Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

wanaume hamkuumbwa muwe na huruma,
Of course [emoji817]
IMG_20220601_081944.jpg
 
Wakuu salaam,

Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari.

Hata umsaidie vipi hua wanaona kama walistahili zaidi na zaidi. Women are takers wanachojua ni kuchukua na kuchukua na kuchukua kisha kuchukua na kuchukua. Uko mahala pa kazi acha kujifanya kuwasaidia jinsia ke hawana shukrani, uko shule ni mwanafunzi soma faulu tengeneza mambo yako achana kujifanya unawasaidia sijui masomo hawana shukrani na wanakuona zoba.

They constantly want, constantly take kwao kila mwanaume wanataka awafanyie jambo 1,2,3 hutakosea ukiwaita malaya wa kuhitaji kufanyiwa favour kama jambo halimuhusu au halimnufaishi yeye hiyo jambo sio muhimu. Ubinafsi ulioota ukurutu.

Narudia mama yako na mke wako wanastahili msaada wako wamekufaa kwa mambo mengi ila hawa kina Ashura ndara ndefu piga chini fanya mambo yako.

Acha ujinga wa kujifanya kutengeneza urafiki na hawa viumbe, urafiki na mwanamke hua ni wakumnufaisha yeye tu na ni watu wa ajabu hata hawajishtukii hawa viumbe wanamapungufu mengi ila hili la ubinafsi na kukosa shukrani nachukizwa nalo sana.

Tangu nilipokua shule nilikua sitaki shobo na hawa viumbe, akiingia 18 natomb.a na kusepa sijengi kibanda ooh "baby baby" sinaga ujinga huo. Nimekua niko kazini na msimamo wangu ni ule ule sitaki shobo na ke, hata watoto wangu (wote madume)

Nawaasa kujali malengo yao na kuacha kujifanya kusaidia wanamake HAWANA SHUKRANI. Kuna wanaume wengi wamekwama na kushindwa kufikia malengo yao kwa kujifanya watakatifu wa kuwasaidia wanawake.
Mkuu why una ‘generalise’ kwamba ni wanawake wote wapo hivo? usha ‘date’ kila mwanamke kwa hii dunia? the act of some few women shouldn’t make you to think every women is like that…… there are some good and kind women outthere relax and kwanza tuombe msamaha kufananisha kila mwanamke na hap uliowapitia.

It’s true us women we are selfish and selfless on both ways….. but kinachokufanya utuone selfish au wabinafsi ni kua hujapata au I can say hujanahatika kupata mwanamke anaekupenda real…. u said u r committed but huenda ulioa au aliolewa just kutimiza sakrameti ya ndoa na si kuwa mnapendana for real yaan I mean the romantic love.

The romantic love sio hii mnayopelekana kwa altare hii tunaiita mnatimiza sakeamenti ya ndoa ila the kind of love that is romantic is the one that two people struggle to build them self toward the lasting life….. Yes na hapa ukipata dada anayekupenda kweli basi na yeye hukupa vizawadi without expecting anything kama wewe unavoeka eti utoe hela upewe sijui ‘mbunye’ hapa tunasema both wewe na huyo dada hampendani so ni shida zenu hizi.

Hivi hujawai sikia dada kamnunulia kiwanja mkaka?, hujawai sikia mdada kamnunulia mkaka gari?, hujawai sikia mdada mdada ndo anaetunza familia? so mpaka hapa sisi ni selfish?. Wanawake wachache uliomeet huko nyuma wasikufanye uwe bitter na kusema wote tupo hivi kubali hukua mchaguzi mzuri wa wawanawake ukaishia kwa hao wa aina hio.

Wanawake sio wabinafsi kwasababu mama yako alikupenda ukiwa tumboni angekua mbinafsi usingezaliwa….. emu jitahidi basi kama mkristo uwe unahudhuria ibada na muslim uswali swala tano kwa maandishi yako inaonesha there’s is something is wrong from ur soul n u need help and counseling.
 
Namuonea huruma sana mwanaume mwenzangu aliyenasa (atakaenasa)ktk mtego wa feminist kama huyo rebeca. Hawa ndio type ya wale wanawake wanaokusababisha utoke mvi kabla ya wakati wako.
Upo sahihi anaonesha ni mwanamke ambaye sio mtiifu kwa mwanaume nimpenda Ligi na mmenda vitonga wanawake kama hawa Siku ukiishiwa tu pesa jiandae kupigwa tukio
 
Hawana shukrani kuna manzi nilikuwa namla juzi tu hapa akataka nimununulie PC nilivyomwambia sina hela hajawai kunijibu tena Meseji zangu wakati nyuma amekula sana hela zangu hawa viumbe bhana.
PC? Umekuwa baba yake?
 
Mkuu why una ‘generalise’ kwamba ni wanawake wote wapo hivo? usha ‘date’ kila mwanamke kwa hii dunia? the act of some few women shouldn’t make you to think every women is like that…… there are some good and kind women outthere relax and kwanza tuombe msamaha kufananisha kila mwanamke na hap uliowapitia.

It’s true us women we are selfish and selfless on both ways….. but kinachokufanya utuone selfish au wabinafsi ni kua hujapata au I can say hujanahatika kupata mwanamke anaekupenda real…. u said u r committed but huenda ulioa au aliolewa just kutimiza sakrameti ya ndoa na si kuwa mnapendana for real yaan I mean the romantic love.

The romantic love sio hii mnayopelekana kwa altare hii tunaiita mnatimiza sakeamenti ya ndoa ila the kind of love that is romantic is the one that two people struggle to build them self toward the lasting life….. Yes na hapa ukipata dada anayekupenda kweli basi na yeye hukupa vizawadi without expecting anything kama wewe unavoeka eti utoe hela upewe sijui ‘mbunye’ hapa tunasema both wewe na huyo dada hampendani so ni shida zenu hizi.

Hivi hujawai sikia dada kamnunulia kiwanja mkaka?, hujawai sikia mdada kamnunulia mkaka gari?, hujawai sikia mdada mdada ndo anaetunza familia? so mpaka hapa sisi ni selfish?. Wanawake wachache uliomeet huko nyuma wasikufanye uwe bitter na kusema wote tupo hivi kubali hukua mchaguzi mzuri wa wawanawake ukaishia kwa hao wa aina hio.

Wanawake sio wabinafsi kwasababu mama yako alikupenda ukiwa tumboni angekua mbinafsi usingezaliwa….. emu jitahidi basi kama mkristo uwe unahudhuria ibada na muslim uswali swala tano kwa maandishi yako inaonesha there’s is something is wrong from ur soul n u need help and counseling.
Jamaa kakosea kuwagenalize wote lakini lengo nikuwa asilimia kubwa ya wanawake wapo kama alivyosema mtoa mada
 
The issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need?? Kwanini usifate hawa wenye hela zao… wenye career and uhakika kabisa unakimbilia kwa hawa wasio nazo hapa inaonesha wewe ndo unashida sio wao cuz uliwafata wenyewe.

Pia kuna msemo ‘charity begin at home’ kila mkaka kwa hii thread aliesapoti mada hii ni wale wenye roho mbaya na tabia za choyo… hivi someone is struggling anaomba hela and wewe ukijichek unayo why usimsaidie? Kusaidia si mpaka awe ndugu yako, toa msaada kwa mtu yeyote mwenye hitaji kama huna say huna… basi case inakua closed
 
Hahahaa, basi unadhania unanijuuuua, kuliko ninavyojijua mwenyewe!..chukua time fala tu wewe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema we sister fala sana nimesoma majibizano nimecheka watu wa shakwambia hawakujui.and they dont give a shit wao wanajibu hoja we unakadhania eti unajifanya unanijua ukishashindwa huko unadai wanajifanya wanakujua wanakufatilia
 
Tatizo lenu mnataka kuwaridhisha wanawake kwa kuwapa pesa.

Mwanamke haridhiki na pesa yako hata siku moja.

Mwanamke anaridhika na vitu anavyovifikiria yeye.

Ndio maana Dangote hana Mke.
Billigate hana Mke
Billionea number one
Musk hana Mke
Jeff Bezos sina taarifa zake.
Steve Jobs naskia alikufa akiwa Bachelor
Na hao ndio ma MoneyGoats.




Ishini nao kwa akili.
Karudie kusoma uliposoma au kasikilize upya uliposikia
 
The issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need?? Kwanini usifate hawa wenye hela zao… wenye career and uhakika kabisa unakimbilia kwa hawa wasio nazo hapa inaonesha wewe ndo unashida sio wao cuz uliwafata wenyewe.

Pia kuna msemo ‘charity begin at home’ kila mkaka kwa hii thread aliesapoti mada hii ni wale wenye roho mbaya na tabia za choyo… hivi someone is struggling anaomba hela and wewe ukijichek unayo why usimsaidie? Kusaidia si mpaka awe ndugu yako, toa msaada kwa mtu yeyote mwenye hitaji kama huna say huna… basi case inakua closed
"The issue ya kumpa a lady hela au ‘money’ … Yes hivi kweli unajua kabisa mimi sitaki kutumia hela zangu ovyo then why are you dating women who are in need??"

Hichi kipande umeongea pointi kabisa as long as natomber haina shida hiyo ni win win situation siku ukimkinai unaenda kwa mwengine"

Sasa unataka umle dada wa watu bure hata hela ya sabuni jamani humpi
 
Back
Top Bottom