Mbona kumchulia dada wa watuCongratulations! Fatma. Kazi hii ni ngumu sana. Hutapata support na infrastructure plus TZ system ni mbaya na haziko integrated. Ni bora wangekuacha ulipokuwa
Wengi hawakijui hiki kitengo kipo, sio kitu kigeni.Fedha haramu! Mmh!
Nadhani atadhibiti zaidi fedha za misaada za vyama rafiki vya upinzani. Mengine ni mbwembwe tu.
Ila hilo jina Mwinyi mvua bana. Ndo maana napenda majina ya kigalatia yanatamkika vema kinywani mfano Anastasia Shmidt, Maureen littlefoot, Agnes Wolfgang, AnaJohn Maguire, Patricia CookRais Samia Suluhu Hassan amemteua Fatma Ayoub Mwinyimvua Simba kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU) kuanzia leo Julai 05, 2021
Awali, Fatma alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Sheria, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMS), Dar
View attachment 1842402
Yule bwana mbeba mikoba aka modern yuda Iskariote kwa sasa anamiliki mabenzFedha haramu zikoje wataalamu mtuambie!
Hivi wakati wa ziara za Hayati JPM zile maburungutu ya fedha zilizokuwa zinatolewq hadharani zilikuwa halali au Haramu?!
Mbona siku hizi hatuzioni zikitolewa?
Je yule aliyekuwa anabeba mkoba ule alilipwq ngapi na yuko wapi? Mwenye fununu atujuze. Kazi yaendelea!
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Wakolintho,Wagalatia,Wathesalonike πππIla hilo jina Mwinyi mvua bana. Ndo maana napenda majina ya kigalatia yanatamkika vema kinywani mfano Anastasia Shmidt, Maureen littlefoot, Agnes Wolfgang, AnaJohn Maguire, Patricia Cook
Ila hilo jina Mwinyi mvua bana. Ndo maana napenda majina ya kigalatia yanatamkika vema kinywani mfano Anastasia Shmidt, Maureen littlefoot, Agnes Wolfgang, AnaJohn Maguire, Patricia Cook
Sheria haiko realistic yaani nadhani kama unafanya transaction ya zaidi ya milioni unatakiwa uripoti FIU, na usiporipoti ni makosa Sasa kwa staili hiyo si watafunga watu wengi sana.Hawana uwezo wa kudhibiti fedha haramu,wao wanakimbilia kufunga acc za kina Mbowe kwa kivuli cha kupambana na pesa haramu
Kuzibiti fedha za kusaidia movement ya katiba mpyaFedha haramu! Mmh!
Nadhani atadhibiti zaidi fedha za misaada za vyama rafiki vya upinzani. Mengine ni mbwembwe tu.
Kiufupi sheria imekaa kama mtego wa panyaSheria haiko realistic yaani nadhani kama unafanya transaction ya zaidi ya milioni unatakiwa uripoti FIU, na usiporipoti ni makosa Sasa kwa staili hiyo si watafunga watu wengi sana.