The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
- #41
Umeliweka katika sentensi mujarabu mkuu.Tunahitaji moyo wa ziada na akili pia
Moyo uwe wa kikushi na akili ya kikatili sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeliweka katika sentensi mujarabu mkuu.Tunahitaji moyo wa ziada na akili pia
Moyo uwe wa kikushi na akili ya kikatili sana
Nakubaliana na wewe mkuu ke ni ke mke wangu nampa sikio ila simuamini sana, nitamwamini kwa 35% mama ni 60% hawa kina Ashura ndara ndefu -0.000%Hata akiwa mke wako usimpatie siri zote, chochote kinaweza kutokea ijapokuwa hatutarajii ila chochote kinaweza kutokea.
Abolish hiyo mawasiliano ila kama kakaa vibaya tomb.a afu usimpe hata 100 piga chini fanya mambo yako mengine ya kuingiza fedha.Kuna mwingine huku ananiazima laki 2.Me namchora tu
Acha uboya dogo, una mambo mengi ya kufanya na huto tusenti twako, peleka huko huto tusenti.Sasa kama kanitunuku tamu yake nisimuhonge hata kidogo?
Kwahiyo wewe unaona mbunye siyo kitu cha maana?Na mbona ndio nilichokazia. Kwamba me pambana na mambo yako na malengo yatimie, achana na hawa viumbe kwanza hawana cha kutupa zaidi ya mbunye
Asante sana kwa kuniita dogo mimi kiumri naweza kuwa baba yako mdogo. Lakini hata hivyo sishangai ukikua utaacha hizi ni akili za kitoto zinakusumbua.Acha uboya dogo, una mambo mengi ya kufanya na huto tusenti twako, peleka huko huto tusenti.
Binafsi mwanamke nakaa nao kijasusi sana. Moyo wangu ni mzuri wa kupenda na ni mzuri wa kutokupenda pia hata ijirejee kwa mwanamke huyo huyo mmoja. Malengo yangu nayasukuma ila sio yote atakayoyajua. Maendeleo yangu nayasukuma ila sio yote atakayoyajua. Ipo siku atayajua ila sio siku hii ya a,b,c..Kuna mwingine huku ananiazima laki 2.Me namchora tu
Kuna maana gani kwenye mbunye, eti baba mdogo ?Kwahiyo wewe unaona mbunye siyo kitu cha maana?
Hizo ndio strategy za kiume, big up.Binafsi mwanamke nakaa nao kijasusi sana. Moyo wangu ni mzuri wa kupenda na ni mzuri wa kutokupenda pia hata ijerejee kwa mwanamke huyo huyo mmoja. Malengo yangu nayasukuma ila sio yote atakayoyajua. Maendeleo yangu nayasukuma ila sio yote atakayoyajua. Ipo siku atayajua ila sio siku hii ya a,b,c..
Ha haa ha kaka hyo ilikua mtego wa kumnasa mjinga mmoja inshort haikua mission ya kimapenzi ila kijasusiTatizo la haya mambo hata ujifanye kauzu vipi bado tu hutaweza kuishi mwenyewe.View attachment 2249408View attachment 2249409View attachment 2249411
Kabisa kama kaomba kama bro basi na wewe ukawape masisterkuna mmoja akaniomba elf 5,nikampa. Akaniomba 20k nikwambia na mimi naomba k. Akasema basi ameomba kama bro. Nikamwambia niwe nakupa tu hela burebure kwani mimi sina ndugu wa kike wenye shida?
wanaume hamkuumbwa muwe na huruma,Na kinacho tuponza wanaume ni huruma yetu.
Hapa nakubaliana na wewewanaume hamkuumbwa muwe na huruma,