Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Kuna mwingine huku ananiazima laki 2.Me namchora tu
Binafsi mwanamke nakaa nao kijasusi sana. Moyo wangu ni mzuri wa kupenda na ni mzuri wa kutokupenda pia hata ijirejee kwa mwanamke huyo huyo mmoja. Malengo yangu nayasukuma ila sio yote atakayoyajua. Maendeleo yangu nayasukuma ila sio yote atakayoyajua. Ipo siku atayajua ila sio siku hii ya a,b,c..
 
Hizo ndio strategy za kiume, big up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…