Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Women possess negative power. Wana uhusiano wa karibu sana na shetani. Mara nyingi ili shetani akupate wewe mwanamume hupitia kwa mwanamke. Jambo hili lilianzia pale kwenye bustani ya Edeni na litaendelea hadi pale shetani atakapotupwa kwenye ziwa liwakalo moto na kiberiti. So watch out! May you come to Jesus for your salvation and eternal life kabla ya mlango wa neema kufungwa!



YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
Amina mtumishi
 
Kuna manzi mmoja amenitafuta leo kwa spidi sana nikajua malaika wa upendo kanishukia, kumbe ana taka hela ya skukuu..[emoji849][emoji849]

Nimemuadi kesho. Kesho ikifika naishiwa text, call na muda wote nakua mbali na simu, na ikitokea niko nayo karibu akinipigia nika pokea, basi niko kwenye makerere simsikii
 
hii nyuzi imenikumbusha tukio nililowahigi kupigwa nalo chanzo huruma ya ki mama had hamu ya sex ilishaga niisha mwaka umekata sijagusa wala kutazamana na uchi wa mwanamke... Siriaz
 
Kuna manzi mmoja amenitafuta leo kwa spidi sana nikajua malaika wa upendo kanishukia, kumbe ana taka hela ya skukuu..[emoji849][emoji849]

Nimemuadi kesho. Kesho ikifika naishiwa text, call na muda wote nakua mbali na simu, na ikitokea niko nayo karibu akinipigia nika pokea, basi niko kwenye makerere simsikii
Juzi kati kuna muhuni aliniomba 350k ,
jamaa ni wale washkaji ambao hatutaftani hata mwaka. So sina uhakika na uaminifu wake lakini pia hatuna mazoea ya kukopeshana pesa. Akanisimulia shida zilizomkuta.
Kiukweli hio shida yake kwangu ilikua ghafla pesa nlikua nazo lakini sikua na uhakika na kurejeshwa kwake. Nikakubali kuwa anipe muda nione ka naeza msaidia. To cut it short, alinipigia sana na text nyingi lakini sikuzijibu mwisho akaacha.
Ila nilijiona fala kwa sababu nilikuwa na uhuru wa kusema SINA na akaelewa. So mkuu mwambie tu kuwa huna.
 
Wanawake hugeuka sana usimuamini wala usiweke moyo wako kwa hawa watu.ishi nao kwa umakini wa juu sana. Hawa watu hawana shukrani hata kidogo hawajali wala haangalii ulimfanyia nini...jiulize kuna watu walisomesha wakaachwa wewe je ??? Wanaume kuweni makini sana hiki kizazi cha wanawake wa leo ni hatari
 
Back
Top Bottom