mxrereco
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,906
- 3,986
100% kizazinkianze upya. Dunia imekua chafu sana. Wanaume ushoga., wanawake mafeminist. Hakuna hata raha ya maisha tenaKwahiyo mkuu bora tufutike tu duniani ili tuanze upya[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% kizazinkianze upya. Dunia imekua chafu sana. Wanaume ushoga., wanawake mafeminist. Hakuna hata raha ya maisha tenaKwahiyo mkuu bora tufutike tu duniani ili tuanze upya[emoji1787][emoji1787]
Okay kwa hili mmetutifua. Tulieni nanyie tuje kuwa tifua. Msije hapa kulalamika. Ooh, wanaume makatili, no. Mlituchoma na petrol, tukawa wadogoooSio nyie huwa mnashangilia mkituchoma na magunia ya mkaa? Hebu shangilieni na hili tafadhali.
Kwahiyo mkuu tuendelee kutifuana tu si ndio?Okay kwa hili mmetutifua. Tulieni nanyie tuje kuwa tifua. Msije hapa kulalamika. Ooh, wanaume makatili, no. Mlituchoma na petrol, tukawa wadogooo
Daah nimesisimka sanaAlitobolewa tumbo kwa kisu na utumbo ukavutwa nje kama kamba
Ee, si tulipuuza malezi ya wazee tukawaita washamba hawajui kitu. Tutulie dawa ituingie vizuri. Ni mtifuano tu. Hakuna kukimbia uwanja wa vita[emoji1787][emoji1787]Kwahiyo mkuu tuendelee kutifuana tu si ndio?
Kataa ndoa,ndoa ni utapeli,ndoa nikutoana utumboWakiiona wa kataa ndoa , tumekwisha.
Crouds~Clouds
Sipendi kuitwa kwwnye vitu visibyoelewekaBaba aliniambia, "Mwanangu ukiona huelewani na mkeo, muache aende kwa amani" Haya mambo ya mara mmeachana kesho mmerudiana mwisho huwa madhara. Ndio maana mm kila siku husa nasema hapa x harudiwi. Huwa hamnielewi.
Mm mwaka jana nilimwacha mchumba wangu miezi minne kabla ya ndoa. Sababu alitaka kunywa sumu baada ya kumwambia gauni lako la harusi tutakodi ili kupunguza gharama, yy akawa analazimisha ashone la kwake kama kumbukumbu.
Mpuuzi sana yule mwanamke. Baada ya kufanikiwa kumzuia asinywe ile sumu. Niliapa kumuacha aende kwa amani japo nilimlipia mahari.
Hadi leo sitaki hata kumsikia, ametafuta suluhu ila mm sitaki tena. Maana mwisho ndio huu sasa, mnaanza kutifuana visu.
Mwanamke au mwanau ulimuoma kabisa hakufai mkaachana. Kesho unamuona tena anafaa sio kweli. Mtakufa vibaya nyieee
Nakadori njoo usome ujumbe wako hapa. Uachane na mambo ya kurudiana na x wako yule mzee[emoji1787]
dronedrakeWakiiona wa kataa ndoa , tumekwisha.
Crouds~Clouds
Tulishawaambia NDOA NI UTAPELI wanabisha na bado 😀dronedrake
Mzee wa kupambania
Liverpool VPN duuujh aseee mi nakataaaaa ndoa acha nisemwe na dunia yote mmmmh huuu ukurumbembe siuwezi aseee duuuh 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Eeh Mungu tusaidie sisi wanaume
Hivi havieleweki ila wewe ulipotuomba ushauri juu ya yule mzee wako ulikua unaelewekaSipendi kuitwa kwwnye vitu visibyoeleweka
😂😂😂ilikuwa hiyar bn haikuwa lazima na wwHivi havieleweki ila wewe ulipotuomba ushauri juu ya yule mzee wako ulikua unaeleweka
Kuna stori ya upande wa pili alitakiwa kuisema. Naamini mke wake sio kichaa aamke amchome kisu bila sababu. Lazima uvumilivu uliisha kutokana na matendo flani.
Wanaume tukumbuke kwamba wanawake nao ni binadamu wanapata hasira pia kwa mambo kama usaliti n.k
Kuna yule jamaa wa Mwanza kama sijakosea alitandika mkewe risasi kibao mbona haya mabango yenu hatukuyaona? Huwa mnadhani wanawake hatuna mioyo tuna matofali eti?alafu Jamaa yenu kuna mambo anaficha yule mkewe sio chizi aamke tu amchome kisu mumewe, acheni kumtetea kisa ni mwanaume mwenzenu.Hata kam anaficha, sisi tunaangali hilo lankumtigua mtu kisu. Yeye angemtifua mkewe, haijalishi sababu mngeandamana. Kwann huyo mwanamke qmtifue mwenzie kisu?