Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Tatizo umechanganya rafiki na mpenzi so nimeshindwa kukuelewa upo kwenye angle gani ya mwanamke lkn mimi nitakujibu kwa angle ya mwanamke rafiki
Mimi nimewahi kufanya research Kati ya rafiki zangu 10 wa kike na rafiki zangu 10 wakiume nikagundua ni bora niendele kuongeza marafiki wa kike kuliko wa kiume, nilipatwa na tatizo wanawake wote kumi walikuja kunifariji lkn ni mwanaume mmoja tu alikuja kunifariji kwahiyo ukiniambia wanawake hawafai kwangu mimi sitakuelewa labda kama urafiki wako uliingiza mapenzi hapo siwezi kujua
 
Duuuu! Wewe mbona inaonyeshea unekasirika zaidi ya wote, jua tu Rebeka wanawake wamekua ni changamoto sana, ukiona kilio kikubwa namna hii kutoka kwa wanaume jua hali ni mbaya mno. Mwenye kuisimulia mvua ujue imemnyeshea.
 
hahahhh kwa hio unajinadi una mbunye tamu, kweli wewe malaya...
Wee sii umesema mie nageggeduana na malaya cheap sasa inakuwaje tena unabadili statement yako.
Wee sie tunakula mbususu kwa raha zetu
 
Duuuu! Wewe mbona inaonyeshea unekasirika zaidi ya wote, jua tu Rebeka wanawake wamekua ni changamoto sana, ukiona kilio kikubwa namna hii kutoka kwa wanaume jua hali ni mbaya mno. Mwenye kuisimulia mvua ujue imemnyeshea.

prove nimekasirika..
 
Narudia mama yako na mke wako wanastahili msaada wako wamekufaa kwa mambo mengi ila hawa kina Ashura ndara ndefu piga chini fanya mambo yako.
😂😂
Tangu nilipokua shule nilikua sitaki shobo na hawa viumbe, akiingia 18 natomb.a na kusepa sijengi kibanda ooh "baby baby" sinaga ujinga huo.
😂😂
Aisee..
Ila sasa hawakwepeki mkuu😊

Mkuu, tayari umeangushiwa kitu kizito, au?
 
Wee sii umesema mie nageggeduana na malaya cheap sasa inakuwaje tena unabadili statement yako.
Wee sie tunakula mbususu kwa raha zetu
Nimebadilisha baada ya kugundua wewe ni dada muuza nyapu...
 
Mleta uzi hadi umri huo bado unapoteza time kuwajadili mabinti...

Yajue ya kuzingatia,,,Vyote visivyo na mpango vitajichuja...

Vijana tunawategemea sana kwenye maendeleo ya hili taifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…