sijamdharau mtu hata mmoja mana hata mimi nina wadogo zangu wamefeli, lakini sababu za msingi zinajulikana, mojawapo ni watoto kutumia mitandao ya kijamii hususan FACEBOOK kutafuta wapenzi na wachumba, kuangalia picha za ngono na lmambo yanayofanana na hayo.......... sheria zinafuatwa ndio mana hao unaotaka wastaafu waliingia kwa sheria na wataondoka kwa sheria....................asante kwa kutambua ignorance yangu kwani ndio sifa ya kibinadam, ila wewe usitumike, ni hatari kwa afya yako na famili na taifa kwa ujumla. be free in ur thinking