Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Mkuu why una ‘generalise’ kwamba ni wanawake wote wapo hivo? usha ‘date’ kila mwanamke kwa hii dunia? the act of some few women shouldn’t make you to think every women is like that…… there are some good and kind women outthere relax and kwanza tuombe msamaha kufananisha kila mwanamke na hap uliowapitia.

It’s true us women we are selfish and selfless on both ways….. but kinachokufanya utuone selfish au wabinafsi ni kua hujapata au I can say hujanahatika kupata mwanamke anaekupenda real…. u said u r committed but huenda ulioa au aliolewa just kutimiza sakrameti ya ndoa na si kuwa mnapendana for real yaan I mean the romantic love.

The romantic love sio hii mnayopelekana kwa altare hii tunaiita mnatimiza sakeamenti ya ndoa ila the kind of love that is romantic is the one that two people struggle to build them self toward the lasting life….. Yes na hapa ukipata dada anayekupenda kweli basi na yeye hukupa vizawadi without expecting anything kama wewe unavoeka eti utoe hela upewe sijui ‘mbunye’ hapa tunasema both wewe na huyo dada hampendani so ni shida zenu hizi.

Hivi hujawai sikia dada kamnunulia kiwanja mkaka?, hujawai sikia mdada kamnunulia mkaka gari?, hujawai sikia mdada mdada ndo anaetunza familia? so mpaka hapa sisi ni selfish?. Wanawake wachache uliomeet huko nyuma wasikufanye uwe bitter na kusema wote tupo hivi kubali hukua mchaguzi mzuri wa wawanawake ukaishia kwa hao wa aina hio.

Wanawake sio wabinafsi kwasababu mama yako alikupenda ukiwa tumboni angekua mbinafsi usingezaliwa….. emu jitahidi basi kama mkristo uwe unahudhuria ibada na muslim uswali swala tano kwa maandishi yako inaonesha there’s is something is wrong from ur soul n u need help and counseling.
Sahii kabisa kusema
"Mwanamke hawezi kua mbinafs na mchoyo kwa mwanaume aliyempenda kwa dhati"

Haya mengine ni tunakutana na wadangaji.
 
The issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need?? Kwanini usifate hawa wenye hela zao… wenye career and uhakika kabisa unakimbilia kwa hawa wasio nazo hapa inaonesha wewe ndo unashida sio wao cuz uliwafata wenyewe.

Pia kuna msemo ‘charity begin at home’ kila mkaka kwa hii thread aliesapoti mada hii ni wale wenye roho mbaya na tabia za choyo… hivi someone is struggling anaomba hela and wewe ukijichek unayo why usimsaidie? Kusaidia si mpaka awe ndugu yako, toa msaada kwa mtu yeyote mwenye hitaji kama huna say huna… basi case inakua closed
Apa umeharibu[emoji26]
 
UKWELi ni kuwa Mwanaume ukiingia kwenye trap aliyokataza mleta uzi ujue hio ndio itakuwa KADI YA MWALIKO wa umasikini, sonona katika maisha yako...

Na utaingia kwenye trap endapo utajisikia vibaya(get offended) wakikuita bahili, mbinafsi,,mchoyo,,huna huruma,,huna utu,,huna upendo,,sio mwanaume wa kweli,,n.k... Ukisikia hizi kauli unaambiwa na Mwanamke zitafakari sana,, asilimia kubwa huwa ni kwa ajili ya Manipulation...

Ukiona unafanya jambo kwa demu ili kuepuka usiitwe hayo majina basi jua tayari umeingia 18 zao..

Silazimishi mtu kuelewa ila Mazingira yatakuelewesha zaidi.

Be a Man, Stay Taliban.
Hapo ulivyosema Be a man, stay Talibani umenichekesha sana
 
Anzia page ya kwanza ndo utajua kwamba tumeshakubaliana kwa pamoja, halafu nikukumbushe; wanaume tunapendana, nyinyi wanawake wenyewe kwa wenyewe tu hampendani ndo mtupende sisi!?
Naona kijana unaupiga kwenye mshono
 
Sahii kabisa kusema
"Mwanamke hawezi kua mbinafs na mchoyo kwa mwanaume aliyempenda kwa dhati"

Haya mengine ni tunakutana na wadangaji.
Usiburuzwe kifala wala usidanganyike kijinga. Wanawake 99% ni mazimwi tu.
 
Apa umeharibu[emoji26]
Ndio maana nkakwambia usiburuzwe kifala wala usidanganyike kijinga mkuu. Kosa kubwa sana utakalolifanya mkuu ni kuoa mwanamke eti mwenye career yake. Hao ndio mashetani kabisa kudaadeki zao. I am telling you! Usije ukarogwa ukaoa hao wanaojidhania kuwa "wasomi" . Bora hata ukatafute mshambamshamba flani tu huko.
 
Ndio maana nkakwambia usiburuzwe kifala wala usidanganyike kijinga mkuu. Kosa kubwa sana utakalolifanya mkuu ni kuoa mwanamke eti mwenye career yake. Hao ndio mashetani kabisa kudaadeki zao. I am telling you! Usije ukarogwa ukaoa hao wanaojidhania kuwa "wasomi" . Bora hata ukatafute mshambamshamba flani tu huko.
Wife Ni mama wa nyumbani
 
Pia kuna msemo ‘charity begin at home’ kila mkaka kwa hii thread aliesapoti mada hii ni wale wenye roho mbaya na tabia za choyo… hivi someone is struggling anaomba hela and wewe ukijichek unayo why usimsaidie? Kusaidia si mpaka awe ndugu yako, toa msaada kwa mtu yeyote mwenye hitaji kama huna say huna… basi case inakua closed

ROHO MBAYA

UCHOYO

Hili ndio nimelisema kwenye comment yangu hapo juu...
Ndugu WANAUME,, ukiona mwanamke anakuita hayo majina basi ujue njia ya mafanikio yako ipo karibu sana... Shikilia hapo hapo

Don't get offended... Usijisikie vibaya hata kidogo... Mpuuze....hio ni Manipulation.

Be a Man,, Stay taliban..
 
Hapo ulivyosema Be a man, stay Talibani umenichekesha sana
😂😂😂😂kuna koment moja nyuma nayo inasema mwanaume unatakiwa uwe na moyo wa KIKUSHI NA AKILI YA KIKATILI 😂😂

Wadau wanafurahisha 😂😂
 
ROHO MBAYA

UCHOYO

Hili ndio nimelisema kwenye comment yangu hapo juu...
Ndugu WANAUME,, ukiona mwanamke anakuita hayo majina basi ujue njia ya mafanikio yako ipo karibu sana... Shikilia hapo hapo

Don't get offended... Usijisikie vibaya hata kidogo... Mpuuze....hio ni Manipulation.

Be a Man,, Stay taliban..

Be like them— watalia Na kusaga meno.
Infact wanaume wakijitambua wanawake watapata tabu sana- na inaonekana wazi now thanks to JF, mens channels YouTube na kwingineko.

Wanawake wanakua decoded ile thinking pattern yao so wanatia huruma tuu.
Men going the way of women [emoji28]MGTOW
 
Kuna manzi mmoja nlimtania tu alifika ofisini kwangu nikachukua namba yake ya simu...aisee hata sijamtongoza tayari kashaanza kuniita baby, sijakaa vizuri vibomu ,vinaanza ...mara ooh baby ninashida ya pesa naomba nitumie.Nikamchekecha tu kuwa askilizie kuna ishu ikikaa poa ntamtumia....dah zilianza txt kama ugomvi ....umenidanganya hujanitumia, vp unantumia saa ngapi...n.k nkamrushia pesa ...kesho yake kuamka tu anashida tena ya pesa, mara sijui ana njaa hajanywa chai, mara sijui ana shida hii na ile .....ukicheki ni mke wa mtu. Nmempotezea mazima akipiga simu yake naiangalia tu siipokei.


Some women are disgusting parasites, hawana faida yoyote zaidi ya kukunyonya tu.

Kuna mwingine nilikuwa na namba yake muda mrefu tu, siku nikamtxt tu...kwenye kuchat ..akaanza nina shida ya kiasi kadhaa niazime ntakurudishia ..daaah nikampa kumpima tu ila nlijua kuwa hapa hakuna mpango wa kurudishiwa, mara ametengeneza mazingira niwe mpenzi wake , sijakaa vizuri vibomu vinaanza mara sijui nina shida ya pesa hivi, mara sijui hapa nadaiwa kwenye biashara ,mara mtoto wangu anaumwa sina pesa ya hospitali n.k .Nikaancha kumpa attention, na yeye akapunguza mawasiliano na mimi, nikimtxt hajibu sms zangu kama mwanzo ,unaweza ukamtxt watsapp ukaona blue ticks halafu asijibu, nikakata mawasiliano , ila cha ajabu hanitafuti mpk awe na shida ya kitu kutoka kwangu .Nishamjulia nami namfungia tinted tu.

Duniani kuna wanawake wawili tu ndio wamekuwa wema kwangu, wa kwanza ni Mama yangu kipenzi (Mungu amjaalie afya na umri wenye baraka tele) na wa pili ni mke wangu kipenzi. Hawa ndio wanawake bora kwangu.

Mke wangu alinipenda in a mysterious unconditional way na kama nikifanikiwa huko mbeleni naweza kuandika kitabu juu yake. Nathubutu kusema kuwa sijapata na sidhani kama ntakuja kupata tena mwanamke kama yeye mpk naondoka katika mgongo huu wa ardhi.
Pole. Wewe uliyeanzisha huu Uzi kongore sana. Umenifanya nikaokoa 100k kwa parasite mmoja alitaka kunikamua. Alianza mazoea oooh nikopeshe hela ya mtaji mwezi ujao narudisha mara ajibebishe mazoea ya ajabu ajabu tu.

Nikausoma huu Uzi nikaanza kumpanga tu asubiri kidogo mambo yangu hayajakaa sawa, heee alioona hivo akapunguza mawasiliano na Mimi nimempotezea mazima. Kweli Kuna wanawake wengine mashetani wanyonya damu
 
ROHO MBAYA

UCHOYO

Hili ndio nimelisema kwenye comment yangu hapo juu...
Ndugu WANAUME,, ukiona mwanamke anakuita hayo majina basi ujue njia ya mafanikio yako ipo karibu sana... Shikilia hapo hapo

Don't get offended... Usijisikie vibaya hata kidogo... Mpuuze....hio ni Manipulation.

Be a Man,, Stay taliban..
mzee wangu upo?
 
Ndio maana nkakwambia usiburuzwe kifala wala usidanganyike kijinga mkuu. Kosa kubwa sana utakalolifanya mkuu ni kuoa mwanamke eti mwenye career yake. Hao ndio mashetani kabisa kudaadeki zao. I am telling you! Usije ukarogwa ukaoa hao wanaojidhania kuwa "wasomi" . Bora hata ukatafute mshambamshamba flani tu huko.
Mnakutana na wasomi ambao hawajielewi. Mwanamke anayejielewa hawezi kutamani hela ya mwanaume. Uwe umesoma au hujasoma hama hujielewi ni bure kabisa. Sasa unafanya kazi na una mshahara mzuri halafu unampiga vizinga mpenzi wako, si bora uache kazi ijulikane moja. Huo ni ujinga. Ndio maana familia nyingi haziendelei sababu wanaume wanahangaika wenyewe kulisha familia ili hali mke anafanya kazi. Eti nina hela niache kulipa ada ya mtoto wangu niliyezaa nimsubirie mwanaume sababu ni jukumu lake loh. Mimi nafurahi kabisa kuona nafanya mchango kukuza familia yangu.
 
Mnakutana na wasomi ambao hawajielewi. Mwanamke anayejielewa hawezi kutamani hela ya mwanaume. Uwe umesoma au hujasoma hama hujielewi ni bure kabisa. Sasa unafanya kazi na una mshahara mzuri halafu unampiga vizinga mpenzi wako, si bora uache kazi ijulikane moja. Huo ni ujinga. Ndio maana familia nyingi haziendelei sababu wanaume wanahangaika wenyewe kulisha familia ili hali mke anafanya kazi. Eti nina hela niache kulipa ada ya mtoto wangu niliyezaa nimsubirie mwanaume sababu ni jukumu lake loh. Mimi nafurahi kabisa kuona nafanya mchango kukuza familia yangu.
Wewe ni muongo mzandiki. Nyie mnaojifanya wasomi ndoa is not for you. Kwanza wengi wenu huko maofisini mnaliwa tu na wafanyakazi wenzenu au maboss. Nyie mnaojifanya wasomi kutwa kucha viguu na njia. Mara semina mara sijui upumbavu gani, hamna lolote
 
Wewe ni muongo mzandiki. Nyie mnaojifanya wasomi ndoa is not for you. Kwanza wengi wenu huko maofisini mnaliwa tu na wafanyakazi wenzenu au maboss. Nyie mnaojifanya wasomi kutwa kucha viguu na njia. Mara semina mara sijui upumbavu gani, hamna lolote
Tatizo umekutana na wasiojielewa. Mwanamke yoyote akijirahisisha hata kama hafanyi kazi ataliwa hata na bodaboda. Mapenzi kazini loh, huo ni uchafu. Ni kukosa kujiheshimu. Mwanamke yeyote ambaye hajielewi ataliwa tu iwe kazini au mtaani. Dunia ya leo kila mzazi anataka mwanae aende shule na apate kazi , hata wewe si ajabu mwanao wa kike anasoma shule nzuri ili baadae awe na kazi nzuri.
 
Namkumbuka sana yule mwanamke niliyempenda sana. Nilimsaidia sana nilipokuwa nacho ila aliponiona sina mwelekeo wala kazi vitimbi vikaanza. Nikagongewa, mwanamke unampigia simu anakwambia nina kazi nitakutafuta ila ukipiga baadae simu haipatikani
Mwingine nilimpa laki 260,000 kama mtaji. Alipoanza biashara ya mgahawa, akawa mzito kupokea simu. Ukimwambia nitafute baadae hakutafuti.
Akaja kunitafuta anadai aje mkoa nilipo nikamwambia subiri kwanza kipindi hicho hali siyo nzuri. Kuna siku aliniomba 5,000 nikamwambia sina akaniambia futa namba yangu, mm na yeye basi. Ikawa hivyo
Kuhonga wanawake nishaacha kabisa, naangalia maendeleo yangu. Hata mwanamke niliyenaye huwa nampa kwa tahadhari sana uzuri huwa haniombi hela. Labda km anashida ila ukimwambia sina nimuelewa.
Huyu mtoa uzi anafaa ajengewe sanamu kabisa la makumbusho. Hawa wanawake hawana shukurani, utajitolea utamhurumia mwisho wa siku anakupiga chini. Hiyo 50,000 unayotaka kumpa mwanamke ambaye siyo mkeo ni bora ukamtumia mama yako au nunua nguo zitakusaidia.
Na hili limenisaidia sana kupiga hatua kimaendeleo. Nina mtazamo kama wa mtoa uzi kabla hata hajatoa huu uzi.
Hata mkeo anatakiwa umpe hela kwa tahadhari sana, zingine wekeza kwa watoto na maendeleo. Unamnunulia simu nzuri, anatumia kuongea na mabwana zake halafu wewe anakuiita boya.
Manaume yale yako twisted, yamejazana humu kwenye hii topic, stop treating women like shit, wapuuzi tu nyie
 
Namkumbuka sana yule mwanamke niliyempenda sana. Nilimsaidia sana nilipokuwa nacho ila aliponiona sina mwelekeo wala kazi vitimbi vikaanza. Nikagongewa, mwanamke unampigia simu anakwambia nina kazi nitakutafuta ila ukipiga baadae simu haipatikani
Mwingine nilimpa laki 260,000 kama mtaji. Alipoanza biashara ya mgahawa, akawa mzito kupokea simu. Ukimwambia nitafute baadae hakutafuti.
Akaja kunitafuta anadai aje mkoa nilipo nikamwambia subiri kwanza kipindi hicho hali siyo nzuri. Kuna siku aliniomba 5,000 nikamwambia sina akaniambia futa namba yangu, mm na yeye basi. Ikawa hivyo
Kuhonga wanawake nishaacha kabisa, naangalia maendeleo yangu. Hata mwanamke niliyenaye huwa nampa kwa tahadhari sana uzuri huwa haniombi hela. Labda km anashida ila ukimwambia sina nimuelewa.
Huyu mtoa uzi anafaa ajengewe sanamu kabisa la makumbusho. Hawa wanawake hawana shukurani, utajitolea utamhurumia mwisho wa siku anakupiga chini. Hiyo 50,000 unayotaka kumpa mwanamke ambaye siyo mkeo ni bora ukamtumia mama yako au nunua nguo zitakusaidia.
Na hili limenisaidia sana kupiga hatua kimaendeleo. Nina mtazamo kama wa mtoa uzi kabla hata hajatoa huu uzi.
Hata mkeo anatakiwa umpe hela kwa tahadhari sana, zingine wekeza kwa watoto na maendeleo. Unamnunulia simu nzuri, anatumia kuongea na mabwana zake halafu wewe anakuiita boya.
sasa mbona umejikanyaga lakini mwishoni umejua ukweli ulipo. hao wengine hawakukupenda mkuu ,huyo wa sasa ndio anayestahili kupewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo umekutana na wasiojielewa. Mwanamke yoyote akijirahisisha hata kama hafanyi kazi ataliwa hata na bodaboda. Mapenzi kazini loh, huo ni uchafu. Ni kukosa kujiheshimu. Mwanamke yeyote ambaye hajielewi ataliwa tu iwe kazini au mtaani. Dunia ya leo kila mzazi anataka mwanae aende shule na apate kazi , hata wewe si ajabu mwanao wa kike anasoma shule nzuri ili baadae awe na kazi nzuri.
Empty kabisa. Mwanangu hatokwenda shule ili apate kazi. Nyie ndio nendeni shule kwa lengo la kupata kazi. Ndio maana nkimaliza shule hamjapata kazi basi mpo tayari kwa lolote hata muuza miili yenu mpate kazi. Mkuu, ninachoongea kuhusu wanawake wanaojiona wasomi nakijua. Of course sio wote but 99% ni majanga matupu. Hamna faida yoyote, wabinafsi, wachoyo, hamtimizi majukumu yenu ya nyumbani, washindani, wajeuri na wanaliwa na staff wenzao huko. I know what I am saying
 
Haka kaugonjwa kameshamiri mno...Leo tu minyege imenishika nikasema NGoja nikasituwe kademu nilikaona kastaarabu kaje tufanyane ebwana muda huohuo kakanipa invoice ya saloon nimekazungusha Huku nikikazungusha na kukapaa ahadi za kesho mzigo utapatikana...

To cut the story short nimelala na nyege zangu...

Ila kupenda sijui mshipa ulishakatika au ni Kwa kuwa dada zetu hawapendeki au wao wanatafuta financial support . Hata Sijui wa humu nilishashindwa kuwaelewa Hasa wa lile jukwa la love connect uongo mtupu lile jukwaa lingefungwa halina uhalisia wowote.

Mpende Mwanao na Mama Yako Tu ...sijui mke sijui girlfriend achana na hizo mambo....
Point!! Hawa na wakuwageggeda tuu. Hamna kupenda wala kuoa. Tuheshimu maauzi ya kikao cha mwisho
 
Back
Top Bottom