Faruku Mhamadi: Mke wangu alinichoma kisu nikiwa usingizini

Faruku Mhamadi: Mke wangu alinichoma kisu nikiwa usingizini

Kuna stori ya upande wa pili alitakiwa kuisema. Naamini mke wake sio kichaa aamke amchome kisu bila sababu. Lazima uvumilivu uliisha kutokana na matendo flani.

Wanaume tukumbuke kwamba wanawake nao ni binadamu wanapata hasira pia kwa mambo kama usaliti n.k
Yani hata kama alimkosea mkewe yule kwa namna gani ila haki zoooote zitakuwa kwake kwa kitendo alichofanyiwa!

Muleba, Ngara na Biharamuro ni sehemu za kipumbavu sana kuanzia kwenye maisha ya kawaida. Karagwe iko mbele sana
 
"Alianzia kwenye chembe ya Moyo akachana mpaka chini. Niliposhtuka usingizini nikakikuta kile kisu kipo tumboni kwangu. Nilimuuliza mke wangu vipi kulikoni?" Mmmh

Anyway, sasabivi kila mtu ajiokoe mwenyewe sasa. Serikali na sheria zote zimamlinda mtoto wa kike kuliko wa kiume. Na mtifuano uendelee
 
Kuna vitu anaficha, ukimsikiliza unaona kabisa kuna vitu haviko sawa.
Hata kam anaficha, sisi tunaangali hilo lankumtigua mtu kisu. Yeye angemtifua mkewe, haijalishi sababu mngeandamana. Kwann huyo mwanamke qmtifue mwenzie kisu?
 
Hebu msikilize vizuri bwana faruq
Kwa hiyo unahukumu kwa kusikiliza upande mmoja, ili story ibalance na uweze kuhukumu ungesikiliza na upande wa pili, kwa akili yako unahisi huyo mwanamke alibeba kisu na kumchoma mwenzie bila sababu.
 
Kuna stori ya upande wa pili alitakiwa kuisema. Naamini mke wake sio kichaa aamke amchome kisu bila sababu. Lazima uvumilivu uliisha kutokana na matendo flani.

Wanaume tukumbuke kwamba wanawake nao ni binadamu wanapata hasira pia kwa mambo kama usaliti n.k
Kuna malaika hapo juu anamwandikia haki huyo aliyechomwa kisu kwamba hakuna sababu iliyokuwepo huyo mwanamke alimchoma tu kwa sababu anaroho mbaya[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Baba aliniambia, "Mwanangu ukiona huelewani na mkeo, muache aende kwa amani" Haya mambo ya mara mmeachana kesho mmerudiana mwisho huwa madhara. Ndio maana mm kila siku husa nasema hapa x harudiwi. Huwa hamnielewi.

Mm mwaka jana nilimwacha mchumba wangu miezi minne kabla ya ndoa. Sababu alitaka kunywa sumu baada ya kumwambia gauni lako la harusi tutakodi ili kupunguza gharama, yy akawa analazimisha ashone la kwake kama kumbukumbu.

Mpuuzi sana yule mwanamke. Baada ya kufanikiwa kumzuia asinywe ile sumu. Niliapa kumuacha aende kwa amani japo nilimlipia mahari.

Hadi leo sitaki hata kumsikia, ametafuta suluhu ila mm sitaki tena. Maana mwisho ndio huu sasa, mnaanza kutifuana visu.

Mwanamke au mwanau ulimuoma kabisa hakufai mkaachana. Kesho unamuona tena anafaa sio kweli. Mtakufa vibaya nyieee

Nakadori njoo usome ujumbe wako hapa. Uachane na mambo ya kurudiana na x wako yule mzee[emoji1787]
 
Hata kam anaficha, sisi tunaangali hilo lankumtigua mtu kisu. Yeye angemtifua mkewe, haijalishi sababu mngeandamana. Kwann huyo mwanamke qmtifue mwenzie kisu?
Sio nyie huwa mnashangilia mkituchoma na magunia ya mkaa? Hebu shangilieni na hili tafadhali.
 
Kwa hiyo unahukumu kwa kusikiliza upande mmoja, ili story ibalance na uweze kuhukumu ungesikiliza na upande wa pili, kwa akili yako unahisi huyo mwanamke alibeba kisu na kumchoma mwenzie bila sababu.
Mkuu nipe sababu yoyote ambayo mtu anatakiwa kuchomwa kisu na mkewe
 
Mkuu nipe sababu yoyote ambayo mtu anatakiwa kuchomwa kisu na mkewe
Hakuna sababu yoyote inayowezafanya mtu kumdhuru mwenzie, isipokuwa watu wanajaribu kutetea ujinga kwamba yule mwanamke alifanya hilo tukio bila kuwepo sababu kati yake na mmewe.
 
Back
Top Bottom