na hatimaye viongozi nao hawako salama maana wangekuwa salama the late Barrow, RPC wa Mwanza na Padre Mushi wa Zanzibar (naye ni kiongozi) labda wangekuwa haiMsitake nicheke bure hapa! Kwani hapa Tz kuna usalama wa Taifa au usalama wa Viongozi?
Rashid Othman anatakiwa kustaafu lini kwa mujibu wa sheria?
Rashid Othman anatakiwa kustaafu lini kwa mujibu wa sheria?
Aliteuliwa Kishkaji na mshkaji wake.kwanza niulize imekuaje amekaa muda wote bila kufukuzwa...that organisation is the most corrupt kuliko wakati mwingine wowote, watu wengi wamekufa au kupoteza mali zao bila hatia watu kutoka nchi zingine wanapitishwa kwenye hii nchi na wao wamekaa kimya..wanyama wanapitishwa airport (KIA) wanapelekwa uarabuni yeye kafumba macho...how did he manage to last this long?
Rashid Othman anatakiwa kustaafu lini kwa mujibu wa sheria?
unaona....nilisema ni rahisi kuwatambua! wa kwanza wewe umejileta...nasubiri next person!
Huo unaitwa Umbea.naskia wewe unaishi ughaibuni kama mkimbizi, unarudi lini nyumbani tuijenge nchi yetu kwa pamoja???????????
Aliteuliwa Kishkaji na mshkaji wake.
Washkaji hawaleteani noma bana.
akili ndogo hujadili watu....
Rashid Othman anatakiwa kustaafu lini kwa mujibu wa sheria?
Wewe mwenye kubwa unajadili nini?akili ndogo hujadili watu....
comment zako zinaku difine uwezo wako wa kiakili kwa maana unaongea usiyoyajua wala kuyafanyia utafiti...kumbuka hapa jf wanapita watu wenye akili na uwezo wa kupambanua mambo than u can imagine
Huo unaitwa Umbea.
Ungekuwa Mwananyamala kwa Manjunju wangekununulia kanga.
Rudi Face book.Mimi nimechoka na siasa za kibongo hizi, yaani SLAA naye leo kaingia JF kwa jina la Mwanakijiji. Nchi inahitaji mshikamano katika nyanja zote kuhakikisha watanzania wanafika kule ambapo mataifa mengine yamefika, badala yake tunaanza kupoteza muda kwa kujadili upuuzi tu humu JF , hivi kujua mtu anastaafu lini li kazi tu kweli kama unahitaji kujua hilo si uende kwa mwajiri wake akwambie. Hebu leteni mada bwana ambazo zina mshiko kwa taifa.
Tofauti yangu na yako ni kwamba, sijaajiriwa kufanya mambo ya ki.se.nge kama wewe.Wewe utakuwa bibi wa majungu, mpaka unajua kanga za majungu zinapouzwa.
utaifakwanza tufike mahali tuwe wakweli na tusiwe watu wa kukopi mawazo ya watu wengine na kuyahamishia kwenye akili zatu; hivi watoto wa kule Kibosho, Marangu, Rombo, Mwika, Gairo, Naibili, Masama, Dongo Besh, Haydom, Bashnet, Ifakara, Ikwiriri, Lugoba, Mazinde, Hanang, Siwandeti, Mwandeti, Mwandete hao wana "internet access"? Njooni na sababu nyingine za watoto kufeli lakini hili la "facebook" ni sababu ya kufikirika lakini si kwelisijamdharau mtu hata mmoja mana hata mimi nina wadogo zangu wamefeli, lakini sababu za msingi zinajulikana, mojawapo ni watoto kutumia mitandao ya kijamii hususan FACEBOOK kutafuta wapenzi na wachumba, kuangalia picha za ngono na lmambo yanayofanana na hayo.......... sheria zinafuatwa ndio mana hao unaotaka wastaafu waliingia kwa sheria na wataondoka kwa sheria....................asante kwa kutambua ignorance yangu kwani ndio sifa ya kibinadam, ila wewe usitumike, ni hatari kwa afya yako na famili na taifa kwa ujumla. be free in ur thinking
Siku tutakapoacha kuangalia masuala ya muhimu kidini ndipo hii nchi itaendelea,kwa wenye akili natumaini mmeelewa