Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Empty kabisa. Mwanangu hatokwenda shule ili apate kazi. Nyie ndio nendeni shule kwa lengo la kupata kazi. Ndio maana nkimaliza shule hamjapata kazi basi mpo tayari kwa lolote hata muuza miili yenu mpate kazi. Mkuu, ninachoongea kuhusu wanawake wanaojiona wasomi nakijua. Of course sio wote but 99% ni majanga matupu. Hamna faida yoyote, wabinafsi, wachoyo, hamtimizi majukumu yenu ya nyumbani, washindani, wajeuri na wanaliwa na staff wenzao huko. I know what I am saying
Upo sahihi mkuu hata hapa kazini kwangu. Wapo wawili wanasuguliwa na workmate ilihali wameolewa

Mwingine mume wake Yuko mkoa wa mbali huko kutwa anapiga simu saaingine inawekwa loudspeaker na huyo mwanamke mnamsikia jamaa anavoweka ulinzi wa kwenye simu,

Mwanamke akikata simu tu anafyonza, kiukweli Mimi Huwa nakasirika vibaya mno namuone huruma huyo jamaa anapambana na maisha mbali huko mkewake anapigwa pumbu tu na mfanyakazi mwenzie. Baadhi ya wanawake siyo watu ni mashetani 99%
 
Upo sahihi mkuu hata hapa kazini kwangu. Wapo wawili wanasuguliwa na workmate ilihali wameolewa

Mwingine mume wake Yuko mkoa wa mbali huko kutwa anapiga simu saaingine inawekwa loudspeaker na huyo mwanamke mnamsikia jamaa anavoweka ulinzi wa kwenye simu,

Mwanamke akikata simu tu anafyonza, kiukweli Mimi Huwa nakasirika vibaya mno namuone huruma huyo jamaa anapambana na maisha mbali huko mkewake anapigwa pumbu tu na mfanyakazi mwenzie. Baadhi ya wanawake siyo watu ni mashetani 99%
Huko kazini wanapata wapi muda wa kutongozana ovyo? Kazi kweli. Ni kutojielewa tu. Yaani uliwe na workmate? Huyo hata mtaani analiwa hovyo
 
Upo sahihi mkuu hata hapa kazini kwangu. Wapo wawili wanasuguliwa na workmate ilihali wameolewa

Mwingine mume wake Yuko mkoa wa mbali huko kutwa anapiga simu saaingine inawekwa loudspeaker na huyo mwanamke mnamsikia jamaa anavoweka ulinzi wa kwenye simu,

Mwanamke akikata simu tu anafyonza, kiukweli Mimi Huwa nakasirika vibaya mno namuone huruma huyo jamaa anapambana na maisha mbali huko mkewake anapigwa pumbu tu na mfanyakazi mwenzie. Baadhi ya wanawake siyo watu ni mashetani 99%
Daaah Hawa viumbe shida sana
 
Upo sahihi mkuu hata hapa kazini kwangu. Wapo wawili wanasuguliwa na workmate ilihali wameolewa

Mwingine mume wake Yuko mkoa wa mbali huko kutwa anapiga simu saaingine inawekwa loudspeaker na huyo mwanamke mnamsikia jamaa anavoweka ulinzi wa kwenye simu,

Mwanamke akikata simu tu anafyonza, kiukweli Mimi Huwa nakasirika vibaya mno namuone huruma huyo jamaa anapambana na maisha mbali huko mkewake anapigwa pumbu tu na mfanyakazi mwenzie. Baadhi ya wanawake siyo watu ni mashetani 99%
Am telling you bro. Sisi ndio tupo kaskazini hawa watu wanaliwa/tunawala sio kitoto. Na wengine wanajipendekeza na kujitongozesha wenyewe kwetu. Hawa wasomi uchwara siwezi mshauri ndugu yangu aoe. Ndio maana majority ya hawa wanajiona wasomi ni seniors single mazas
 
Mm nafikiria kivingine hapa. ..changes ndio inawaumiza. ..mfano wkt mnakutana ulikua unampatia vitu fulani once ukianza kupunguza hizo huduma ndio wanaona huwapendi and busy with something else in short changes ndio zinasababisha mahusiano kusambaratika.
 
...Unaweza kumsaidia mwanamke na mwanamke huyohuyo akatumika na mtu mwingine kukuadhibu

hawakumbuki fadhila... labda awe dada yako au mama yako.

Sikupingi; nimewahi kukutana na mkasa wa hivyo.
Simulia kidogo japo kwa codes mkuu tujifunze zaidi.
 
Kiukweli wanawake wameharibu maisha na future ya wanaume wengi waliokuwa juu kiuchumi na kimamlaka na wengine wapo gerezani wengine wapo kaburini kwasababu ya mwanamke sema ni kumuomba mungu maana wateja wengi wa waganga wa kienyeji ni wanawake huko ndo mabaya yote huanzia mtu anatulizwa anakuwa kama zezeta mpaka anakuja kushtuka ameshachelewa.
 
Wa kwanza mie hili bandiko limenikaa kisawa sawa mwendo wa uwabata tu,,wanawke hawana cha kutupa ispokua papuchi
Mnh huyu muandishi wa hii topic kama sio yule Robert..sijui

Hautakuwa kwenye committed relationship uka enjoy Matunda ta real love, never ever ! Kwa kudhani kila mwanamke yuko kwako ku gain something...tunakupa pole kwa kweli...

Yaani wewe utakua ulikua Mchoyo sana,ulivyokua mdogo. Poor you! Sikulaumu japokua umesema una mapesa sasa hivi, lakini umekulia maisha ya shida sana, umekua surrounded na poverty ndio maana uko selfish,sababu unaona pesa ya thamani sana, not to be wasted, not to be given to anybody.... sikulaumu mazingira na experiences tunazokulia ndizo zinazofanya tuwe confused tukiwa wakubwa...

Najua utakataa lakini ukweli ni huu...

1. Umekulia kwenye umaskini.

2. Una uchoyo hata kwa ndugu zako. Eti hapo kasema , atasaidia dada zake ila sio wanawake, hao dada sio wanawake?, sema wewe ni mchoyo, hutoi hela yako/msaada kwa yoyote na sio mwanamke peke yake, art of giving, haiangalii unatoa msaada kwa nani, kiwete au mzima, ndugu au sio ndugu, whether you get something back or not, au mwanamke na mwanaume ila ukiwa mchoyo ndio utafanya tofauti na hayo mambo.... eti humsaidii mwanamke sababu she has nothing to offer than mbunye...yaani unatoa msaada to get back something ndio unapproved wwe ni mchoyo... hivyo eti?! ...basi kasaidie wanaume wenzio upate di**ck!... maana jinsia ziko mbili tu mwanaume na mwanamke , na wewe unatoa msaada kwa kuexpect something in return, haya wanaume wenzio wana offer di**ck...

3, Wewe ni mtu uliyekataliwa sana na wanawake/ rejected because of poor status ukajiapiza ukipata hela hautampa mwanamke pole weeeee

Nyie watu mliokuwa confused na malezi, msituumie hii platform ya bwana Melo, ku influence upumbavu... na wanaume wengine wameingia kichwa kwenye huu ujinga...
 
Back
Top Bottom