The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
-
- #461
On serious note ASAP"The issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need??"
Hichi kipande umeongea pointi kabisa as long as natomber haina shida hiyo ni win win situation siku ukimkinai unaenda kwa mwengine"
Sasa unataka umle dada wa watu bure hata hela ya sabuni jamani humpi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema we sister fala sana nimesoma majibizano nimecheka watu wa shakwambia hawakujui.and they dont give a shit wao wanajibu hoja we unakadhania eti unajifanya unanijua ukishashindwa huko unadai wanajifanya wanakujua wanakufatilia
Hilo ni kenge lililozeeka, linatusi tusi hovyo.We kinyago cha mpapure huna mamlaka ya kuniamrisha niandike nini nyambaf!!! Ptuuuuuu!!!
Bro afu ukutane na mtu ati anaoa hiyo kitu akaite mke serious ?!, unaweza kupiga makofi huyo brother. Ujuaji, ubishi, jeuri hebu ongeza na ubinafsi unaonaje hiyo package ?! Kuna wanaume wanapitia wakati mgumu sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema we sister fala sana nimesoma majibizano nimecheka watu wa shakwambia hawakujui.and they dont give a shit wao wanajibu hoja we unakadhania eti unajifanya unanijua ukishashindwa huko unadai wanajifanya wanakujua wanakufatilia
Mkuu, wewe ni miongoni mwa watu wanaomiliki hela and yet hawaendeshwi na mapenzi. Unlike wengine hasa nice guys, wana bahati ya kushika hela ila wanaendeshwa balaa. Wewe umepona.!Mpango ni kuepuka cash vampires wakijipenyeza achana nao mind you bussiness
Hujui kufanya profiling, umekosa, uliza wanaonijua...Upo sahihi anaonesha ni mwanamke ambaye sio mtiifu kwa mwanaume nimpenda Ligi na mmenda vitonga wanawake kama hawa Siku ukiishiwa tu pesa jiandae kupigwa tukio
its true ila tuende na fact , among all uliodate nao au yeye whom alikua na career? au kazi? whom ame settle financially btn u na hao uliodate nao?? then shida inaanza pale mnautumia udhaifu wao wa kutokua na hela au shida zao either kuwapenda,kuwaoa, etc asa why wasiwe wabinafsi pindi wakiwa nacho?Jamaa kakosea kuwagenalize wote lakini lengo nikuwa asilimia kubwa ya wanawake wapo kama alivyosema mtoa mada
mbaya, mchoyo, hupendwi, social reject, halafu eti kuna mwanamke anakupenda??!!! endelea kujidanganya!!!!...unawashauri wenzako wasitoe chochote kwa wanawake wakati kuna mwanamke kakufanya mradi huko hujielewi wewe...Bro afu ukutane na mtu ati anaoa hiyo kitu, unaweza kupiga makofi huyo brother. Ujuaji, ubishi, jeuri hebu ongeza na ubinafsi unaonaje hiyo package ?! Kuna wanaume wanapitia wakati mgumu sana.
Achana nae arif.
Wewe ni mwanamke pekee angalau umemchallenge mtoa mada ila dada yangu ungekuwa unajua kinachotokea kwenye mahusiano ya mapenzi ya watu wengi usingeongea hivyo mtoa nada kaungwa mkono na Wanaume kea 99.9% kwa sababu wameona kama amewakilisha watu wengi wanayopitia dada yangu wanawake wa sasa hiv asilimia kubwa wamekuwa wanaweka maslahi mbele badala ya mahusiano yawe sehemu ya kusaidiana,kuinuana, kuleteana faraja na Amani ya moyo yamekuwa sehemu ya kucreate stress, kududimizana kiuchumi na kurudishana nyuma kimaisha ile dhana ya real love imepotea hata hao wanawake unaowasemea wanashughuli za kufanya na wenye kipato nao wamekuwa wale wale ingawa sio wote kama hawa wasio na shughuli ya kufanya mwanaume amekuwa akigharamia kila kitu hiyo mishahara ya wanawake ujui inaenda wapi kiufupi hali imekuwa mbaya ndio maana unaona nyuzi kama hizi zimekuwa nyingi Sana humu JfThe issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need?? Kwanini usifate hawa wenye hela zao… wenye career and uhakika kabisa unakimbilia kwa hawa wasio nazo hapa inaonesha wewe ndo unashida sio wao cuz uliwafata wenyewe.
Pia kuna msemo ‘charity begin at home’ kila mkaka kwa hii thread aliesapoti mada hii ni wale wenye roho mbaya na tabia za choyo… hivi someone is struggling anaomba hela and wewe ukijichek unayo why usimsaidie? Kusaidia si mpaka awe ndugu yako, toa msaada kwa mtu yeyote mwenye hitaji kama huna say huna… basi case inakua closed
Wakwanza mama yako mzaziNi kweli kabisa Hawa viumbe hawanashukurani
Well said, mtu anastruggle ila akisaidiwa hana fadhila, na fadhila sio ati atoe ngono hapana hata kusema asante hakuna. Kuna ke mengi unamtumia pesa baada ya kujiliza akipokea ni kimya imetoka hiyo utaona text yake akiwa anaomba tena pesa, damn I mean WTF ?! How is that supposed to be ok ?!The issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need?? Kwanini usifate hawa wenye hela zao… wenye career and uhakika kabisa unakimbilia kwa hawa wasio nazo hapa inaonesha wewe ndo unashida sio wao cuz uliwafata wenyewe.
Pia kuna msemo ‘charity begin at home’ kila mkaka kwa hii thread aliesapoti mada hii ni wale wenye roho mbaya na tabia za choyo… hivi someone is struggling anaomba hela and wewe ukijichek unayo why usimsaidie? Kusaidia si mpaka awe ndugu yako, toa msaada kwa mtu yeyote mwenye hitaji kama huna say huna… basi case inakua closed
Well said, mtu anastruggle ila akisaidiwa hana fadhila, na fadhila sio ati atoe ngono hapana hata kusema asante hakuna. Kuna ke mengi unamtumia pesa ikipokea ni kimya utaona text yake akiwa anaomba tena pesa, damn I mean WTF ?! How is that supposed to be ok ?!
Kweli mkuu, unapata kijana Mungu kamfungulia milango pesa iko afu anaendeshwa na wanawake, anahonga honga kijinga wengine anahonga na mbunye hapewi aisee !!Mkuu, wewe ni miongoni mwa watu wanaomiliki hela and yet hawaendeshwi na mapenzi. Unlike wengine hasa nice guys, wana bahati ya kushika hela ila wanaendeshwa balaa. Wewe umepona.!
Mkuu umegusa maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana. Niliwahi kuwa na rafiki wa kike wakati nipo advance tulikua tunakaa mtaa mmoja ila tukawa tunasoma advance mikoa tofauti. Nilitokea kumjali sana maana nilikua namsalandia. Nakumbuka vingi nilipoteza kwake ila kwakua nilikua na hisia nae sikuhesabu chochote.
Mungu sio athumani tukaenda chuo kimoja iringa mkwawa bando upendo uliendelea palepale tena zaidi nakumbuka nilimtoa lanchi nyingi sana. Nakumbuka muda aliokua akiishiwa bumu alikua anakuja geto anapika anakula na maisha yanaenda. Ilitokea me nikaacha chuo nikaludi home coz hiyo kozi niliokua naisoma ni kama sikuipenda nililazimishwa, tangu niludi hivi sasa ni mwezi wa 5 hajawahi kunipigia sim wa kutuma text. Nilijalibu kumpigia sim ila respond yake ikawa mbovu sana kuanzia hapo nikampotezea hadi leo
Nimeuona huu uzi umenikumbusha mbali sana. Big up broo
Mnaumiza sana watoto wa watu. Sijui huko mbeleni mabinti zetu wataishi vipi kwenye mahusiano maana nina uhakika watalipia madhambi wanayofanya wanawake wa kizazi hiki na kinachoishia.Poleni sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asa si mngesemea mahusuano yenu why msemee wote?Wewe ni mwanamke pekee angalau umemchallenge mtoa mada ila dada yangu ungekuwa unajua kinachotokea kwenye mahusiano ya mapenzi ya watu wengi usingeongea hivyo mtoa nada kaungwa mkono na Wanaume kea 99.9% kwa sababu wameona kama amewakilisha watu wengi wanayopitia dada yangu wanawake wa sasa hiv asilimia kubwa wamekuwa wanaweka maslahi mbele badala ya mahusiano yawe sehemu ya kusaidiana,kuinuana, kuleteana faraja na Amani ya moyo yamekuwa sehemu ya kucreate stress, kududimizana kiuchumi na kurudishana nyuma kimaisha ile dhana ya real love imepotea hata hao wanawake unaowasemea wanashughuli za kufanya na wenye kipato nao wamekuwa wale wale ingawa sio wote kama hawa wasio na shughuli ya kufanya mwanaume amekuwa akigharamia kila kitu hiyo mishahara ya wanawake ujui inaenda wapi kiufupi hali imekuwa mbaya ndio maana unaona nyuzi kama hizi zimekuwa nyingi Sana humu Jf
Ulaya siku hizi ndoa nyingi ni za mashoga. Wanaume hawapati watoto sababu hawataki kusikia child support na hawataki ndoa sababu hawataki kusikia habari ya alimony.Kuna mtu alinambia wanawake wanalindwa sana huko ujerumani.
Ukiwa naye hlf mkamwagana wewe dume utamlipa huyo demu nusu ya ingizo lako maisha yenu yote.
Hata kama demu amekuchoka tu akaamua mwenyewe kumove on basi dume anatakiwa kutoa salio kwa hiyo nusu asilimia.
Dem anaweza kuamua tu kukukera ili umtimue lakini anajua mwisho wa siku ana uhakika wa asilimia 50 yake.
Kuna jirani yangu hapa ni playboy balaa. Ilitokea majuzi mwanamke anapigana na mwanaume wake anachezea kichapo. Watu wote tulitoka kuamulia ugomvi, jamaa hakutoka. Asubuhi tunakutana namuuliza mbona ulichuna.Unaona hayo mambo ?! Usiwe na huruma na mwanamke kama anashida muache afe., kama anabakwa muache abakwe wewe wahi kwenye mishe zako, unaenda kumsaidia hachelewi kusema na wewe ulimbaka kisa umevaa poa anaona atavuta mpunga, hawana shkrani.