Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Siku watoto wako na dada zako wakikutana na watu wenye mitazamo kama yako ndo utajua haujui...
 
Ya makasiriko na maumivu ya moyo.
Get well soon.
Easy up lady, ati nini? Maumivu ?! Gani ?! Mimi niko na maumivu ?! Kichekesho, kama ungepata hata robo ya maisha na hali yangu ungetamani mbunye yako uizungushie Tanzanite na all precious stones and you could (maana mbuye is all you have) ati nina maumivu ?! Yanatoka wapi ?!
 
Siku watoto wako na dada zako wakikutana na watu wenye mitazamo kama yako ndo utajua haujui...
Nina watoto sita wote madume sina dada tumezaliwa wanne wote boys kwetu mwanamke ni mama peke yake.

Ila hata kama ningekua na dada kama anaemdekeza ubinafsi wacha anyooshwe, kwamba kama ni dada yangu ndio nitetee tabia za kijinga, ebo !
 
kuna MWAMBA kapambana kamsomesha mke kiugumu kauza asset zake mke asome. yule mke kamaliza shule kapata kazi nzuri kambwaga jamaa mazima. jamaa kabaki kapagawa haamini km ndo keshapigwa tukio hivyo
Ukitaka kusomesha mke hakikisha umemzalisha watoto3, akikuacha unamwambia NENDA NA WANAO πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mnh huyu muandishi wa hii topic kama sio yule Robert..sijui

Hautakuwa kwenye committed relationship uka enjoy Matunda ta real love, never ever ! Kwa kudhani kila mwanamke yuko kwako ku gain something...tunakupa pole kwa kweli...

Yaani wewe utakua ulikua Mchoyo sana,ulivyokua mdogo. Poor you! Sikulaumu japokua umesema una mapesa sasa hivi, lakini umekulia maisha ya shida sana, umekua surrounded na poverty ndio maana uko selfish,sababu unaona pesa ya thamani sana, not to be wasted, not to be given to anybody.... sikulaumu mazingira na experiences tunazokulia ndizo zinazofanya tuwe confused tukiwa wakubwa...

Najua utakataa lakini ukweli ni huu...

1. Umekulia kwenye umaskini.

2. Una uchoyo hata kwa ndugu zako. Eti hapo kasema , atasaidia dada zake ila sio wanawake, hao dada sio wanawake?, sema wewe ni mchoyo, hutoi hela yako/msaada kwa yoyote na sio mwanamke peke yake, art of giving, haiangalii unatoa msaada kwa nani, kiwete au mzima, ndugu au sio ndugu, whether you get something back or not, au mwanamke na mwanaume ila ukiwa mchoyo ndio utafanya tofauti na hayo mambo.... eti humsaidii mwanamke sababu she has nothing to offer than mbunye...yaani unatoa msaada to get back something ndio unapproved wwe ni mchoyo... hivyo eti?! ...basi kasaidie wanaume wenzio upate di**ck!... maana jinsia ziko mbili tu mwanaume na mwanamke , na wewe unatoa msaada kwa kuexpect something in return, haya wanaume wenzio wana offer di**ck...

3, Wewe ni mtu uliyekataliwa sana na wanawake/ rejected because of poor status ukajiapiza ukipata hela hautampa mwanamke pole weeeee

Nyie watu mliokuwa confused na malezi, msituumie hii platform ya bwana Melo, ku influence upumbavu... na wanaume wengine wameingia kichwa kwenye huu ujinga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…