Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Wewe mwenyewe inaelekea hujielewi. Wote wanaolalamika hapa wameoa wasomi? Mbona wanapata changamoto nyingi tu kwenye ndoa. Nasisitiza tena hao unaowasemea hawajielewi. Uwe umesoma au la, kama hujielewi ni bure
 
Wewe mwenyewe inaelekea hujielewi. Wote wanaolalamika hapa wameoa wasomi? Mbona wanapata changamoto nyingi tu kwenye ndoa. Nasisitiza tena hao unaowasemea hawajielewi. Uwe umesoma au la, kama hujielewi ni bure
Waambie haooooooooooooo.... halafu kusoma sio lazima kujiajiri, hajitambui huyo aliyekujibu, mzazi kule Chamwino, anauza mahindi mwanae aje kuwa na kazi nzuri, hategemei mwanae ajiajiri.....
 
Mnakutana na wasomi ambao hawajielewi. Mwanamke anayejielewa hawezi kutamani hela ya mwanaume. Uwe umesoma au hujasoma hama hujielewi ni bure kabisa. Sasa unafanya kazi na una mshahara mzuri halafu unampiga vizinga mpenzi wako, si bora uache kazi ijulikane moja. Huo ni ujinga. Ndio maana familia nyingi haziendelei sababu wanaume wanahangaika wenyewe kulisha familia ili hali mke anafanya kazi. Eti nina hela niache kulipa ada ya mtoto wangu niliyezaa nimsubirie mwanaume sababu ni jukumu lake loh. Mimi nafurahi kabisa kuona nafanya mchango kukuza familia yangu.
Upo wapi mwanamke unaejielewa nimtume dereva hapa aje akuchukue uende kula kiapo cha uteuzi
 
Waambie haooooooooooooo.... halafu kusoma sio lazima kujiajiri, hajitambui huyo aliyekujibu, mzazi kule Chamwino, anauza mahindi mwanae aje kuwa na kazi nzuri,

Waambie haooooooooooooo.... halafu kusoma sio lazima kujiajiri, hajitambui huyo aliyekujibu, mzazi kule Chamwino, anauza mahindi mwanae aje kuwa na kazi nzuri, hategemei mwanae ajiajiri.....
Kila mzazi anapenda mtoto wake asome ili awe na maisha mazuri baadae. Iwe kuajiriwa au kujiajiri. Wao wasomeshe watoto wao halafu wanataka waoe ambao hawajasoma.
 
Hahahaha. Uteuzi tena wajemeni. Huku niliko ni zaidi ya uteuzi. Mimi najua ninachokiongea na ninakiishi.
Ndio masuper woman nyie tunaotaka bwana. Hawa wengi wee wacha wajida omba omba wataishia kugegedwa tuu
 
Ndio masuper woman nyie tunaotaka bwana. Hawa wengi wee wacha wajida omba omba wataishia kugegedwa tuu
Kwa nini uwe una ombaomba , ridhika na kipato chako. Hata kama ni kidogo. Na nyie muache kuwapa hela ovyo, ndio mnawafanya wawe wajinga wajinga. Ukimpenda mtu kwa dhati huwezi kumpiga vizinga.
 
Kwa nini uwe una ombaomba , ridhika na kipato chako. Hata kama ni kidogo. Na nyie muache kuwapa hela ovyo, ndio mnawafanya wawe wajinga wajinga. Ukimpenda mtu kwa dhati huwezi kumpiga vizinga.
Sawa bwana tutawanyima...tutawasilisha hili jambo kwenye kikao chetu kijacho.
 
Wanawake ni changamoto ya hali ya juu zaidi tuliyowekewa na mnyaazi Mungu
 
Huo ni ujinga. Ndio maana familia nyingi haziendelei sababu wanaume wanahangaika wenyewe kulisha familia ili hali mke anafanya kazi. Eti nina hela niache kulipa ada ya mtoto wangu niliyezaa nimsubirie mwanaume sababu ni jukumu lake loh. Mimi nafurahi kabisa kuona nafanya mchango kukuza familia yangu.
B A R I K I W A sana mkuu...
 
Back
Top Bottom