Faruku Mhamadi: Mke wangu alinichoma kisu nikiwa usingizini

Akili ipo sawasawa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ilikuwa hiyar bn haikuwa lazima na ww
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niambie basi tulikushauri sana. Vipi mambo yameeleweka[emoji4]
 
Na yule jamaa wa mwanza sio chizi aamke tu amtandike risasi kibao[emoji1787]

Huu mtifuano hadi wote tuwe vilema. Hakuna kukimbia uwanja wa vita. Ni mwendo wa petrol, visu, risasi, kamba, sumu, ngumi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Natania jamani. Amani iwe kwenu na itawale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…