wanatokea kanda gani hao mkuu??????? Mana kaskazini tayari imezinduliwa.
Tusubiri uteuzi wa 'mwenzetu' mwingine!Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anatakiwa awe anastaafu leo kwa mujibu wa sheria. Ametumikia chini ya Kikwete tangu miezi michache tu baada ya Rais Kikwete kuingia madarakani.
kinachotakiwa si kijana bali ni uwezo wa mtu katika kuongoza na kufanya maamuzi yasiyo na shaka na ambayo hayatawaumiza walio wengi. kama mnajidanganya kuwa atateuliwa huyo mnayemuita kijana ili mumyumbishe hapo mmedanganyika
NAKEMEAUDINI Nilichomanisha ni kuwa Baregu au Rwaitama si waislam, kama alivyo Rashid Othman. Hivyo correlation ya RO na mamlaka ya uteuzi (JK) ni kubwa kuliko ilivyo ya Baregu na Rwaitama! Basis ya arguement yangu ni kutokana na complaints ambazo zimewahi kujitokeza mara nyingi hapa kuwa mamlaka ya uteuzi inatoa "upendeleo" kwa religious affiliates wake!!
Sheria za kazi kweli zinasema pale mwajiri anapoona inafaa anaweza kumpa mkataba wa kazi yule aliyefikisha muda wa kustaafu. Sawa, lakini serikali ya baba MwanaAsha sio consistent katika hili kwani mikataba huwa wanapewa watu wa majina na itikadi anayohusiana nayo na hapo ndipo malalamikao yanapoanzia kuwa jamaa bado anakoleza itikadi ya vipedo!! He is not consistent in his decision making.
Sheria za kazi kweli zinasema pale mwajiri anapoona inafaa anaweza kumpa mkataba wa kazi yule aliyefikisha muda wa kustaafu. Sawa, lakini serikali ya baba MwanaAsha sio consistent katika hili kwani mikataba huwa wanapewa watu wa majina na itikadi anayohusiana nayo na hapo ndipo malalamikao yanapoanzia kuwa jamaa bado anakoleza itikadi ya vipedo!! He is not consistent in his decision making.
Hawa watoto wetu ukiwakuta jioni baada ya masomo wanavyoponda maisha as if kila kitu tayari kumbe ndo kwanza wanarudi nyumbani kutoka shule. Wapo ambao hata makwao wanajulikana kua usiku wanatorokaga na wanarudi asubui lakini wakifeli tunakimbilia kusema kua fulani ajiuzuru. Tatizo kubwa tulilobalo tunaangalia solution za kisiasa(tulipoangukia kuliko tulikojikwaa).Sioni kama hoja ya MBATIA inatoa picha yoyote hapa. Kuna wanafunzi waliofanya vizuri tu, sasa tuseme walikuwa na mitaala yao toauti na wale waliofeli? Halafu mimi nashangaa, wanaolalamika ni wale ambao watoto wao, ndugu zao na jamaa zao wamefanya vibaya katika matokeo hayo, wale ambao watoto wao wamefanya vizuri wamefurahi sana na kuipongeza serikali tena tunao mitaani wanasema wazi kuwa watoto wa jirani zao walikuwa wavuta bangi, watumia simu za mikononi hovyo na vitu kama hivyo. Hivi mtaala hata ukiwa mzuri vipi utamzuia mtoto kuvuta bangi?
NAKEMEAUDINI umesahau kutaja kwa jina la....maana kwa nguvu zako wewe kama mwana wa Adam sidhani kama utaweza kutokomeza udini. Mimi nasema, kwa Jina lililo kuu kuliko yote la Yesu Kristo na kwa nguvu za yeye aniwezeshaye katika kila jambo, washindwe wote wanaotangaza udini. Amina.ndio kigezo kilichotumika hadi baregu akateuliwa na padre slaa na aikaeli mbowe kuwa mshauri wao???? mana huko ndio kuna hivyo vigezo............
katika serikali na vyombo vya dola kabla mtu hajateuliwa kuwa mkuu wa idara au kitengo flani, huwa wanakaa wakuu wa idara mbalimbali zilizo chini ya taasisi hiyo mfano, katika idara ya polisi wanaangalia ma RPC, Wakuu wa idara makao makuu, makamishna na majenerali. wanajadiliwa na idara husika yanabaki majina matatu ndio yanapelekwa kwa mamlaka ya uteuzi ambayo ni rais wa nchi. so siamini kwamba hivyo vigezo vya LAANA VILITUMIKA NA KWA HAKIKA NAKEMEA UDINI KWA NGUVU ZANGU NA AKILI ZANGU NA UWEZO WANGU WOTE NASEMA UDINI NA MDINI MSHINDWE NA MLEGEE..............
ndio kigezo kilichotumika hadi baregu akateuliwa na padre slaa na aikaeli mbowe kuwa mshauri wao???? mana huko ndio kuna hivyo vigezo............
katika serikali na vyombo vya dola kabla mtu hajateuliwa kuwa mkuu wa idara au kitengo flani, huwa wanakaa wakuu wa idara mbalimbali zilizo chini ya taasisi hiyo mfano, katika idara ya polisi wanaangalia ma RPC, Wakuu wa idara makao makuu, makamishna na majenerali. wanajadiliwa na idara husika yanabaki majina matatu ndio yanapelekwa kwa mamlaka ya uteuzi ambayo ni rais wa nchi. so siamini kwamba hivyo vigezo vya LAANA VILITUMIKA NA KWA HAKIKA NAKEMEA UDINI KWA NGUVU ZANGU NA AKILI ZANGU NA UWEZO WANGU WOTE NASEMA UDINI NA MDINI MSHINDWE NA MLEGEE..............
Kwanza to put the records straight sina ndugu ayelifanya mtihani wa form 4 mwaka ulopita, na je mkuu wa Green Acres aliyelalamikia wanafunzi wa shule yake walowekewa maksi kwenye masomo ambayo hawakufanya na walofaulu bila kufanya mtihani unawaongeleaje? kinachoniuma ni number of failures tunaongeza mtaani kila uchao, niliposema mfumo ndo umewafelisha watoto hao nilikuwa na maana yangu, km una kumbukumbu nzuri serikali kupitia kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Mh. Lowassa ndo walioanzisha shule za kata na walikuwa na kusudi zuri, lakini shule hizi zilisahaulika baada ya kuingia Mh. Pinda aliyekuja na sera ya kilimo kwanza, so to say shule za kata zingekuwa well furnished kwenye walimu ambao wapo well paid, maabara, maktaba, vitabu vya kiada na ziada hzo zero zingepungua na watoto hao waloelimika wangeendesha kilimo cha kisomi zaidi, vilevile imefika kipindi shule zetu zote wafundishe vocational skills ambazo zingewasaidia hata hao walopata zero kupata kitu cha kujikimu, kuliko sasa ambapo hawajielewi maana hawana mbinu mbadala wa kujikimu, hence kwa hali hii tutazalisha vibaka na machangudoa wengi coz hata wakiingia umachinga na mama ntilie mgambo hawatawaacha salama.
CAG ie mkaguzi na mthibiti wa hesabu za serikali ni mkristo anaitwa LUDOVICK UTOUH!!!!!!!!!!!!!! ALIONGEZEWA MUDA WA MKATABA...HAPO UNASEMAJE??????????? ACHENI UJUHA KWA KUCHOCHEA CHUKI ZA KIDINI..MNALIANGAMIZA TAIFA
Kutokana na matukio ya ajabu yanayotokea hapa kwetu, nashindwa kuamini iwapo kweli kuna U salama wa Taifa. Nadhani kuna haja ya kuliona hili hata kwenye Katiba Mpya kwamba ni mfumo gani tunauhitaji ambao utaweza kuangalia na kulinda maliasili ya Taifa nk badala ya kujenga chuki na wivu kwa wale wanaopenda maendeleo ambao wamekuwa wathirika wa juhudi zao za kulitetea taifa hili.
Chini ya Uongozi wake, watu wamemwagiwa tindikali, wamepigwa na kuteswa kikatili kwa sababu ya chuki, wanyonge wameonewa sana, wengi wamepakaziwa kwamba sio raia wa nchi hii wakati makaburi ya babu zao yakiwepo, wengi wameathirika kwa sumu, na usalama wa Taifa ukiwa Kimya bila kufuatilia.
Hata matukio haya ya Zanzibar nayashangaa kuona kwamba Usalama wako wapi? Je hawa wanaopanga mikakati mibaya ya namna hii wanafanya vikao mbinguni? Ina maana wana akili za kuwazidi usalama wa Taifa? Iwapo jibu ni ndiyo, kuna haja gani ya kuwa na usalama wa taifa?
Mi nadhani kinachoharibu sura ya idara nyeti hii pia ni "Undugu" Ni vema tukawa na watu waadilifu, wazalendo na wale ambao wako tayari kuitetea nchi kwa maslahi ya taifa. Mtu aingie huko kwa vile anazo sifa sio kwasababu ni mtoto wa shemeji....
Mwanakijiji, kitu cha muhimu unachopaswa kutambua ni kuwa, hao wanaokupa taarifa kuhusu mambo yanayoendelea ndani ya Idara ya Usalama ni watu hatari, wanafiki ingawa natambua kuwa taarifa wanazokupa si timilifu na zenye mashaka. kumbuka hata huyo Dr Slaa anatamba kuwa ana masource ndani ya idara ya usalama, ingawa kile anachokisema mara nyingi kinakuja kubainika kuwa ni uzushi. hiyo inatoa ishara kuwa hata kama mnajidanganya mna watu, afisa wa idara makini hawezi kuwapa taarifa za ukweli. pia mtambue kuwa endapo mnawaamini na kuwatumia watu hao kwa matakwa yenu ya kisiasa, basi mjue kuwa hao ni watu hatali na ipo siku watakuja kuwageuka.
unaona....nilisema ni rahisi kuwatambua! wa kwanza wewe umejileta...nasubiri next person!wataje hao. na wewe mwenyewe umo nini? naona umejishtukia. usisahau katika hiyo orodha na huyo mwanakijiji
Asingechakachua ile ripoti ya ufisadi wa Jairo, CAG asingeongezewa muda!! Alimlinda mshirika wa baba MwanaAsha at the expense of his professional integrity hivyo akazawadiwa contract; which is corruption from the highest levels!!
Msitake nicheke bure hapa! Kwani hapa Tz kuna usalama wa Taifa au usalama wa Viongozi?
vijana walipokagua wakaonyeshwa pasi za kusafiria za kidiplomasia za QatarHivi, unafikiri kweli kuwa hilo dege liliingia nchini bila kibali cha wizara ya ulinzi au Kikwete? They knew about it.
Rashid Othman anatakiwa kustaafu lini kwa mujibu wa sheria?