuhiyo nimetembeaje nadhani inatoshaNaheshimu sana sadaka na kumbuka pia hata kumpa mzazi wako hilo fungu la kumi ni baraka maradufu, tusijikimbilie kutoa hela mara kanisani mara kwa wazazi mara kwa misaada, chagua kimoja at a time, kama una kipato cha 1M kutoa zaidi ya 50k kama sadaka ni kujiumiza huku tukiendelea lalamika hela hazitoshi wakati Mungu katupa akili.
Unaweza kutoa zaidi ya hiyo pale tu itakapohitajika kwenye uhitaji ndio tunarudi kwenye point yangu ya kwanza
Umefunga mjadalaPoint kubwa ni NIDHAMU YA MATUMIZI
Ukiwa nayo hautahitaji hizo percentage zote ulizoweka. Kwa nini nasema hivyo?
Sio kila siku maisha yataenda kama hizo asilimia ulizoweka. Kuna dharura nyingi sana maishani
Ila ukishakuwa na nidhamu ya matumizi utajua jinsi gani ya kubalance matumizi yako na kusave
Watumishi huwa wanawadanganye kwa kusoma kimstari kimoja tu badala ya kusoma neno kamiliAnania haikuwa Fungu la kumi Mzee wangu anania ilikuwa Ni fedha walizokubaliana watu wote..
Baada ya watu wengi Kuongezeka waliokubali Injili iliyokuwa Ikienezwa na Petro..walihitaji Kupatikane Pesa zaidi za kusambaza injili hiyo Na kusaidia watu wenye Uhitaji hivyo kwa Hofu ya Mungu watu walijitoa sana Kusaidia wengine wenye Pesa walipeleka..
Wale wenye Mashamba walipeleka..
Na hata Yusuph aitwaye Barnaba yeye aliuza shamba lake lote na kupeleka fedha kwa mitume..
Matendo 4:32-37
View attachment 2963149
Sasa kilichotokea kwa Anania ni kwamba Alichagua sehemu ya Shamba Akaliuza ilutakiwa ile pesa aipekeke kwa mitume ila akachukua Baadhi ya pesa na kuzificha akapeleka Nusu Pesa..
Na ndo maana Petro anamuuliza kuwa kilipokuwa Shambani hakikuwa Mali yako??
Maana angeweza kutoa Kipande kidogo tu cha shamba akauza na kingine akauza kwa matumizi yake na kingine kwa matumizi ya kutoa..
Ila alipotia Nia kwamba anauza kwa sababu Ya Mungu hapo ndo ilipoleta shida..
Nakuacha utafakari maSwali haya Kilipokuwa Kwako hakikuwa mali yako?, kilipokuwa Kimekwisha kuuza thamani yake Haikuwa kwa uwezo wako??
maana alikuwa Na uwezo wa Kuuza Kidogo na pia alikuwa na Uwezo wa kupandisha Thamani na kuchukua kiasi alichoahidi kupeleka na kiasi kingine kutumia..
MIND YOU HAIHUSIANI NA SADAKA WALA ZAKA HIYO NI MAKUBALIANO WALIYOWEKA NA ANANIA ALIYAVUNJA
View attachment 2963158