Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Mkuu naomba nikujibu mimi,

Kuna huyu binti ambaye nilikuwa namuhudumia kama mke wangu wa ndoa, na nilijitoa kwake kwa hali na mali, alikuwa anamleta mpaka kaka yake ili nimsaidie, ila mwisho wa siku karudiana na ex wake akamzawadia na ujauzito

Sasa mimba inampelekesha anahitaji nikamuone kwake na kanithibitishia kabisa kwamba mimba ni ya ex wake aliyerudiana nae
Na yeye mwenyewe anajua ni kiasi gani nilikuwa nampenda, na nilishamwambia zaidi ya mara tatu kuhusu kupeleka posa kwao ila amekuwa akinipiga chenga huyu nae unamiweka kundi gani?

Maana anajua kabisa mimi nilikuwa nataka kumuoa na sikuwa na nia ya kumtumia ila yeye ndo ananitumia mimi

Kifupi mambo yaliyotokea ni mengi mpaka naona wanawake wote ni mbwa tu hawaridhiki kwa wanachokipata

Mkuu inaonekana wewe ni mwanaume fulani boya hadi inapelekea kulea mimba ya mwanaume mwenzio!,ina maana hata uwezo wa kumtia mimba ilishindwa hadi kusaidiwa na ex wake!
 
No free lunch in america.lipa, piga , kimbia
 
Tena ukimkuta ni single mothers ndio kabisaaaaaaaaaaaaa
Mkuu kwa ushauri kaa mbali na huyo mtu
Kwakua ULIMPENDA ANAJUA (tena bado unampenda ) Atakuzonga zonga ujae umpige mimba
Sas jichanganye
Maji utaita mma[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimpige mimba wakati tayari kisharudiana na ex wake na kishambebea mimba sa hv ina mwezi mmoja
 
Mkuu inaonekana wewe ni mwanaume fulani boya hadi inapelekea kulea mimba ya mwanaume mwenzio!,ina maana hata uwezo wa kumtia mimba ilishindwa hadi kusaidiwa na ex wake!
Hapana mkuu, nilishampa yangu ila ilitoka ilikuwa ni mwaka jana,

Ex wake karudiana nae mwaka huu, maana mimi mwenyewe mambo mengi nikiona ananiletea ujinga ujinga namwambia usiniendeshe

Mimba silei na mahusiano yalishakufa tangu mwezi wa nne, ila kaniambia jana kwamba ana ujauzito wa mwezi mmoja ila kwa kuwa anajua mimi ninamjari ndo akaniambia nikamuone

Ila kiukweli namchukia na yeye hajui kama namchukia natamani nimlambe shaba manina zake
 
Mkuu inaonekana wewe ni mwanaume fulani boya hadi inapelekea kulea mimba ya mwanaume mwenzio!,ina maana hata uwezo wa kumtia mimba ilishindwa hadi kusaidiwa na ex wake!

Anaeamua kushika mimba ni mwanamke mkuu
Wew ukiamua ikiwa hajataka utafanyaje?
 
Habari ndiyo hiyo. Hivi punde tu nimeombwa 30. Nimemkamatisha buku 3 nilipomuacha nikamtumia text nina ukame, tunaweza kupiga miti? Hajajibu,dawa ya jeuri ni kiburi.

Aliyenifundisha hili ni dada mmoja nilimkuta anashida kubwa ya kiafya. Yule kabla hata ya kumsaidia nilikuwa nampenda sana. Nikamsaidie mambo kibao huku akijua ninampenda. Sasa kwa sababu alikuwa hayuko vizuri kiafya sikumuingizia suala la kumla ila kila kitu kilikuwa wazi maana muda mwingine tukiwa kwenye gari tunapakatana.

Yule demu alivyopona akani block bila huruma bila kosa lolote. Ofisi zipo jirani akiniona anajikausha. Siku nilipokutana naye ana kwa ana nikamwambia wewe ni mwanamke wa mwisho kuonewa huruma na mimi

!!!
Siku akija pata shida utaona
Mambo...na bla blah kibao
Kwakweli wakati mwingine heri utafte tu danga
Akupe mapenzi umpe pesa
Kwishiney.... shida inakuja kwenye magonjwa[emoji20]
Mwisho wa siku unajikuta ume stay alone tu

Na aheri mtu aku reject mapema tu fresh ujue kabisa kua hanitaki kuliko kukubali afu ndio hivyo tena
[mention]Kelsea [/mention]
Wewentakulasahanimojanawewehadinijegangilonganaujeuishimbugani[emoji16]
 
The issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need?? Kwanini usifate hawa wenye hela zao… wenye career and uhakika kabisa unakimbilia kwa hawa wasio nazo hapa inaonesha wewe ndo unashida sio wao cuz uliwafata wenyewe.

Pia kuna msemo ‘charity begin at home’ kila mkaka kwa hii thread aliesapoti mada hii ni wale wenye roho mbaya na tabia za choyo… hivi someone is struggling anaomba hela and wewe ukijichek unayo why usimsaidie? Kusaidia si mpaka awe ndugu yako, toa msaada kwa mtu yeyote mwenye hitaji kama huna say huna… basi case inakua closed
Kuna formula moja tulifundishwa JANDONI huko, kwenye nyumba mwanaume akiwa na laki 3 na mwanamke milion 1 basi jumla ndani ya nyumba mna laki 3.Hizi hesabu huwezi elewa mpaka uingie jandoni.

Kwa kifupi hela ya mwanamke chungu, ina masimango na kejeli sababu wengi wenu wabinafsi na mara nyingi kama mkitoa hela yenu ndani ya nyumba wengi wenu hua mnaidai.Mistake kubwa sana kwa kijana kuingia kwenye maisha ya ndoa na mwanamke sababu ya hela yake, mara nyingi huishia kujuta na kusaga meno.

Mimi ndio maana ktk maisha yangu sijawahi kuipigia mahesabu hela ya mwanamke.
 
Kuna mtu alinambia wanawake wanalindwa sana huko ujerumani.

Ukiwa naye hlf mkamwagana wewe dume utamlipa huyo demu nusu ya ingizo lako maisha yenu yote.

Hata kama demu amekuchoka tu akaamua mwenyewe kumove on basi dume anatakiwa kutoa salio kwa hiyo nusu asilimia.

Dem anaweza kuamua tu kukukera ili umtimue lakini anajua mwisho wa siku ana uhakika wa asilimia 50 yake.
Mkuu hii ni kwa walio oana au kuzaa watoto.
Ndoa za kizungu kuachana huleta umasikini.
Kuna Mdenishi mmoja alikuwa na mshiko mrefu tu.
Tatizo alioa mara 3 na kuachana.

Wakwanza wakagawana nusu.
Wa pili wakagawana hiyo nusu.
Na wa tatu wakagawana nusu tena.

Mwishowe alikimbia Ulaya kuja Tz Karatu.
Sasa ameoa mchaga wamejenga lakini nyumba ina kiti kimoja cha kukalia.
 
Endeleni kutupa madini mkuu Akili zituingie
Take these words. Itakusaidia sana. Kuna wakati unaona sasa itakuwaje kama sina kimwana? kuwa nacho lakino kuwa makini na pesa zako zaidi hata kama ni elfu tano.

Huwa kuna woga fulani vijana tunakuwa nao. Kwamba usipokuwa unatoa basi hawatakupenda. Sio kweli. We fanya yako. Tia maendeleo watakuja wenyewe hata kama we ni bahili. Be smart
 
Mkuu hii ni kwa walio oana au kuzaa watoto.
Ndoa za kizungu kuachana huleta umasikini.
Kuna Mdenishi mmoja alikuwa na mshiko mrefu tu.
Tatizo alioa mara 3 na kuachana.

Wakwanza wakagawana nusu.
Wa pili wakagawana hiyo nusu.
Na wa tatu wakagawana nusu tena.

Mwishowe alikimbia Ulaya kuja Tz Karatu.
Sasa ameoa mchaga wamejenga lakini nyumba ina kiti kimoja cha kukalia.
Huo mgawo ulikuwa kam wa Arithmetic progression😅😅😅
 
Habari ndiyo hiyo. Hivi punde tu nimeombwa 30. Nimemkamatisha buku 3 nilipomuacha nikamtumia text nina ukame, tunaweza kupiga miti? Hajajibu,dawa ya jeuri ni kiburi.

Aliyenifundisha hili ni dada mmoja nilimkuta anashida kubwa ya kiafya. Yule kabla hata ya kumsaidia nilikuwa nampenda sana. Nikamsaidie mambo kibao huku akijua ninampenda. Sasa kwa sababu alikuwa hayuko vizuri kiafya sikumuingizia suala la kumla ila kila kitu kilikuwa wazi maana muda mwingine tukiwa kwenye gari tunapakatana.

Yule demu alivyopona akani block bila huruma bila kosa lolote. Ofisi zipo jirani akiniona anajikausha. Siku nilipokutana naye ana kwa ana nikamwambia wewe ni mwanamke wa mwisho kuonewa huruma na mimi
Sasa na mimi nimemwambia, "wewe ndo mwanamke wa mwisho kuthaminiwa na mimi"
Akaniuliza kwa nini, nikamjibu nyinyi ni kama mbwa hamridhiki na mnachokipata
 
Back
Top Bottom